Duh...zee la pumba out!!!Story za kutunga hizi.
Lipumba out officially kapata kura 14 tu kati ya kura mia nne na ushee.
Mapinduzi ya mamluki wa chadema cuf imegomaRichmond ni ya kikwete sasa Kama alikula za kikwete angekubali Lipumba arejeshe Pumba , Lowasa Pesa hiyo kumbuka nyie mna serikali Pesa mnapata Hazina mkitaka Pesa popote mnapata mda wowote, hata mkutano Mkuu wa CCM michota mkaufanya japo CCM makao makuu walikuwa wamechalala, Usikariri propaganda za February yy analipwa kwa kubambikia Ukawa Uongo .
Hiyo ni demokrasia ya chama kimoja. Ndani ya CUF hakuna vyama vingi.Ama kweli Tanzania itakuwa nchi ya viwanda , nakiona kiwanda kikuuuubwa cha uongo, umbea na uzushi hapo Lumumba katika ubora wake.
Kama hana mke anawezaje michepuko?Njaa inamsumbua Lipumba ile Pesa milion 1.5 Dola alipewa na Membe akawakacha wenzake imeisha baada ya kununua nyumba Rwanda na ingine akala na michepuko utitiri imekwisha ndipo kabuni Mladi mpya kapeleka CCM wameamua kumfadhili sasa , madalali wa siasa wanakula Pesa nyingi kupitia mgongo wa Lipumba .
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake CUF imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa CUF mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla CHADEMA wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ana nguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama hicho
Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.
Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF.
Lipumba aliingia na mabaunsa 50 haaa haaa hizo fedha za kuwalipa kazitoa wapi.
Unaijua katiba ya CUF mkuu au unamtaka babu Duni agombee tuDemokrasia ambayo Seif alikuwa anazunguka dunia zima kuwaaminisha wazungu juu ya Znz bdo hiyo anaikanyaga Bila kuangalia madhara yake ndani ya Chama.
ukiangalia kwa ndani kitendo cha Babu Duni kukataa nafasi ya uongozi siku moja kabla ya uchaguzi kina maana sana kwenye siasa. Ila kwa nchi kama zetu, watu wanaona ni kawaida.
Mtatiro fedha alizopewa na Lowassa arudishe ndo aondoke ndani ya Chama. Maana anajifanya kujua mengi na kupambana na maovu wakati anapigia debe uovu. Ndo maana sijahi ona kafanya uchambuzi juu ya ufisadi zaidi ya utawala bora ambao anafundishwa na Mbowe.
Siku itafika hivi vyama vitakufa. Havina sera wala viongozi. Havijui kesho zaidi ya kuangalia CCM na Magufuli kafanya nini.
Wanatakiwa wajifunze siasa.
wanaomuunga mkono Prof Lipumba ndio walikuja juu mkutanoni hali iliyopelekea mkutano kuvurugika na hatimae kuahirishwa,haiingii akilini kwamba watu 14 tu walitosha kuuvuruga na kuutikisa mkutano mkubwa kama ule....TIME WILL TELL kama kweli Lipumba anaungwa mkono na watu 14 tu huko CUF.Story za kutunga hizi.
Lipumba out officially kapata kura 14 tu kati ya kura mia nne na ushee.
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake CUF imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa CUF mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla CHADEMA wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ana nguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama hicho
Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.
Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF.
Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.
ndiyo wahuni 14 ndiyo walileta fujo tumeshapiga kura huyo Lipumba msajilini huko CCM.wanaomuunga mkono Prof Lipumba ndio walikuja juu mkutanoni hali iliyopelekea mkutano kuvurugika na hatimae kuahirishwa,haiingii akilini kwamba watu 14 tu walitosha kuuvuruga na kuutikisa mkutano mkubwa kama ule....TIME WILL TELL kama kweli Lipumba anaungwa mkono na watu 14 tu huko CUF.
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake CUF imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa CUF mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla CHADEMA wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ana nguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama hicho
Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.
Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF.