Mkuu erthrocyte watu washachoka haya malalamiko Mara ooh Yana mwisho Mara ooh ipo siku Mara ooh siku hazigandi uhalifu waliofanyiwa chadema unatisha na unatosha Sasa anzisheni jino kwa jino hu ushamba wa kusema Mungu yupo wakati mtu anakutia kidole cha tako ukome.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyerere mwenyewe alipata kashkash akiutafuta uhuru kutoka kwa mkoloni. Kwanini wanaoutafuta uhuru kutoka kwa dhalimu mkoloni mweusi wasipate kashkash?Mkuu erthrocyte watu washachoka haya malalamiko Mara ooh Yana mwisho Mara ooh ipo siku Mara ooh siku hazigandi uhalifu waliofanyiwa chadema unatisha na unatosha Sasa anzisheni jino kwa jino hu ushamba wa kusema Mungu yupo wakati mtu anakutia kidole cha tako ukome.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana... Hata jf wanategemea habari kutoka kwa members.habari za uongo haziwezi kuwepo jf tangu jana
Anakabiliwa na kesi ya kuhamia chadema? Kesi hiyo mlalamikaji ni nani?View attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.
Habari kama hizi huwa zinanifanya niwaelewe wale wanaokubali kujitoa mhanga.
Kwa hiyo sasa hivi ukihama CCM na kuhamia Chadema unafunguliwa mashitaka au ni propaganda tu?View attachment 1381369
Maagizo ya Bashiru Ally yanaendelea kutekelezwa kwa kishindo na dola.
Pamoja na huyu wako viongozi wengine 8 waliokamatwa na kunyimwa dhamana kwa sababu zisizoeleweka.
Uonevu wa kishamba kama huu utakuja kuleta machafuko yasiyo ya lazima.