Mkuu erthrocyte watu washachoka haya malalamiko Mara ooh Yana mwisho Mara ooh ipo siku Mara ooh siku hazigandi uhalifu waliofanyiwa chadema unatisha na unatosha Sasa anzisheni jino kwa jino hu ushamba wa kusema Mungu yupo wakati mtu anakutia kidole cha tako ukome.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu, ifike sehemu tuseme enough is enough. Jino kwa jino, tako kwa tako, mkono kwa mkono. Mambo ya kusema yana mwisho bila kuchukua hatua ni upuuzi. Likizuka varangati tutaheshimiana kwa kurudi kufanya mazungumzo.