Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710

1. Swali la msingi ni kwanini unarudi chini? Kipi usichoelewa? Wewe umetoa mechanism ya kufanya usirudi chini ila hujajibu kwann unarudi. Msingi wa swali ubaki pale pale, Kwa sababu nitakuuliza hii Dunia chapati yako imeshikiliwa na nini.

2. Yaani wewe unakwepa sana msingi wa swali. Easy question tu kuwa ni nini kinasababisha eclipses lakin unaruka ruka tu hapa hakuna kuruka, majibu yako ya Dunia haihusiki nan kasema inahusika? Jibu Kwa uelewa wako usijishitukie.

Nimekuuliza hili swali Kwa sababu ya kile tunachoona kipindi Cha hizi eclipses, Kwa mfano kipindi Cha lunar solar eclipse tunaona Jua linakuwa intercepted na object nyingne, swali ni kivipi? Sio unajibu simple tu wakat NASA huwa wanatabiri ni siku Gani na sehem Gani hii kitu itatokea au unadhani ni Kwa bahati tu inatokea? Na wao NASA na mamlaka nyingine za Anga zimeelezea vizuri mpaka nikaelewa japo sijafika huko kuona ila unaona inamake sense sio ww unasema tu kunaobject zina-interfere, seriously hata ww ungejielewa?

Kuhusu Moon phases pia unajibu simple simple tu, me sipo hapa Ili kushinda hii mada Bali nipate mwanga zaidi kuhusu umbo la Dunia yetu na ndio maana Kuna jamaa hapo nyuma nilimuelewa nikasema atleast ana make sense.

Umesema "Moon phases zinatokana na jinsi Mwezi unavyofanya movement kwenye anga....ambapo phase ya kwanza inaonyesha visibility ambapo Mwezi huonekana ncha yake Tu 🌙 ..." Hivi hata wewe unaona haya maelezo yako yamekamilika? Hivi mtu usomee maelezo ya NASA alafu asome na haya yako kwann asiamini NASA? Sa hapo umejibu nini? Swali litabaki ni kivipi mwezi uonekane full , na wakati mwingne uonekane hivi 🌙 au vingnevyo?


5. Refraction ni kupinda Kwa mwanga, so elezea refraction kivipi inasababisha tuone tunachokiona sio kusema tu ni refraction na mwingne anaweza kuja hapa akasema ni relative density Kwa tunahitaji maelezo yako hapa,

Nimesema Jua lingne Kwa maana refraction inahusisha incident ray( real sun) na refracted ray (Jua unalolisema ww tunaliona). Au Kuna refraction nyingne tena?

Na swali la ziada umesema Jua na mwezi vinazunguka kwenye realm Moja, je ni nini kinachofanya au sababu ya huo mzunguko? kitu hakiwezi kuzunguka tu bila sababu.
Na hapo awali nimekuuliza ni nn kimeshikilia hii chapati yako( flat earth)

Note: Tunaomba maelezo ya kutosha kama yatolewayo na mamlaka za Anga mbali mbali ambazo zilitufanya tukaona zinamake sense sio majibu mepesi tu kama yako . Asante.
 

1. Swali la msingi ni kwanini unarudi chini? Kipi usichoelewa? Wewe umetoa mechanism ya kufanya usirudi chini ila hujajibu kwann unarudi. Msingi wa swali ubaki pale pale, Kwa sababu nitakuuliza hii Dunia chapati yako imeshikiliwa na nini.

2. Yaani wewe unakwepa sana msingi wa swali. Easy question tu kuwa ni nini kinasababisha eclipses lakin unaruka ruka tu hapa hakuna kuruka, majibu yako ya Dunia haihusiki nan kasema inahusika? Jibu Kwa uelewa wako usijishitukie.

Nimekuuliza hili swali Kwa sababu ya kile tunachoona kipindi Cha hizi eclipses, Kwa mfano kipindi Cha lunar solar eclipse tunaona Jua linakuwa intercepted na object nyingne, swali ni kivipi? Sio unajibu simple tu wakat NASA huwa wanatabiri ni siku Gani na sehem Gani hii kitu itatokea au unadhani ni Kwa bahati tu inatokea? Na wao NASA na mamlaka nyingine za Anga zimeelezea vizuri mpaka nikaelewa japo sijafika huko kuona ila unaona inamake sense sio ww unasema tu kunaobject zina-interfere, seriously hata ww ungejielewa?

Kuhusu Moon phases pia unajibu simple simple tu, me sipo hapa Ili kushinda hii mada Bali nipate mwanga zaidi kuhusu umbo la Dunia yetu na ndio maana Kuna jamaa hapo nyuma nilimuelewa nikasema atleast ana make sense.

Umesema "Moon phases zinatokana na jinsi Mwezi unavyofanya movement kwenye anga....ambapo phase ya kwanza inaonyesha visibility ambapo Mwezi huonekana ncha yake Tu 🌙 ..." Hivi hata wewe unaona haya maelezo yako yamekamilika? Hivi mtu usomee maelezo ya NASA alafu asome na haya yako kwann asiamini NASA? Sa hapo umejibu nini? Swali litabaki ni kivipi mwezi uonekane full , na wakati mwingne uonekane hivi 🌙 au vingnevyo?


5. Refraction ni kupinda Kwa mwanga, so elezea refraction kivipi inasababisha tuone tunachokiona sio kusema tu ni refraction na mwingne anaweza kuja hapa akasema ni relative density Kwa tunahitaji maelezo yako hapa,

Nimesema Jua lingne Kwa maana refraction inahusisha incident ray( real sun) na refracted ray (Jua unalolisema ww tunaliona). Au Kuna refraction nyingne tena?

