Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

Tetesi: SIRI IMEVUJA: CHADEMA mikononi mwa kampuni ya BELG Sea International

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
SIRI IMEVUJA

Wapatiwa malipo makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundu Lissu kuvuruga uwekezaji.

Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa cha malipo ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. Taarifa zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanya shughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa maboresho ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo baadhi ya wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundu Lissu kutaka fedha hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa baraka hizo na hadi jana Julai 26, 2023 kiasi cha Bilioni 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundu Lissu Kwa ajili ya Mpango huo na uzinduzi rasmi utafanyika Bukoba Julai 28, 2023.

Wajumbe wameonesha hofu yao kuwa pesa hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman Mbowe alipotoka Gerezani.

20230727_143227.jpg
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
09727e1a06cebc8e57414df8e97ce55d.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani

Shida huweki vielelezo, umejaza maneno mengi mwishowe huto aminika.
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Hamna kitu kama hicho. Huu ni utumbo tu, peleka kwa nguruwe wakale
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Screenshot_2023-07-10-19-40-31-17_f541918c7893c52dbd1ee5d319333948.jpg
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
Domo kubwa chapati hukunji!
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
ndio muuze bandari kwa mkataba wa kimangungo?
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani

Watu kama wewe mlizaliwa mkiwa wehu tena na waliokuzaa ni wehu na vichaa, hiyo tenda ilishindaniwa wapi? Wakati ccm inasema iliwaona DP world kwenye maonesho wakaridhishwa nao moja kwa moja,
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
mpumbavu wewe
 
SIRI IMEVUJA

WAPATIWA MALIPO makubwa ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD inaitumia CHADEMA chini ya Tundulisu kuvuruga uwekezaji
Kamati kuu ya CHADEMA imekubali kiasi Kikubwa Cha MALIPO ya Kupinga Mkataba wa Uwekezaji katika Bandari. TAARIFA zinasema Kampuni kutoka Ubelgiji inayojulikana Kwa Jina la BELG SEA INTERNATIONAL ambao wanafanyashughuli za kupakia na kupakua mizigo katika Bandari mbali mbali Duniani walikuwa washindani wakubwa wa DP WORLD katika kupata Tender ya kuwekeza katika Bandari za Tanzania.

Kampuni ya BELG SEA INTERNATIONAL imeingia makubaliano na CHADEMA chini ya wakala wake Tundulisu ambaye ni Makamu Mwenyekiti kuvuruga uwekezaji wa MABORESHO ya ufanisi wa bandari Tanzania.

Hata hivyo Baadhi ya Wajumbe wa Kamati kuu wamegoma kuingia katika makubaliano hayo sababu Makamu Mwenyekiti Tundulisu kutaka fedha Hizo ziingie Kupitia akaunti zake zilizopo Nchini na nje ya Nchi.

Hata hivyo kofia ya Mwenyekiti imetoa Baraka Hizo na Hadi Jana Tarehe 26 JULAI, 2023 kiasi cha BILIONI 5.4 zimeingia katika akaunti za Tundulisu Kwa ajili ya Mpango huo na Uzinduzi Rasmi utafanyika Bukoba Tarehe 28 JULAI, 2023

Wajumbe wameonyesha Hofu yao kuwa pesa Hizo zikiingia kwenye akaunti binafsi zitapigwa kama fedha za +255KatibaMpya zilivyopigwa na Freeman MBOWE alipotoka Gerezani
TUNATAKA BANDARI ZETU!!!!
 
Back
Top Bottom