Hizo ni record za bakhresa na team yake za propaganda ili simba apewe pesa ndogo kutoka azam maana waligomea ku sign azam ni kama ilivyokuwa kwa sportpesa pesa propaganda za soka la bongo huzijui ww pia sikulazimishi ukubali nilichosema.Yanga haitaji kumuhonga mtu Ili aje kuitazama
kwa rekodi tu msimu jana ikiwa mbovu iliongoza kwa kutazamwa uwanjani pia msimu huu sasa izi stori za kibwege bwege unatoa wap?
Ukitazama kwA jicho la wivu utaishia jifariji kuwa jezi mbovu ila toka moyoni una kili ni jezi kali mno
Subiri ufunguzi wa ligi tupige nyau goli za kutosha uje na stori za walihujumu mechi
Kwa akili kama hizi Mtu aje aniambie Pierre Liquid hawezi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?Unaambia hao transit camp msimu ulioisha hawajapoteza hata mechi moja halafu walifika final CAF champion's league ila utopolo ndo maana yule zeru zeru anaona aibu hata kupost huo utumbo maana kuna tofauti kubwa sana kati ya anayecheza na dereva taxi na watu wa camp.
Msiwe na wasiwasi mnajua hata ile mechi ya Mwanza Nayo Yanga walinunua.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaani kinyeo fc aka we ...kundu la msimbazi hamlali kuwasema mabigwa wa Tanzania .
Endelleni kubweka bwana wenu atawalipa
Kuna wagonjwa wetu wengi wametutoroka hapa Milembe tunawatafuta ili warudi waendelee na matibabu, ukiwaona wenye dalili tufahamishe tuje tuwachukuwe!Nasikitika sana mkongwe Kama wewe kuzungumza porojo bila uthibitisho
Usajiri ndiyo Kiswahili gani hiki labda?Mikia subirini kipondo tu hivi kwa usajiri huu mnategemea nini?
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
So what?Iyo Trans imecheza tena Ndondo cup wamepigwa 3 bila sijui na ka timu gan hukoooo
Yanga walicheza na timu mbovuuSo what?