R Rasterman JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 33,894 Reaction score 44,117 May 14, 2021 #41 1954 said: Kenya na TZ hazijawahi kuwa marafkki...kazi iendelee.. Click to expand... sema ccm na kenya. sisi watanzania ni marafiki wazuri tu. Jiwe na Raila, Mama na Uhuru. wakati wenu umekwisha
1954 said: Kenya na TZ hazijawahi kuwa marafkki...kazi iendelee.. Click to expand... sema ccm na kenya. sisi watanzania ni marafiki wazuri tu. Jiwe na Raila, Mama na Uhuru. wakati wenu umekwisha
W Wamabere JF-Expert Member Joined Jul 19, 2016 Posts 1,263 Reaction score 703 May 14, 2021 #42 sasa na wale wanyama wanaoenda kenya kupata mimba na kuja kuzaa huku utakuwaje kama wakionekana wana mimba si watazuiwa wasirudi huku
sasa na wale wanyama wanaoenda kenya kupata mimba na kuja kuzaa huku utakuwaje kama wakionekana wana mimba si watazuiwa wasirudi huku