Siri imefichuka, hatimaye Admin wa CAF amejulikana kutokana na utoto wa Ahmed Ally

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Watu wa Simba kuweni makini na huyu mtoto Ahmed Ally atakuja kuwagharimu, tunza hii thread mtakuja kuthibitisha ninachowaambia Leo.

Mwenye macho na aone ugomvi wa Barbara na Manara ni kuvujisha siri, ila Kwa huyu Ahmed Ally Kwa utoto wake msiruhusu ashiriki vikao vyenu nyeti mmekwisha, mtafungwa na Yanga hata miaka 10 mfululizo.

 
Si vibaya hii Picha ya Admin wa CAF ikisambazwa mpaka tujuwe majina yake na Uraia wake ili tuweze kumjua kiundani.

Kunguni ameshasagwa kazi kwenu wananzengo.
 

Attachments

  • FB_IMG_1663733892218.jpg
    60.5 KB · Views: 8
Inawezekana nchi hii swala la afya ya akili ni tatizo kubwa sana.

Halafu aina ya mleta mada ndo vijana wanaolalamika hakuna ajira!

Uwe na kazi yako umwajiri kijana maamdazi kama huyu kweli?
 
Kama Rais wa CAF anajulikana sembuse mtendaji, hizi akili nyingine za kimaandazi kweli ya Simba wamfiche mtendaji wa CAF kwani hiyo Taasisi ni mali ya mtu
 
Kwani Ahmedy Ally si anajiita msemaji wa CAF? Kwani akimuita admin wa Simba kuwa ni admin wa CAF, hapo kuna siri gani imefichuka? Au kuwa admin ni siri? Mbona humu JF kuna ma admin kibao na wanajulikana, akina Payge, Bridger, Active na wengineo wengi tu?
 
Kama anajurikana kitambo tutajie majina yake, Uraia wake na utueleze tangu lini Admin akawaambia timu Fulani kesho nawapost nyinyi?

Ina maana hizi bahasha hadi kwenye kupostiwa CAF?

Kweli Wabongo ni watu wa ajabu kuliko maajabu yenyewe.
Kwa akili hii nitashangaa ukiniambia umeajiriwa au umejiajiri na una familia. Kwa uandishi huo unapaswa kuwa sebuleni kwa shemeji yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…