Siri imevuja namna Marekani alivyoionya Urusi kuhusu matumizi ya nyuklia Ukraine

Siri imevuja namna Marekani alivyoionya Urusi kuhusu matumizi ya nyuklia Ukraine

Halafu msitulishe matango pori kila mwenye Nuke yupo connected na nuke link kiasi kwamba ukigusa kila mwenye Nuke anajua ajiandae!
 
Kuna watu humu wanaongea utadhani ndio wapanga mikakati wa marekani au Urusi.

Mambo haypo kama wengi wanavyofikiria na ingekuwa hivyo leo hii tungeona kama alivyofanya Nancy Pelosi alikuwa anaenda China.

Fire power aliyonayo mrusi ni kubwa aidha kuizidi US au at per. Ndio maana always US hata maneno anayosema dhidi ya Urusi anachagua.

Tuongee simba na yanga labda tunazo taarifa sahihi zaidi kuliko haya ya Urusi na marekani
Hakuna kitu Russia anacho kinamtisha USA.

It's a matter of time before the collapse of Russia.
 
Kuna watu humu wanaongea utadhani ndio wapanga mikakati wa marekani au Urusi.

Mambo haypo kama wengi wanavyofikiria na ingekuwa hivyo leo hii tungeona kama alivyofanya Nancy Pelosi alikuwa anaenda China.

Fire power aliyonayo mrusi ni kubwa aidha kuizidi US au at per. Ndio maana always US hata maneno anayosema dhidi ya Urusi anachagua.

Tuongee simba na yanga labda tunazo taarifa sahihi zaidi kuliko haya ya Urusi na marekani
👍👍👍 🤝💯. Pia humu JF ni siasa za ndani tu international hamna kitu watu hawajui chochote ni snitch ass au fake ass.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mtoa mada sina shaka ana ugonjwa wa akili, maana kila baada ya dk kadhaa uzi wa kuipondea Urusi yaan kila saa ni nyuzi hizo hizo tu.
Mods unganisheni hizi takataka ziwe kwenye fungu moja.
 
Hata Museveni leo akiongea na Putin leo kuhusu vita atamwambia asitumie siraha za nyuklia. So hamna jipya katika wanachokifanya US. Au ni lini US walikubaliana au kumruhusu Urusi kufanya chochote kwenye mambo ya usalama?
 
Hivi Mfumo wa nchi kubwa kama US unaruhusu mtu mmoja kuwa na maamuzi juu ya nchi? Au raisi anakua mwakilishi tu wa maamuzi ya wafanya maamuzi akiwemo yeye?
Mifumo si mawe bali ni watu wamejiwekea taratibu!
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna watu humu wanaongea utadhani ndio wapanga mikakati wa marekani au Urusi.

Mambo haypo kama wengi wanavyofikiria na ingekuwa hivyo leo hii tungeona kama alivyofanya Nancy Pelosi alikuwa anaenda China.

Fire power aliyonayo mrusi ni kubwa aidha kuizidi US au at per. Ndio maana always US hata maneno anayosema dhidi ya Urusi anachagua.

Tuongee simba na yanga labda tunazo taarifa sahihi zaidi kuliko haya ya Urusi na marekani
Sasa unatuambia tuongee ya Simba na Yanga wakati wewe unaongelea ya Urusi na US?
 
Mbona huongelei silaha za kimarekani zilizo shindwa vibaya sana na silaha za kiiran kwenye medani ya kivita huko Yemen na Syria?
Mada hapa ni US vs Russia,hayo ya Yemen yaanzishie Thread yake waru watakuja kuchangia
 
Mada hapa ni US vs Russia,hayo ya Yemen yaanzishie Thread yake waru watakuja kuchangia
Kama ana haki ya kuziona silaha za Urusi hazina ubora kwa sababu ya kushindwa ndani Ukraine kama anavyo dai?

Basi na mm nina haki ya kuziona silaha za kimarekani ni takataka kutokana na kushindwa vibaya kwenye medani ya kivita ndani Yemen na Syria tena zilishindwa na silaha kutoka kwenye nchi ambayo bado ni changa kitekinorojia.
 
Kwamba siku akitumia nyuklia ndio atakutana na anachokitafuta. Wazimu mwenye haraka ya kubonyeza vitufe vya nyuklia, hataruhusiwa dunia hii.

======

View attachment 2366311The U.S. has privately been warning the Kremlin for months of consequences if they use a nuclear weapon in their conflict with Ukraine, according to officials.

Anonymous officials told The Washington Post that the White House has publicly been purposefully vague about what those consequences would be in an attempt to build concern among Russian leaders, a method of nuclear deterrence called “trategic ambiguity.”

President Biden underlined his opposition to Russian President Vladimir Putin’s threat to use nuclear weapons in an interview with CBS’s “60 minutes” on Sunday, where he warned the Russian leader not to “change the face of war.”

“Don’t. Don’t. Don’t. You will change the face of war unlike anything since World War II,” Biden said when host Scott Pelley asked for a message to Putin concerning weapons of mass destruction.

