Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Kwa sasa mimi ni mkiristo jina.nashukuru kwa mafunzo mengi yaliyo jaa utashi.pia kuna wakati nimekua nikihoji sana juu ya utendaji wa mungu lakini pia kuhusu sheria za dini zilizipo dunian kwangu mimi zinazingua.kuna wakat huwa nafiri sana kuhusu mungu na ninadhani wenda mungu baad ya mungu kuumba ulimwengu huu aliondoka zake na kuishi kusiko julikana.

hivyo sheria sijui kanuni zote waliweka wanadamu ndio maana wanakinzana.binafs siamini kama kuna maisha baada ya kifo ukifa habari yako imeisha
 
Kwa sasa mimi ni mkiristo jina.nashukuru kwa mafunzo mengi yaliyo jaa utashi.pia kuna wakati nimekua nikihoji sana juu ya utendaji wa mungu lakini pia kuhusu sheria za dini zilizipo dunian kwangu mimi zinazingua.kuna wakat huwa nafiri sana kuhusu mungu na ninadhani wenda mungu baad ya mungu kuumba ulimwengu huu aliondoka zake na kuishi kusiko julikana.hivyo sheria sijui kanuni zote waliweka wanadamu ndio maana wanakinzana.binafs siamini kama kuna maisha baada ya kifo ukifa habari yako imeisha
Kwahiyo tatizo ni ukristo au Mungu?
 
Vitabu vilivoondolewa ndo vingewapa Waafrika uwezo wa kufanya vumbhzi kama Wzungu
Hiki kitu nimekisoma Leo sehem mfano ktk gospel of Thomas na Judah vlikuwa vitabanaisha ni jinsi gani mwanadam anaweza kutumia nguvu ya "psychic power" ili aweze kutatua matatzo yake kitu ambacho watu wanoitawala hii dunia wakaona haitakuwa rahisi kuutawala ulimwengu kama haya mambo yatakuwa wazi
 
Biblia inajitafsiri yenyewe
Biblia ni ufunuo wa simulizi ya ukombozi upatikanao kwa imani katika Kristo (tazama Luka 24:27, 44-47;
Yoh 5:39). Ingawaje, ufunuo wa Mungu ni jambo la kuendelea—i.e., unajifunua katika Biblia nzima. Kanuni kadhaa hutokana na kweli hii.
1. Maandiko kamwe hayawezi kujipinga.
a. Biblia nzima inakubaliana katika ujumla wake. Kwa hiyo sehemu mbili za maandiko zinazoonekana kupingana zinapochambuliwa vema hugundilika kwamba hazipingani. Sehemu moja ya maandiko inaweza kuboresha nyingine, au kuipa usahihi zaidi lakini haitaipinga.
b. Wakati mwingine kweli mbili au zaidi hufundishwa kwa uwazi katika Biblia, lakini hutokea kukinzana. Kwa mfano Ukuu wa Mungu na wajibu wa mwanadamu ni vigumu kupatana ingawa bado Biblia inafafanua hayo mawili. Katika hali kama hizo kumbuka kwamba Biblia ni mkusanyiko ya kweli za kiungu kwa akili za mwanadamu zenye mipaka. “Wakati kweli mbili au zaidi zinafunazofundishwa kwa uwazi katika Biblia zinakinzana kumbuka kwamba unao ufahamu wenye mipaka. Usiyachukue mafundisho katika hali ya kuzidi kile ambacho Mungu hakusema ile kubaki kuwa sahihi katika ufahamu wako. Mwache Mungu asema alichosema bila kujaribu kumsahihisha au kumfafanua Mungu. Kumbuka yeye ni Mungu na wewe ni mtu. Nyenyekeza moyo wako kirahisi kwa imani na amini alichosema hata kama huwezi kuelewa au hakiendani na ufahamu wako vizuri”.
2. Hatua ya ukombozi kwa pamoja na “shauri zima la Mungu” (Matendo 20:27) ni lazima izingatiwe kwa utaratibu maalumu ili kuelewa kwa usahihi kifungu maalumu cha maneno. Biblia ni kitabu kinachoeleza simulizi moja inayoelezea habari inayokubaliana. Ingawa ukweli wote wa Biblia haujafunuliwa kwa wakati mmoja, lakini ulifunuliwa kwa mwendelezo kwa muda mrefu. AK ni maandalizi ya Injili; Injili zote katika Agano jipya ni udhihirisho wa Injili; Matendo ya Mitume ni upanuzi wa Injili; Nyaraka ni ufafanuzi ya Injili; na Ufunuo ni matumizi ya Injili. Maana kamili ya kifungu chochote cha maneno haiwezi kueleweka vema kama haijazingatia Biblia nzima na hatua ya historia ya ukombozi. “Kusoma Biblia kwa kuzingatia mazingira halisi ya ujumbe kama Neno la Mungu ni lazima kuhusisha maandiko yote yaliyokubaliwa kama mazingira hitimisho ya kifungu husika cha maneno”
Jibu hoja iliyoletwa wacha porojo.
 
