Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimewaficha miaka mingi sana sasa acha niseme kama mtaniua basi.
Kusema ukweli mimi ndiye niliyewapasua kalio hadi likaitwa makalio. Mlikua mnalo moja kama pulizo mimi nikaamua kuligawanya
Duuh pole sana 💔Shangazi yangu alie olewa na mjomba wangu alinitaka kimapenzi Nika mkataa, mpaka Leo hua ananichukia Ila sijawai kumwambia mtu
Monetary doctor eee!2002 nilirudia wali kwenye ubarikio wa kina James na sikudakwa
Sasa yanaitwa makalio, right?Nimewaficha miaka mingi sana sasa acha niseme kama mtaniua basi.
Kusema ukweli mimi ndiye niliyewapasua kalio hadi likaitwa makalio. Mlikua mnalo moja kama pulizo mimi nikaamua kuligawanya
Km binamu yako ni Daktari au anafanya kazi yoyote ya afya basi yeye ndio atakua chanzo cha hio Saratani ya Matiti ya mkewe, itoshe kusema hivyoJe, wewe umebeba siri ipi nzito?
😳😳 kwanini umesema hivyo? Saratani inaambukizwa?Km binamu yako ni Daktari au anafanya kazi yoyote ya afya basi yeye ndio atakua chanzo cha hio Saratani ya Matiti ya mkewe, itoshe kusema hivyo
Sio kuambukizwa soma ile story ya Nesi aliemuua Mumewe kwa sumu kwenye Chakula iliyokua inamtafuna taratibu taratibu hadi kufa, ipo humu humu utaelewa jambo😳😳 kwanini umesema hivyo? Saratani inaambukizwa?
2002 nilikuwa kinda ujue 3-6yrs na range hapo!
Kuna mengi niliyofanya na watu wengine japo sijasikia uvumi wowote lakini naona jau saa zingneNilipokuwa form two nilimkuta madam wetu ambaye alikuwa mkuu wa shule/head mistress anakojoa pembezoni mwa barabara aliponiona akashtuka, huku akiwa na aibu iliyochanganyikana na na tabasamu hafifu akasema "we secretarybird njoo tukojoe" nami sikushtuka nikamwambia tu "shikamoo madam".
Yule madam akawa ananipendelea katika Kila jambo pale shuleni mpaka nikamaliza shule, na siri yake sikuitoa, leo ndiyo mara ya Kwanza kuitoa.
Cc: Poor Brain, Monetary doctor, BRAZA CHOGO, underscore itembe.
Ntarudi kuchangia hojaMimi inanitesa sana hii siri ya huyu kigogo wa idara nyeti hapa mtaani anachapiwa mkewe na kijana dereva wake mpaka mtoto wa mwisho sio wa huyu mzee ni wa huyo dereva wao mpaka sura kamefanana ila sijui why mzee hajastuka muda wote huu dah!