Sirari: MwanaCCM aliyehamia CHADEMA kwenye mkutano wa John Heche akamatwa na Polisi

Sirari: MwanaCCM aliyehamia CHADEMA kwenye mkutano wa John Heche akamatwa na Polisi

View attachment 1381369

Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.

Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.

Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Nguvu na rasilimali zinazotumiwa na CCM kuwaonea walio na mawazo tofauti na wao, laiti zingetumika kwenye maendeleo tungetumia mwaka moja tu kuwa dunia ya kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nguvu na rasilimali zinazotumiwa na CCM kuwaonea walio na mawazo tofauti na wao, laiti zingetumika kwenye maendeleo tungetumia mwaka moja tu kuwa dunia ya kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
2316889_FB_IMG_1582491848963.jpg
 
Habari kama hizi huwa zinanifanya niwaelewe wale wanaokubali kujitoa mhanga.
Wanao jitoa mhanga siyo wajinga, fatilia history ya Somalia huu upuuzi ulikuwepo kabla ya wamarekani kuwavuruga.
Mara nyingi, wao Ni wachache kuliko raia wa kawaida, ikitokea raia wakaingiwa na little roho la kujitoa mhanga watajuta
 
View attachment 1381369

Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.

Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.

Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Tupe maelezo ya hiyo article mkuu naona bandiko lako limetawala maelezo yako... Sisi tutajuaje kama ni kweli au la... ama unataka tuamini kila habari inayoletwa JF?
 
Hivi watanzania sisi ni wajinga au wapole!!!
 
Hujanielewa Kwa sababu hukutaka kunielewa na hilo ndilo tatizo linalowagharimu wapinzani mana hawajui hata Lugha ya kiswahili . Nakumbuka Shibuda alizomewa na wapinzani Kwa sababu ya wao kutojua lugha ya kiswahili zaidi ya kukurupuka. Ndio wale wale wanaomtukana Mbatia baada ya kwenda Ikulu kupambana na dola ,tatizo ni lugha.




Sent using Jamii Forums mobile app
Eeenh, "Mbatia alikwenda ikulu kupambana na dola"?

Kweli JF inakila aina ya vichwa!


Kama ni lugha ya kiswahili kama unavyoandika, hebu kasome tena lile bandiko refu uliloweka hapo juu.
Maanake imenilazimu nikalisome lote nione nilipokosa kuelewa kiswahili!

Badala yake niliona 'mkorogo' wa lugha uliotumika hapo. Halieleweki!
 
Back
Top Bottom