Dini ilileta vip ahueni wakati Hadi leo mkristu hawezi kuolewa na muislam ,watu wanajitoa mhanga wakijipa moyo kuua makhafir (ambao si wa dini yao ) unahesabiwa haki ,... Bado mkristu na muislam hawaezi kushirikiana kwenye mambo mengi kwa sababu ya tofauti zao ,mmoja anaona ndio Ana haki na pepo kushinda mwingine automatically anamuona mwenzake wa shetani yeye Ni wa Mungu ,... Bado hata uingiaji wa Christianity iliingia kwa crusade (Kama wewe si mkristu kipindi hicho ulikuwa hupew haki zako za msingi as human being ) ,Islamic ilifanyika jihad kuusambaza halafu unasema dini ilileta ahueni .....

Mambo ya uchawi yalianza kushika Kasi na kuonekana ushenzi baada ya dini kuingia (wakiaminisha uchawi Ni ushetani na kuanza kuwapiga Vita wanaojihusisha na hayo mambo ) na kiukweli watu wameanza kupata negative perception kuhusu uchawi baada ya dini kutamalaki ila uchawi haukuwa wa ajabu kiasi hicho ,..
Ishu ya laana za mapacha kuuwawa ilikuwa Ni baadhi ya iman chache Kati ya nyingi zilizotakiwa kuondolewa na kuendeleza Yale ya msingi (si Imani zote za mababu zetu zilikuwa za kutupa ,zilikuwepo nzuri za kuendeleza Kama part ya tamaduni zilizokuwepo )

Islamic Ni tamaduni za kiarabu
Christianity ilitokana na tamaduni za Western Europe huko
Shiva na hindu Ni tamaduni za Asia

Hata hapa kwetu tungekuwa na nguvu ya kuweka tamaduni zetu za kisukuma mf. Au kihaya n.k tukachambua mazuri na kuya publish na kuyaingiza dunian kwa nguvu zingekuwa Ni dini kubwa tu dunian ndicho ambacho waarabu na Europe walifanya

Kila mtu na arudi kwenye tamaduni zake (Islamic na Christianity sio tamaduni zako muafrica hazikuhusu )
We jamaa umeongea ukweli mtupu ambao mi nimekuwa nikiupigania kila mara,kina Mwanamalundi walipaswa wawe kwenye vitabu watumike kama vielelezo,lkn leo ni uhuni tu wa Wazungu na Waarabu
 
Kwahiyo tatizo ni ukristo au Mungu?
Tatizo ukristo na uislam mkuu...dini za hovyo sana hizi
...hata Yesu na Mohammad watakuja zikana siku ya kiama,_kinachofundishwa na kuishiwa nowadays kwenye hizo dini mbili sicho walichofundisha hao mitume kabisa..pathetic
 
Tatizo ukristo na uislam mkuu...dini za hovyo sana hizi
...hata Yesu na Mohammad watakuja zikana siku ya kiama,_kinachofundishwa na kuishiwa nowadays kwenye hizo dini mbili sicho walichofundisha hao mitume kabisa..pathetic
Kwani ni hao mitume walifundisha nini na hayo mafundisho yao yanapatikana wapi?
 
Hiki kitu nimekisoma Leo sehem mfano ktk gospel of Thomas na Judah vlikuwa vitabanaisha ni jinsi gani mwanadam anaweza kutumia nguvu ya "psychic power" ili aweze kutatua matatzo yake kitu ambacho watu wanoitawala hii dunia wakaona haitakuwa rahisi kuutawala ulimwengu kama haya mambo yatakuwa wazi
Hao wanaotalawa ulimwengu ni akina nani?
 
