Nomadix
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 2,411
- 6,646
[emoji23]siri mkuu siriMkuu na guess ulim...........
Wacha nisimalizie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23]siri mkuu siriMkuu na guess ulim...........
Wacha nisimalizie
Noma[emoji23]siri mkuu siri
Wee pimbi kweli! Na wewe lako nani alilipasua au Bado lako ni kama pulizo??Nimewaficha miaka mingi sana sasa acha niseme kama mtaniua basi.
Kusema ukweli mimi ndiye niliyewapasua kalio hadi likaitwa makalio. Mlikua mnalo moja kama pulizo mimi nikaamua kuligawanya
ungempa fimboyaukwajukuna binam yangu bush nilimkuta anaoga nje, nilimstiri hakulika akawa ananchekeachekea me nipo buyu, tokea siku hiyo hajawahi kuniangalia usoni au basi ngoja nimtunzie siri...
aisee fimboyaukwaju ni mzuka sanaHahaha, mi ningemtembezea fimboyaukwaju
ni kweli [emoji1787] tamarind stick haimuachi salamaaisee fimboyaukwaju ni mzuka sana
Sana, yaani nashindwa kuielezea.aisee fimboyaukwaju ni mzuka sana
tawireni kweli [emoji1787] tamarind stick haimuachi salama
Njoo unisimulie piemMbona umeshatusimulia sasa😃😄
Kuna mambo mengine naona kabisa nikiingia nayo kaburini walahi,. Mdomo wangu uendelee tu kunisaidia kula 🤐
🤔Nimewaficha miaka mingi sana sasa acha niseme kama mtaniua basi.
Kusema ukweli mimi ndiye niliyewapasua kalio hadi likaitwa makalio. Mlikua mnalo moja kama pulizo mimi nikaamua kuligawanya
Halafu kuna wakuda wanasema Bangi mbaya?! Cheki ulivyokuja siri (wazo) ambalo miaka 100 hakuna mtu ambae angewaza au hata kufikiria hivi! Aah Bangi hoyeee!Sasa yanaitwa makalio. Zamani kabla sijawapasua liliitwa kalio