Siri imefichuka kumbe Transit Camp waliombwa wafungwe Goli nyingi jana ili 'Kushawishi' Mashabiki wajae 'Watu Day' tarehe 6 August, 2022!!!

Hizo ni record za bakhresa na team yake za propaganda ili simba apewe pesa ndogo kutoka azam maana waligomea ku sign azam ni kama ilivyokuwa kwa sportpesa pesa propaganda za soka la bongo huzijui ww pia sikulazimishi ukubali nilichosema.
 
Kwa akili kama hizi Mtu aje aniambie Pierre Liquid hawezi kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania?
 
All in all tunawashukuru MACHOKO A.K.A MAKOLO MIKIA MWIJAKU FC Kwa kutufuatilia waume zenu YANGA kwa kila hatua tunayopiga... Na msimu huu tunaendelea kuwakojolea hadi bleed yenu ikate... Mkilala mkiamka mnaiwaza Yanga tu au ndio mnajisahaulisha utam wa bao la Mayele na Feisal walilowatia...
 
Iyo Trans imecheza tena Ndondo cup wamepigwa 3 bila sijui na ka timu gan hukoooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…