Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sie wenye wivu ndoa hazitufai😃😃😃6. Usishike simu ya mwenza wako kujifanya Afisa Upelelezi (Mtaani 6:13)
Yaani 😀Gubu wanaume sikuhizi gubu limewajaa vifua vimewajaa kumbe gubu
Tatizo hapa, kumbe wanakuwa tu na busara mbele za watu halafu kumbe ndani wamenuniana 😜Kaa karibu na wanandoa wenye busara na washauri wacha Mungu.
Hasa wakiombwa pesa 😅Gubu wanaume sikuhizi gubu limewajaa vifua vimewajaa kumbe gubu
Gubu ndo lininiGubu wanaume sikuhizi gubu limewajaa vifua vimewajaa kumbe gubu
Na asiposhika simu ya mwenza ni ufunguo mzuri wa kumuingiza mlango wa uzinzi huru.6. Usishike simu ya mwenza wako kujifanya Afisa Upelelezi (Mtaani 6:13)
Na wewe ukaamini?Aliwahi sema mwenyewe Mkuu.
Mkuu yeye ndo anajua ukweli.Na wewe ukaamini?
Mkuu yeye ndo anajua ukweli.
KabisaHaya mambo hayana formula bwana.
Midomo sasa🙌🏽Gubu wanaume sikuhizi gubu limewajaa vifua vimewajaa kumbe gubu