Biblia inajitafsiri yenyewe
Biblia ni ufunuo wa simulizi ya ukombozi upatikanao kwa imani katika Kristo (tazama Luka 24:27, 44-47;
Yoh 5:39). Ingawaje, ufunuo wa Mungu ni jambo la kuendelea—i.e., unajifunua katika Biblia nzima. Kanuni kadhaa hutokana na kweli hii.
1. Maandiko kamwe hayawezi kujipinga.
a. Biblia nzima inakubaliana katika ujumla wake. Kwa hiyo sehemu mbili za maandiko zinazoonekana kupingana zinapochambuliwa vema hugundilika kwamba hazipingani. Sehemu moja ya maandiko inaweza kuboresha nyingine, au kuipa usahihi zaidi lakini haitaipinga.
b. Wakati mwingine kweli mbili au zaidi hufundishwa kwa uwazi katika Biblia, lakini hutokea kukinzana. Kwa mfano Ukuu wa Mungu na wajibu wa mwanadamu ni vigumu kupatana ingawa bado Biblia inafafanua hayo mawili. Katika hali kama hizo kumbuka kwamba Biblia ni mkusanyiko ya kweli za kiungu kwa akili za mwanadamu zenye mipaka. “Wakati kweli mbili au zaidi zinafunazofundishwa kwa uwazi katika Biblia zinakinzana kumbuka kwamba unao ufahamu wenye mipaka. Usiyachukue mafundisho katika hali ya kuzidi kile ambacho Mungu hakusema ile kubaki kuwa sahihi katika ufahamu wako. Mwache Mungu asema alichosema bila kujaribu kumsahihisha au kumfafanua Mungu. Kumbuka yeye ni Mungu na wewe ni mtu. Nyenyekeza moyo wako kirahisi kwa imani na amini alichosema hata kama huwezi kuelewa au hakiendani na ufahamu wako vizuri”.
2. Hatua ya ukombozi kwa pamoja na “shauri zima la Mungu” (Matendo 20:27) ni lazima izingatiwe kwa utaratibu maalumu ili kuelewa kwa usahihi kifungu maalumu cha maneno. Biblia ni kitabu kinachoeleza simulizi moja inayoelezea habari inayokubaliana. Ingawa ukweli wote wa Biblia haujafunuliwa kwa wakati mmoja, lakini ulifunuliwa kwa mwendelezo kwa muda mrefu. AK ni maandalizi ya Injili; Injili zote katika Agano jipya ni udhihirisho wa Injili; Matendo ya Mitume ni upanuzi wa Injili; Nyaraka ni ufafanuzi ya Injili; na Ufunuo ni matumizi ya Injili. Maana kamili ya kifungu chochote cha maneno haiwezi kueleweka vema kama haijazingatia Biblia nzima na hatua ya historia ya ukombozi. “Kusoma Biblia kwa kuzingatia mazingira halisi ya ujumbe kama Neno la Mungu ni lazima kuhusisha maandiko yote yaliyokubaliwa kama mazingira hitimisho ya kifungu husika cha maneno”
Hujajibu hoja hata moja ya.mleta mada hata moja umeiga projo tu mwanzo mwisho.
 
Mm siwezi kuongelea kitu ambacho ni totally religious hata kama nimeona weakness. Respect someone's faith
 
Mm siwezi kuongelea kitu ambacho ni totally religious hata kama nimeona weakness. Respect someone's faith
Hapana mkuu Biblia inasema ukristo ni religion of reasoning yaani sio kila kitu kwa kuwa ni imani tu unakimeza ila lazima uhoji maana mafundisho mengi ya kupotosha soma hapa;

1 Yohana 4:1
1 Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani.

Na hii ni shida kubwa sana wakristo wengi kuna vitu wanapotoshwa ila kwa kuwa wana mentality kama yako basi wao bora liende mwisho wa siku wanapotezwa ona kwa mfano manabii feki walivyojaa wanawauzia sabuni,maji,mafuta eti yakawaponye na wao hawawezi kuhoji maskini wanaingizwa mkenge wakiamini ile ni Roho ya Mungu bila kujua ni ya mpinga kristo!!

Kwa staili hii mpaka Yesu anarudi atakuta walioshika imani hawazidi 10 nyie endeleeni tu kukaririshwa bila kuhoji mtakuja kujuta

Yangu macho!!
 
Mkuu zitto junior,

Nimekusoma vizuri na kimsingi uliyoyaandika yanahitaji UPEMBUZI YAKINIFU wa wataalam wa mambo ya scriptures.
Hata hivyo ni muhimu sana kuhoji ili watu wasienende kama kondoo wapelekwao kuchinjwa bali wakiamini, imani yao iendane na ufahamu sahihi wa kile walichokiamini.

