Siri 5 za Ndoa Inayodumu

Siri 5 za Ndoa Inayodumu

Tatizo hapa, kumbe wanakuwa tu na busara mbele za watu halafu kumbe ndani wamenuniana 😜
Hao ndio washauri wazuri kwa sababu wanaweza kununiana wao wao kisha wakija mbele za watu minuniano wanaitupilia mbali.
 
Yangekuwa hayana formula yule kocha wa Man city asingegawana mali na mkewe
Yule mke wake ni msengeeee sana.
Eti pep yupo busy sana na bolii. Kwani alimkuta pep akiwa busy na udaktari?
Hiyu futiboli sii ndio imempa maisha mazuri kasari nanprivate jets na kuenjoy maisha leo inakuwa kisingizio.
Ungrateful woman
 
Yule mke wake ni msengeeee sana.
Eti pep yupo busy sana na bolii. Kwani alimkuta pep akiwa busy na udaktari?
Hiyu futiboli sii ndio imempa maisha mazuri kasari nanprivate jets na kuenjoy maisha leo inakuwa kisingizio.
Ungrateful woman
Hata ukimtukana mdada wa watu haisaidii washagawana mali
 
Usisahau pia kuna kuwekwa selo ukimzabua makofi mkeo so jiandae hasa ukiwa na mke much know.
Akiniweka selo aisee nikitoka nisimkute nyumbani ..maana haitakuwa kofi itakiwa kifirooooo na mauaji
 
Nambie niijue 😂😂
Mwanamke kumpigia magoti mumewe pale......

1. Wanaposalimiana

2. Anapomkarisha chakula mezani

3. Anapompa/kupokea kitu chochote

4. Kumpa mumewe uroda bila masharti.

Mambo hayo yamebeba kitu linaitwa UNYENYEKEVU.

Hiyo ndio siri.
 
Kabla hujaingia katika ndoa zingatia hizi siri 5....

1. Ndoa si bahati nasibu ya mwanzo-na-kushinda - ni agano la kimungu.

Biblia inakazia kwamba.. Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure (Zab 127:1). Jikabidhi kwa Mungu awe mwamuzi wako - Yeye huona kile ambacho moyo huficha.

2. Jadiliana maswali magumu na mwenza mtarajiwa wako.

Jua imani, ndoto na maoni yake kuhusu pesa, sex na familia.

Je! watu wawili waweza kutembea pamoja wasipopatana (Amosi 3:3)? Puuza alama nyekundu mapema , vinginevyo utakumbana na machozi mekundu baadaye.

3. Ndoa hustawi katika jamii.

Kaa karibu na wanandoa wenye busara na washauri wacha Mungu.

Biblia inaelekeza kwamba mipango hushindwa kwa kukosa mashauri (Mithali 15:22).

Mti pekee huvunjika kwa urahisi, lakini msitu husimama imara.

4. Jadililiana na mwenza wako mtarajiwa kuhusu mawasiliano, fedha, na wakwe kabla ya kuingia katika ndoa.

Hekima ni jambo kuu (Mithali 4:7). Upendo peke yake hautalipa bili au kutatua mapigano - hekima itakuwa. Jenga msingi imara kabla ya kujenga nyumba.

5. Sex ni kifungo kitakatifu, si jaribio la majaribio.

Biblia inakazia kwamba ndoa inapaswa kuheshimiwa na wote (Ebr 13:4).

Moto kwenye mahali pa moto hupasha joto nyumba. Moto mahali pabaya unateketeza nyumba. Kaa karibu na Mungu yeye huwa anaandika hadithi bora za mapenzi.
Utaanzaje anzaje kumuuliza mwanaume kuhusu sex alafu ukute mwanaume ni mnyakyusa
 
Hakunaga siri ndoa kudumu muhimu kila mtu ajue majukumu yake kingine ni uvumilivu
Kwa ninavoamini siri ya ndoa nzuri ni maombi kuomba sana hasa mwanamke inabidi usiwe mvivu wa kuomba omba sana amka usiku wa manane omba ombea mume watoto mipango yenu uchumi
 
Back
Top Bottom