Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni uongo tumehakikish a taarifa yako haina ukwelini uchonganishi tuTaarifa niliyoiweka ni ya kuaminika , Polisi ya Tanzania ni duni mno linapofika suala la kutumikishwa na ccm
sasa si muacheni huyo Mtuhumiwa basini uongo tumehakikish a taarifa yako haina ukwelini uchonganishi tu
hakuna mtu aliyekamatwa acha uzushi wa kijinga bibiesasa si muacheni huyo Mtuhumiwa basi
Wewe ni OCD pale Sirari au unataka kunipotezea muda tu ?hakuna mtu aliyekamatwa acha uzushi wa kijinga bibie
Mkuu, mimi nimekuelewa saana.Erythro, mwingine huyo hapo, asiyejua kitu.
Anahimiza mkapambane na dola..., sikusoma bandiko lake hadi huko mwisho, sijui kama anayo mawazo tofauti na hayo machache aliyoweka hapo juu.
Hawa watu ni wakala wa CCM bila shaka!
Anasema CCM ina 'dola', na kwa hiyo anawahimiza mkapambane na dola?
Huenda hajui kazi mnayofanya kwa sababu wengi wetu tumekuwa tukiwahimiza muifanye, na kuwalalamikia kwa kutoona matokeo ya kazi yenu hiyo.
Kidogo tunaanza kuamini kwamba huenda ushauri tuliokuwa tukiimba kila siku, taratibu mmeanza kuukubali na kuufanyia kazi.
Hawa wasioelewa ni kwamba kwa vile CCM ina 'dola' njia pekee ya kuikabili ni kukabiliana na 'dola' moja kwa moja, jambo ambalo ni la kipuuzi.
Hawajui mwenye 'dola' ni nani, na leo akikohoa tu kidogo CCM itasambaratika hata wasijue 'dola' imepotelea wapi.
Hawa watu wenye mawazo kama haya wanahitaji shule ya nguvu ili waelewe kuwa wanhachokililia mkifanye, hicho ndicho kitakachokuwa nafuu ya CCM.
una muda wa kupoteza wewe? kwanza huna kazi ya kufanya ndiyo maana unashinda mtandaoni kupiga umbeaWewe ni OCD pale Sirari au unataka kunipotezea muda tu ?
una muda wa kupoteza wewe? kwanza huna kazi ya kufanya ndiyo maana unashinda mtandaoni kupiga umbea
Hamjaanza leo kuonewa komaeniView attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Tajiri anakosaje kazi ya kufanya ?una muda wa kupoteza wewe? kwanza huna kazi ya kufanya ndiyo maana unashinda mtandaoni kupiga umbea
hahaaaaaa eti tajiri ungekuwa tajiri ungekuwa unahangaika na chadema huko si unataka ulaji? maskini fukara tu wewe hina loloteTajiri anakosaje kazi ya kufanya ?
Aiseee !!! hakika usilolijua ni sawa na giza nenehahaaaaaa eti tajiri ungekuwa tajiri ungekuwa unahangaika na chadema huko si unataka ulaji? maskini fukara tu wewe hina lolote
tajiri hasumbukii mambo ya kijinga chadema hata siku mojaAiseee !!! hakika usilolijua ni sawa na giza nene
Hujanielewa Kwa sababu hukutaka kunielewa na hilo ndilo tatizo linalowagharimu wapinzani mana hawajui hata Lugha ya kiswahili . Nakumbuka Shibuda alizomewa na wapinzani Kwa sababu ya wao kutojua lugha ya kiswahili zaidi ya kukurupuka. Ndio wale wale wanaomtukana Mbatia baada ya kwenda Ikulu kupambana na dola ,tatizo ni lugha.Erythro, mwingine huyo hapo, asiyejua kitu.
Anahimiza mkapambane na dola..., sikusoma bandiko lake hadi huko mwisho, sijui kama anayo mawazo tofauti na hayo machache aliyoweka hapo juu.
Hawa watu ni wakala wa CCM bila shaka!
Anasema CCM ina 'dola', na kwa hiyo anawahimiza mkapambane na dola?
Huenda hajui kazi mnayofanya kwa sababu wengi wetu tumekuwa tukiwahimiza muifanye, na kuwalalamikia kwa kutoona matokeo ya kazi yenu hiyo.
Kidogo tunaanza kuamini kwamba huenda ushauri tuliokuwa tukiimba kila siku, taratibu mmeanza kuukubali na kuufanyia kazi.
Hawa wasioelewa ni kwamba kwa vile CCM ina 'dola' njia pekee ya kuikabili ni kukabiliana na 'dola' moja kwa moja, jambo ambalo ni la kipuuzi.
Hawajui mwenye 'dola' ni nani, na leo akikohoa tu kidogo CCM itasambaratika hata wasijue 'dola' imepotelea wapi.
Hawa watu wenye mawazo kama haya wanahitaji shule ya nguvu ili waelewe kuwa wanhachokililia mkifanye, hicho ndicho kitakachokuwa nafuu ya CCM.
Tuwaheshimuni mabinti zetu, jana tu mmetoka kuwapamba na kuwainua.... leo mnatumia neno ‘binti’ kama tusi au kiumbe duni..!!
Baada ya kumuingiza Mbatia umeharibuHujanielewa Kwa sababu hukutaka kunielewa na hilo ndilo tatizo linalowagharimu wapinzani mana hawajui hata Lugha ya kiswahili . Nakumbuka Shibuda alizomewa na wapinzani Kwa sababu ya wao kutojua lugha ya kiswahili zaidi ya kukurupuka. Ndio wale wale wanaomtukana Mbatia baada ya kwenda Ikulu kupambana na dola ,tatizo ni lugha.
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.