Mimi pia hupenda kuhoji kama hawa watu wa Beroya ambao habari zao zimeandikwa katika kitabu cha Matendo 17
10 Mara hao ndugu wakawapeleka Paulo na Sila usiku hata Beroya. Nao walipofika huko wakaingia katika sinagogi la Wayahudi.


11 Watu hawa walikuwa waungwana kuliko wale wa Thesalonike, kwa kuwa walilipokea lile neno kwa uelekevu wa moyo, wakayachunguza maandiko kila siku, waone kwamba mambo hayo ndivyo yalivyo.


12 Basi watu wengi miongoni mwao wakaamini, na wanawake wa Kiyunani wenye cheo, na wanaume si wachache.

Kwa hiyo KUCHUNGUZA maandiko ni busara.

Ahsante sana.
 
Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa Biblia iliandikwa na watu tofauti tofauti zaidi ya 40 kwa vipindi na nyakati tofauti na inasadikika iliandikwa hadi kukamilika kwa miaka karibu 1,600!

Kwa wingi huo wa watu na tofauti kubwa sana ya majira na nyakati za kuandikwa kwake haijuzu yawemo makosa madogo madogo (ya kibinadamu) ambayo hata hivyo hayaondoi ukweli kwamba maandishi ya Biblia yamevuviwa na Roho ya Mungu.

Ndio maana wachambuzi wa mambo ya kiimani husema ili usome Biblia na kuelewa kilichoandikwa hata kikusaidie wewe na watu wanaokusiliza, huna budi kuzaliwa kwa uwezo wa yule Roho ambaye aliwavuvia waandishi ili akusaidie kuelewa hata mahali wao walipokosea.

Ahsante.
 
Hata hivyo, ni muhimu kuelewa kuwa Biblia iliandikwa na watu tofauti tofauti zaidi ya 40 kwa vipindi na nyakati tofauti na inasadikika iliandikwa hadi kukamilika kwa miaka karibu 1,600!

Kwa wingi huo wa watu na tofauti kubwa sana ya majira na nyakati za kuandikwa kwake haijuzu yawemo makosa madogo madogo (ya kibinadamu) ambayo hata hivyo hayaondoi ukweli kwamba maandishi ya Biblia yamevuviwa na Roho ya Mungu.

Ndio maana wachambuzi wa mambo ya kiimani husema ili usome Biblia na kuelewa kilichoandikwa hata kikusaidie wewe na watu wanaokusiliza, huna budi kuzaliwa kwa uwezo wa yule Roho ambaye aliwavuvia waandishi ili akusaidie kuelewa hata mahali wao walipokosea.

Ahsante.
Aisee mkuu nimekuelewa sana umejibu mada kwa busara na kunielewesha vizuri kabisa bila matusi wala kejeli.... sasa wewe ndio great thinker umefanya analysis ya pande zote mbili

Ubarikiwe mkuu
 
Aisee mkuu nimekuelewa sana umejibu mada kwa busara na kunielewesha vizuri kabisa bila matusi wala kejeli.... sasa wewe ndio great thinker umefanya analysis ya pande zote mbili

Ubarikiwe mkuu
Amekujibu kwa busara ipi? Mbona ameshindwa kueleza huyo roho mtakatifu anapatikana vipi ili uwe naye kisha ukisoma biblia uelewe?

Kama amekiri biblia ina makosa kwa nini isirekebishwe na je inamtegemea roho mtakatifu katika kusahihisha makosa yaliyomo kwenye biblia? Makosa ni makosa tu hata aje roho mtakatifu bado hatayafuta makosa hayo.

Kwa taarifa tu ni kwamba roho mtakatifu huwa ni kisingizio cha kufunika uongo wa biblia.......
Asante.
 
Amekujibu kwa busara ipi? Mbona ameshindwa kueleza huyo roho mtakatifu anapatikana vipi ili uwe naye kisha ukisoma biblia uelewe?
Kama amekiri biblia ina makosa kwa nini isirekebishwe na je inamtegemea roho mtakatifu katika kusahihisha makosa yaliyomo kwenye biblia?
Makosa ni makosa tu hata aje roho mtakatifu bado hatayafuta makosa hayo.
Kwa taarifa tu ni kwamba roho mtakatifu huwa ni kisingizio cha kufunika uongo wa biblia.......
Asante.
Mkuu Malyenge,
Hoja kwamba Roho mtakatifu anapatikana vipi si muhimu hapa na kwa wakati huu na vile vile Biblia iko very clear on how to receive the Holy Spirit.
 
Back
Top Bottom