3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Tatzo uto wengi wanaona hatua wanayopiga simba kama haramu kwao na wamejaa chuki tupu lakini na wao wakitaka kupiga hatua kisiri siri wanaiga njia za simbaMimi mwenyewe ni admin wa system fulani huku ofisini, lakini wala huwa sio siri kujulikana kuwa mtu fulani ni admin, siri ni password ya system. Ndugu Matola sijajua admin wa Simba aka admin la CAF unachukuliaje kama akijulikana hadharani, kwamba eti siri imevuja? 🤣 🤣 🤣
Mleta mada atakuwa kundi moja la yanga whatsapp makao makuu mule ndani wamejaa vilaza watupu