Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #61
Sikuwahi kufikiri kama una utoto wa kiasi hiki. Nakupa ofa kabla ya kupost humu consult na mimi kwanza. Itakusaidia
Wewe huyu au mwingine?Natamani Mods wamfichie hii aibu
Sasa hapo wapi nilisema uongo, shida nini hapoWewe huyu au mwingine?
Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣www.jamiiforums.com
Anazugazuga tu humu kuhalalisha Uzi wake ila hapo alipo Nzi kibao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Natamani Mods wamfichie hii aibu
Angekimbia akaupotezea uziAnazugazuga tu humu kuhalalisha Uzi wake ila hapo alipo Nzi kibao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakushauri ujifiche kwanza upepo itulie. Ndio tunavyofanya tukivuna aibuKuna vitu muhimu zaidi kuliko Katiba, kubali au kataa
Bado nawashangaa sana watu waliokuwa wanaibeza Royal Tour na kusema kwamba Rais Samia Suluhu anapoteza muda bora katiba. Mimi nafikiri sasa watanzania tunapaswa kutambua kuna vitu vya muhimu zaidi kuliko katiba, hivi royal tour ingefanyika saa ngapi kama mama angeanza na katiba? Hivi mnahisi...www.jamiiforums.com
Huna akili. Angalia hizi screenshot Kwa makini.Mkuu umezingua sana wakati mwingine ni vyema kukaa kimya kuepuka aibu ndogo ndogo kama hizi,ina maana hujui alichopost Ahmed ni kama utani kwa yanga kwa kile wanachodai ni kwanini page ya caf mara nyingi wanapenda kuipost simba! Ndio akachomekea kwamba basi admin wa huo ukurasi ni huyo mpiga picha wa simba.
Wewe potezea huu upumbavu wako.Angekimbia akaupotezea uzi
Ona hii takataka yenu bado inaendeleza utoto wake.Hivi nikisema wewe huna Akili. Nitakuwa nimekosea?
Alivyo mbwiga anazidi kukomaa kudhihirisha zile tuhuma saba alizopewa na Gentamycine.Angekimbia akaupotezea uzi
Itakuwa unapakuliwa na huyo Genta au ndio zile United Republic of Genta popoma Id'sAlivyo mbwiga anazidi kukomaa kudhihirisha zile tuhuma saba alizopewa na Gentamycine.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Simba wote mambumbumbu, aibu IPI?Mtu mzima kapata aibu ya mwaka leo teh.
Mkuu, kwani manara alisemaje kuhusu aina hii ya watu? huwa hawana muda wa kufikiri hawa. ni hamnazo tu.Sikuwah kujua kama una akili ndogo kiwango hiki
Kabla ya kupost mambo mengine humu uliza hata hao wadada unaoshinda nao hapo salon wanaweza kuwa wanajua kuliko wewe
Huyo ni mpiga picha wa SIMBA SC unataka nikupe na jina lake.