Tetesi: Siri imefichuka CUF

Tetesi: Siri imefichuka CUF

Richmond ni ya kikwete sasa Kama alikula za kikwete angekubali Lipumba arejeshe Pumba , Lowasa Pesa hiyo kumbuka nyie mna serikali Pesa mnapata Hazina mkitaka Pesa popote mnapata mda wowote, hata mkutano Mkuu wa CCM michota mkaufanya japo CCM makao makuu walikuwa wamechalala, Usikariri propaganda za February yy analipwa kwa kubambikia Ukawa Uongo .
Mapinduzi ya mamluki wa chadema cuf imegoma
 
Siri zaidi ya huyu mwenye radio call ya polisi akimtia kwa nguvu lipumba ukumbini
Mchezo mchafu umevuja na lipumba bai bai siasa
1471859927730.jpg
 
Njaa inamsumbua Lipumba ile Pesa milion 1.5 Dola alipewa na Membe akawakacha wenzake imeisha baada ya kununua nyumba Rwanda na ingine akala na michepuko utitiri imekwisha ndipo kabuni Mladi mpya kapeleka CCM wameamua kumfadhili sasa , madalali wa siasa wanakula Pesa nyingi kupitia mgongo wa Lipumba .
Kama hana mke anawezaje michepuko?
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake cuf imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama icho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa cuf mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla chadema wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ananguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama icho ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama icho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama icho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa Cuf bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti cuf na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa Cdm. Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia Cdm baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama icho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya Cuf.


Lipumba hana lolote ni sawa na askari aliyekimbia vita wakati wa amani hawezi kuaminika tena.
 
Lipumba aliingia na mabaunsa 50 haaa haaa hizo fedha za kuwalipa kazitoa wapi.
 
Hivi hadithi za vijiweni zinaweza kuwa tetesi au uzushi?
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake CUF imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa CUF mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla CHADEMA wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ana nguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama hicho

Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.

Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF.

Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF. SIJUI UMEKOSEA AU NDYO UNAVYOMAANISHA??
 
Demokrasia ambayo Seif alikuwa anazunguka dunia zima kuwaaminisha wazungu juu ya Znz bdo hiyo anaikanyaga Bila kuangalia madhara yake ndani ya Chama.
ukiangalia kwa ndani kitendo cha Babu Duni kukataa nafasi ya uongozi siku moja kabla ya uchaguzi kina maana sana kwenye siasa. Ila kwa nchi kama zetu, watu wanaona ni kawaida.
Mtatiro fedha alizopewa na Lowassa arudishe ndo aondoke ndani ya Chama. Maana anajifanya kujua mengi na kupambana na maovu wakati anapigia debe uovu. Ndo maana sijahi ona kafanya uchambuzi juu ya ufisadi zaidi ya utawala bora ambao anafundishwa na Mbowe.

Siku itafika hivi vyama vitakufa. Havina sera wala viongozi. Havijui kesho zaidi ya kuangalia CCM na Magufuli kafanya nini.
Wanatakiwa wajifunze siasa.
Unaijua katiba ya CUF mkuu au unamtaka babu Duni agombee tu
 
Story za kutunga hizi.
Lipumba out officially kapata kura 14 tu kati ya kura mia nne na ushee.
wanaomuunga mkono Prof Lipumba ndio walikuja juu mkutanoni hali iliyopelekea mkutano kuvurugika na hatimae kuahirishwa,haiingii akilini kwamba watu 14 tu walitosha kuuvuruga na kuutikisa mkutano mkubwa kama ule....TIME WILL TELL kama kweli Lipumba anaungwa mkono na watu 14 tu huko CUF.
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake CUF imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa CUF mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla CHADEMA wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ana nguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama hicho

Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.

Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF.

Atampinduaje kiongozi aliyejiuzulu maana hana madaraka yoyote ndani ya CUF!! Frey, Ebu fafanua kidogo hapo.
 
Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.


Kama kweli CUF hamwezi kumkubali Mtatiro kuwa Chairman kwa uhai wachama chenu kweli kuna wajumbe wanaobeba kichwa kwa kufugia nywele tu.
Mtatiro ni mtu sahihi kwa ustawi wa CUF kwa sasa.
 
wanaomuunga mkono Prof Lipumba ndio walikuja juu mkutanoni hali iliyopelekea mkutano kuvurugika na hatimae kuahirishwa,haiingii akilini kwamba watu 14 tu walitosha kuuvuruga na kuutikisa mkutano mkubwa kama ule....TIME WILL TELL kama kweli Lipumba anaungwa mkono na watu 14 tu huko CUF.
ndiyo wahuni 14 ndiyo walileta fujo tumeshapiga kura huyo Lipumba msajilini huko CCM.
 
Kisa cha Prof Ibrahim Haruna Lipumba kutaka kurejelea kiti chake CUF imefichuka. Maalim Seif alipanga kumfuta kabisa uanachama wa chama hicho. Ikumbukwe kuwa Prof Ibrahim Lipumba alitangaza kujiuzulu uwenyekiti wa CUF mwaka Jana 2015 lkn aliamua kubaki mwanachama wa kawaida lakini gafla CHADEMA wakashtuka baada ya kugundua kuwa Lipumba bado ana nguvu ndani ya chama icho kitendo ambacho kitawazuia kukitumia chama hicho

Ndipo walipomuuzia wazo Maalim Seif kumtimua ktk chama hicho Prof Lipumba na Maalim Seif kiafiki wazo hilo ndipo mpango ukaanza kusukwa na ustadi mkubwa na kukabidhiwa kijana machachari wa chama hicho Julius Sunday Mtatiro kuwashawishi wanachama wa CUF bara huku akihadiwa kusaidiwa kifedha kuukwaa uenyekiti CUF na kuna tetesi kuwa alipewa gari na kiongozi mpya wa CHADEMA.

Baada ya Prof Lipumba kunasa mkakati huo ndipo alipoamua kutaka kurejea ktk nafasi yake ili kupimana na nguvu na Maalim Seif. Tetesi zilizopatikana usiku huu zinadai Julius Mtatiro anajiaandaa kuhamia CHADEMA baada ya mapinduzi yake dhidi ya Lipumba kushindwa kufanikiwa jambo ambalo linamweka ktk wkt mgumu kisiasa ktk chama hicho na uwenda akatimuliwa uanachama ndani ya CUF.

Hama kweli hii ni siri kutoka jumba la mang'ombe wenye mikia.
Kutunga na kuzusha ni TUNU katika chama chenu cha zamani.
Tatizo lenu hata mtoto mdogo ananga'mua mapema uzushi wenu
 
Back
Top Bottom