Sirari-Tarime: Inadaiwa Askari wa Kenya Wamewashambulia Wafanyabiashara wa Mahindi, baadhi wamejeruhiwa kwa Risasi

Sirari-Tarime: Inadaiwa Askari wa Kenya Wamewashambulia Wafanyabiashara wa Mahindi, baadhi wamejeruhiwa kwa Risasi

Hao askari lazima watakuwa tu ni wageni hapo sirari,maana wanaelewa kabisa mtanzania hatakiwi kupigwa risasi hapo border

Wajiandae kunye debe maana moto wake lazima Uhuru afanye ziara kutuliza mambo
 
HAO ASKARI WA KENYA WAMEMVUNJIA HESHIMA RAIS WAO KWA KIASI KIKUBWA SANA NADHANI SOON WATAACHISHWA KAZI.
Waachishwe kazi? Nyie wenzetu huwa hamuwajui wanasiasa? Askari wa Kenya ni wakatili kuliko hata unavyoweza kudhani.
Google kwa mwaka ni nchi gani hapa East Africa ambayo polisi wameua raia wengi, utapata majibu.
 
Nimepata taarifa toka kwa rafiki yangu zinazo dai kuwa, kuna Watanzania wamepigwa risasi na Polisi wa Kenya mpakani Sirari eneo linaloitwa Kipimo.

Wengine pia wamevunjwa miguu na mikono na wamekimbizwa hospital.

Katika hali ya kushangaza baadhi ya Watanzania waliopigwa risasi wamechukuliwa na askari wa Kenya na kupelekwa eneo la Kehancha huko Kenya katika jitihada za askari wa Kenya kuficha tukio hilo.

CHANZO CHA MGOGORO

Inasemwa kuwa mgogoro ulianza baada ya maafisa wa Kenya kusema kuwa katika mahindi yaliyopimwa asilimia 55 ni mazima na asilimia 45 yana sumu kuvu hivyo wanaenda kuyachoma moto huko Kehancha.

Wafanyabiashara wa Tanzania wakatoa sharti kuwa hayo mahindi basi yachomwe moto huku wakiona jambo ambalo wakenya walikataa na kuwaambia hawawezi kuwapangia namna ya kuchoma mahindi hayo.

Basi wakaanza kuyapakia kwenye malori kwa nguvu na watanzania wakagoma ndipo askari wa Kenya wakawafyatulia risasi Watanzania kadhaa na kujeruhi kadhaa na kukimbiza baadhi ya majeruhi.
Kama ni Kipimo hayo mahindi yalikuwa ya magendo
 
Waachishwe kazi? Nyie wenzetu huwa hamuwajui wanasiasa? Askari wa Kenya ni wakatili kuliko hata unavyoweza kudhani.
Google kwa mwaka ni nchi gani hapa East Africa ambayo polisi wameua raia wengi, utapata majibu.
Na wale waliokua wanatekwa na watu wasiojulikana wamejumlishwa kwenye goggle na bado Kenya waongoze...
 
Huu uzi unafungiwa sijui modert!!! Wamekuaje siku hiz
 
Nimepata taarifa toka kwa rafiki yangu zinazo dai kuwa, kuna Watanzania wamepigwa risasi na Polisi wa Kenya mpakani Sirari eneo linaloitwa Kipimo.

Wengine pia wamevunjwa miguu na mikono na wamekimbizwa hospital.

Katika hali ya kushangaza baadhi ya Watanzania waliopigwa risasi wamechukuliwa na askari wa Kenya na kupelekwa eneo la Kehancha huko Kenya katika jitihada za askari wa Kenya kuficha tukio hilo.

CHANZO CHA MGOGORO

Inasemwa kuwa mgogoro ulianza baada ya maafisa wa Kenya kusema kuwa katika mahindi yaliyopimwa asilimia 55 ni mazima na asilimia 45 yana sumu kuvu hivyo wanaenda kuyachoma moto huko Kehancha.

Wafanyabiashara wa Tanzania wakatoa sharti kuwa hayo mahindi basi yachomwe moto huku wakiona jambo ambalo Wakenya walikataa na kuwaambia hawawezi kuwapangia namna ya kuchoma mahindi hayo.

Basi wakaanza kuyapakia kwenye malori kwa nguvu na Watanzania wakagoma ndipo askari wa Kenya wakawafyatulia risasi Watanzania kadhaa na kujeruhi kadhaa na kukimbiza baadhi ya majeruhi.
Huwa nawaambia kila siku humu, Watanzania hamna Serikali nyie, hilo ni genge la wahuni wa CCM kwa ajili ya maslahi yao...
Wakati wa Magufuli, Watanzania 50 waliuawa na askari wa wanyamapori wa Rwanda,na kisha maiti zao kutupwa mtoni, hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa, baada ya hapo, Watanzania wakachaniwa passport Msumbiji,na kupigwa juu, Magufuli akajibu mlienda kwa njia za panya mtarudi kwa njia za Paka.
Hiyo ni Serikali au mavi?
 
Kama ni kweli nazidi kuumia zaidi kuwa hii inji tumepata hasara hadi 2025 tutakuwa shamba la bibi kama inzi ile ya mtoka kandokando mwa baharini
 
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI CHUKUA HELKOPTA NENDA ENEO LA TUKIO ACHA KUTEGEMEA TAARIFA ZA MKUU WA WILAYA.

PIA BALOZI WA TANZANIA SOGEA ENEO LA TUKIO UPATE UKWELI.
 
WAZIRI WA MAMBO YA NDANI CHUKUA HELKOPTA NENDA ENEO LA TUKIO ACHA KUTEGEMEA TAARIFA ZA MKUU WA WILAYA.

PIA BALOZI WA TANZANIA SOGEA ENEO LA TUKIO UPATE UKWELI.
tzkwanza
Mkuu, katika inji nyingi duniani hatuna mabalozi bali wachumia tumbo, hukumbuki Mhe. Hayati Dr. Magufuli; alitamani kama Balozi wa Kenya ( Mr. Dan Kazungu) angekuwa mtanzania ampe inji atuwakilishe.

Hapo tambua kuwa hamna kitakachofanyika kama kweli wenzetu wamepata matatizo hapo border.
 
Wakenya wanaweza kuwa na matatizo yao,lakini hata siku moja askari wao hawajawahi kuwapiga risasi Watanzania labda majangili - nina wasi wasi na mleta habari/taarifa hizi.
 
Hizi taarifa zina walakini, hata hivo ngoja baada ya muda mfupi ntaujua ukweli...

Ngoja niende sirari mwenyewe
 
Nimepata taarifa toka kwa rafiki yangu zinazo dai kuwa, kuna Watanzania wamepigwa risasi na Polisi wa Kenya mpakani Sirari eneo linaloitwa Kipimo.

Wengine pia wamevunjwa miguu na mikono na wamekimbizwa hospital.

Katika hali ya kushangaza baadhi ya Watanzania waliopigwa risasi wamechukuliwa na askari wa Kenya na kupelekwa eneo la Kehancha huko Kenya katika jitihada za askari wa Kenya kuficha tukio hilo.

CHANZO CHA MGOGORO
Inasemwa kuwa mgogoro ulianza baada ya maafisa wa Kenya kusema kuwa katika mahindi yaliyopimwa asilimia 55 ni mazima na asilimia 45 yana sumu kuvu hivyo wanaenda kuyachoma moto huko Kehancha.

Wafanyabiashara wa Tanzania wakatoa sharti kuwa hayo mahindi basi yachomwe moto huku wakiona jambo ambalo Wakenya walikataa na kuwaambia hawawezi kuwapangia namna ya kuchoma mahindi hayo.

Basi wakaanza kuyapakia kwenye malori kwa nguvu na Watanzania wakagoma ndipo askari wa Kenya wakawafyatulia risasi Watanzania kadhaa na kujeruhi kadhaa na kukimbiza baadhi ya majeruhi.
Hivi nchi yetu imekuwa ya kimama eeh!? Kwani hatuna amirijeshi mkuu😭😠!?
 
Nimepata taarifa toka kwa rafiki yangu zinazo dai kuwa, kuna Watanzania wamepigwa risasi na Polisi wa Kenya mpakani Sirari eneo linaloitwa Kipimo.

Wengine pia wamevunjwa miguu na mikono na wamekimbizwa hospital.

Katika hali ya kushangaza baadhi ya Watanzania waliopigwa risasi wamechukuliwa na askari wa Kenya na kupelekwa eneo la Kehancha huko Kenya katika jitihada za askari wa Kenya kuficha tukio hilo.

CHANZO CHA MGOGORO

Inasemwa kuwa mgogoro ulianza baada ya maafisa wa Kenya kusema kuwa katika mahindi yaliyopimwa asilimia 55 ni mazima na asilimia 45 yana sumu kuvu hivyo wanaenda kuyachoma moto huko Kehancha.

Wafanyabiashara wa Tanzania wakatoa sharti kuwa hayo mahindi basi yachomwe moto huku wakiona jambo ambalo Wakenya walikataa na kuwaambia hawawezi kuwapangia namna ya kuchoma mahindi hayo.

Basi wakaanza kuyapakia kwenye malori kwa nguvu na Watanzania wakagoma ndipo askari wa Kenya wakawafyatulia risasi Watanzania kadhaa na kujeruhi kadhaa na kukimbiza baadhi ya majeruhi.
Kenya na TZ hazijawahi kuwa marafkki...kazi iendelee..
 
Hii ni hatari, uchunguzi ufanyaike na kama ni kweli hatua stahiki zichukuliwe ikiwa ni pamoja na hao polisi kuadhibiwa.

Inasikitusha sana tukio hilo lingeweza kushughulikiwa kidiplomasia bila kuumiza mtu yoyote.
Police wa Kenya wanapenda sana rushwa inawezekana hayo mahindi walitaka kwenda kuyapiga bei sehemu
 
Back
Top Bottom