Nguvu na rasilimali zinazotumiwa na CCM kuwaonea walio na mawazo tofauti na wao, laiti zingetumika kwenye maendeleo tungetumia mwaka moja tu kuwa dunia ya kwanzaView attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Nguvu na rasilimali zinazotumiwa na CCM kuwaonea walio na mawazo tofauti na wao, laiti zingetumika kwenye maendeleo tungetumia mwaka moja tu kuwa dunia ya kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanao jitoa mhanga siyo wajinga, fatilia history ya Somalia huu upuuzi ulikuwepo kabla ya wamarekani kuwavuruga.Habari kama hizi huwa zinanifanya niwaelewe wale wanaokubali kujitoa mhanga.
Umemwita WIGWA binti, huku ukijua kabisa WIGWA ni mwanamme.... ulikusudia kutuma ujumbe gani..?
Tupe maelezo ya hiyo article mkuu naona bandiko lako limetawala maelezo yako... Sisi tutajuaje kama ni kweli au la... ama unataka tuamini kila habari inayoletwa JF?View attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Uchochezi umeanza. Kukamatwa kisa kuhama?View attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Kubali chadema is deadWewe ni OCD pale Sirari au unataka kunipotezea muda tu ?
Hujui kitu weweTupe maelezo ya hiyo article mkuu naona bandiko lako limetawala maelezo yako... Sisi tutajuaje kama ni kweli au la... ama unataka tuamini kila habari inayoletwa jf?
Ila fujo ya BongoZozo haiumizi.Tunatumia "DOLA" kubaki madarakani, Profesa Bashiru ndio alipaswa kuitwa BongoZoZo.
A na B sio majibu. Jibu ni uoga.Hivi watanzania sisi ni wajinga au wapole!!!
Sijui kitu ilhali unaleta habari kiumbea umbea wa uswahilini.Hujui kitu wewe
Eeenh, "Mbatia alikwenda ikulu kupambana na dola"?Hujanielewa Kwa sababu hukutaka kunielewa na hilo ndilo tatizo linalowagharimu wapinzani mana hawajui hata Lugha ya kiswahili . Nakumbuka Shibuda alizomewa na wapinzani Kwa sababu ya wao kutojua lugha ya kiswahili zaidi ya kukurupuka. Ndio wale wale wanaomtukana Mbatia baada ya kwenda Ikulu kupambana na dola ,tatizo ni lugha.
Sent using Jamii Forums mobile app
habari za uongo haziwezi kuwepo jf tangu janaSijui kitu ilhali unaleta habari kiumbea umbea wa uswahilini.
Unatakaje?Koment kama hizi Sasa nizakipumbavu toka mawazo ameuwawa lisu ben bado Ni haya haya ya kuendelea kuomba Mungu hapa hatuchochei ila hata Mungu anaheshimu kisasi cha haki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya CCM muulize Roma Mkatoliki.Ila fujo ya BongoZozo haiumizi.
Kinukisheni Kama vipiView attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Erythro we kiboko. Nilikuwa natafakari jibu zuri kwa huyu mwenzetu anayeonekana kukata tamaa. Lakini hili jibu alilotoa ni classic. Hongera sana