Biden added that the U.S. response to Russian use of nuclear weapons would depend on “the extent of what they do.”


MSN
Urusi wamepoteana na bado
 
Vita huwa vipo tu,hata marekani anapigana vita vyake,lakini vita vina sheria zake.Anachofanya Biden ni kumuonya Putin asivunje sheria za vita kwa kutumia silaha zisizotakiwa.
Kwa hiyo tuseme,Urusi akizidiwa ataomba ruhusa ya Marekani kutumia nyukilia?
 
Hakuna kitu Russia anacho kinamtisha USA.

It's a matter of time before the collapse of Russia.
Hakuna kitu kibaya kama kukalili.

Toka Dunia iumbwe Marekani haijawahi kupigana vita kubwa ndani ya ardhi yake.
Tukio alilopigwa Marekani na Japan Pear Harbour ndilo lilopelekea Marekani kutumia nyukilia.
Nakukumbusha Urusi Sio Japan.
 
Maonyo.
Maonyo.
Maonyo.maonyo Kila siku,Marekani iliionya Urusi isiivamie Ukraine,Urusi ikavamia.

Marekani iliionya Urusi kua ikiivamia Ukraine isahau mradi wa Nordsteam2,Urusi ikavamia,

Marekani inasubiri Urusi itumie nyukilia ndipo nayo itumie "silaha Kali kabisa zaidi ya nyukilia ambayo pengine Urusi Haina".

Kwa Hali ilivyo,kama Urusi Ingekua ndio Iran,Argeria,Pakistan,ama India nadhani siku nyingi sana ingekwisha wachukua mashoga zake na kuingia vitani mazima.
Lkn Amini,Amin nakuambia wanaogopa kuingia kwa sababu ni Urusi.
Sio maneno yangu ni maneno ya Rais wa Marekani mwenyewe aliwaambia raia wake kuwa hatutaingiza majeshi kuisaidia Ukraine,kwani safari hii tunadili na moja ya jeshi kubwa sana hapa ulimwenguni,akimaanisha Urusi.
Kwangu Mimi hii ilikua kauli ya uoga.

Biden akaendelea kusema,safari hii hatudili na magaidi.

Kimsingi magaidi ni vikundi vinavyoongozwa na watu binafsi.
Magaidi ni tofauti na mataifa.
Magaidi hawana Air force,navy, landforce iliyokamilika.ni wapiganaji dhaifu sana.
Hawa ndio saizi ya Marekani,lakini sio Urusi.
Hii ni kwa mujibu wa Joe Biden,Rais wa Marekani.
 
Kwa hiyo tuseme,Urusi akizidiwa ataomba ruhusa ya Marekani kutumia nyukilia?
Hayo ni maamuzi yake,ila ujue kila vita inapotokea kunakuwa na watu wanafuatilia,Mashirika ya haki za binadamu,umoja wa mataifa na mataifa makubwa.Haya yanahakikisha sheria za vita zinafuatwa,ukikiuka ni hiyari yako lakini ujue utashughulikiwa.
Suala la silaha za nyuklia ni controversal sababu hazitakiwi lakini mataifa makubwa yanatengeneza kisiri siri.
 
Wakati wa uchaguzi wa Hillary dhidi ya Donald, nilisema Donald ataiua US taratibu lakini Hillary ataiua haraka sana. Sasa ninaanza kuamini kuwa adui wa Wamarekani ni chama Cha democrat. Wamemuweka Joe madarakani naye anaelekea kuiua US haraka zaidi ya nilivyokuwa nimebashiri wakati ule wa Hillary dhidi ya Donald.
Yaani wewe mzibua vyoo WA Tandale ndio unajua internal politics na strategic advantages za Marekani sio ?
Mxieew
 
Mbona huongelei silaha za kimarekani zilizo shindwa vibaya sana na silaha za kiiran kwenye medani ya kivita huko Yemen na Syria?
Wewe mpumbavu Marekani kapigana lini vita Syria au Yemen , hivi unafikiri humu unajadiliana na ngumbaru wenzako sio ?
 
Mwambieni aitumie hiyo firepower, amelemewa mpaka anakusanya wanywa gongo...
Alianza na wanajeshi wake na mamluki WA Wagner wakachinjwa kama kuku kwenye battle fronts Amekusanya convicts toka magerezani Anaona wanavgochinjwa kila siku na Himars huko Ukraine sasa hivi kavamia Kwa raia naona nao wanamtosa wanakimbilia Georgia ,Finland ,Poland ,convoy za magari kuikimbia forceful recruitment ya mpuuz mwendawazimu Putin ni kubwa
 
Wakati wa uchaguzi wa Hillary dhidi ya Donald, nilisema Donald ataiua US taratibu lakini Hillary ataiua haraka sana. Sasa ninaanza kuamini kuwa adui wa Wamarekani ni chama Cha democrat. Wamemuweka Joe madarakani naye anaelekea kuiua US haraka zaidi ya nilivyokuwa nimebashiri wakati ule wa Hillary dhidi ya Donald.

Continue dreaming [emoji42]
 
Back
Top Bottom