Siri ambayo inanifanya nijihisi mzito na kubaki njia panda

Kweli walisema hakuna siri ya wawili!
 
mimi nadhani mleta mada kaleta chai tu

ila sio mbaya, inafundisha na kusisimua.
 
kuna binam yangu bush nilimkuta anaoga nje, nilimstiri hakulika akawa ananchekeachekea me nipo buyu, tokea siku hiyo hajawahi kuniangalia usoni au basi ngoja nimtunzie siri...
 
Kiafrika na unalivyoeleza.

Hii haipaswi kuwa Siri.

Kwanza walishatengana.

Pili, mtoto anatakiwa awajue ndugu zake.
Mengine tuwaachie wazungu
 
Eti anamsubiri afe???
Akianza kufa yeye je....wanaume selfish sana
 
Mimi inanitesa sana hii siri ya huyu kigogo wa idara nyeti hapa mtaani anachapiwa mkewe na kijana dereva wake mpaka mtoto wa mwisho sio wa huyu mzee ni wa huyo dereva wao mpaka sura kamefanana ila sijui why mzee hajastuka muda wote huu dah!
Siyo kwamba bosi hajui.
Dereva kapewa kazi ya ziada na bosi wake. Ya kumlindia heshima, yeye hawezi Tena kutimiza majukumu ya kuijaza dunia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…