Na swali la ziada umesema Jua na mwezi vinazunguka kwenye realm Moja, je ni nini kinachofanya au sababu ya huo mzunguko? kitu hakiwezi kuzunguka tu bila sababu.
Na hapo awali nimekuuliza ni nn kimeshikilia hii chapati yako( flat earth)

Note: Tunaomba maelezo ya kutosha kama yatolewayo na mamlaka za Anga mbali mbali ambazo zilitufanya tukaona zinamake sense sio majibu mepesi tu kama yako . Asante



Kwanza samahani, Kuna maelezo kabla ya hayo maneno uliyoquote, kwahy toa ufafanuzi kama umekubaliana nayo au la! Kama jinsi nilivyokiri kwako.

Mimi kama Mimi, nimetumia observational method Kwa ku-observe celestial bodies kama stars na Sun across the sky.

Lakini pia Kuna experiments na observations mbali mbali zimeshafanyika jaribu kuzipitia uelewe zaidi kama Curiolis effect ambayo inasababisha moving object on the Earth's surface kuwa deflected, na experiment ya Foucault pendulum demonstration.

Je wewe binafsi umetumia njia Gani kujua Dunia haurotate Bali Jua linamove?

Kumbuka, hata nikikwambia wakati wa mchana uangalie Jua angani huwezi kuona linamove au nadanganya? Ila tunakuja kuona effect tu baada ya muda kadhaa kupita kuwa Jua halipo kwenye position lililokuwapo kwenye uso wetu wa Dunia which haimaanishi Jua ndio limemove Bali hata Dunia inaweza kumove na ikasababisha tuone same effect.

Note: Dunia ina-spin very slowly, just imagine it takes 24hrs kumaliza rotation Moja.
ASANTE....
 
1.Enhe,haya kwanini watudanganye, Haya wakitudanganya Luna faida ipi kwao...?

2.So huko kwenye cha ya dunia, ukifika ukajirusha utaanguka...

3.Kwahiyo ni dunia tu ndiyo tambarare, celestial bodies nyingine zote kama nyota na Sayari ni tambarare.
Kwanza wanakudanganya ili usiamini vitabu vitakatifu further more usiamini uwepo wa mwenyezimungu (huo ni mpango wa shetani kuwaweka waja mbali na mola muumba). Faida yao kwa duniani ni pesa tu ila after death ni majuto tu

Pili huko mwisho wa dunia kamwe huwezi jua kuna nini kwa sababu achilia mbali kujirusha, huwezi tu kujaribu kufika huko. Sababu ni barafu iliyopo huko! Barafu ya ulaya na marekani tu imewashinda ndiyo ije kuwa barafu ya huko ukingoni!

Tatu ujue kila kitu ni kwa kiwango. Kisicho na kiwango ni mola mwenyezimungu tu kwahiyo siyo lazima kila kitu mtu ajue wala siyo lazima kila kitu mtu ahoji. Kuna faida yoyote kwa muulizaji atakayoipata juu kuhoji huko? Kuna watu wamekufa hawaijui hata ndege! japo wameiona mara kadhaa kwa mbaaaali ikipita juu ya anga lakini hawakuwahi kupata wa kumuuliza hata kuhusu hiyo kitu. Je kufa kwao bila kuijia ndege unadhani ni makosa kwao?

Amesema mola aliiumba ardhi na mbingu vimeambatana (vimeshikana) kisha akaviambua (akaviachanisha) akaitandaza na kuumba vilivyomo ndani yake, kisha akasema ameumba jua na mwezi vyote vinajongea kwenye njia zao maalumu kwa muda maalumu uliowekwa. Vyote hivyo tunavitumia kwa ajili ya manufaa mbalimbali (yametajwa baadhi). Mwisho anasema basi tumwabudu yeye tu mola wa vyote hivyo na wala hajasema tutafute ukubwa wa jua/mwezi au dunia nk. Wala hajasema jua au mwezi vina umbo gani ila kasema tu vinajongea japo hazuiwi mwanadamu kutafiti mambo

uzuri ni kwamba binadamu wanafanikiwa kufanya tafiti nyingi kubwakubwa na za msingi. Ubaya ni kwamba matokeo ya tafiti nyingi hizo yanapitishwa kwenye chujio la the so called "MAMLAKA" ambapo kunaingizwa upotoshaji eidha kwa kuondoa baadhi ya yaliyokwemo au kuongeza baadhi ya yasiyokwemo au kuzuia kabisa isitangazwe tafiti yenyewe. Tena aliyehangaikia utafiti akishika msimamo juu ya kazi yake ndo kabisa hadumu. Sawa na mtaalamu/msomi anapoingia kwenye uongozi kuna vitu akitaka kuvihandle kitaalamu wanasiasa wanamzuia kwa maslahi ya siasa matokeo yake anaingia nayeye kuwa mwana siasa na akikomaa na misimamo yake ya kitaalamu...

Fuatilia huyo ARMSTRONG alisemaje baada ya tafiti zake huko angani na kilimpata nini? Fuatilia Keith Moore mtaalamu mwanaembriolojia aligundua nini kuhusu embryology na akaahidi nini na kikamkuta nini?
 
1. Swali la msingi ni kwanini unarudi chini? Kipi usichoelewa? Wewe umetoa mechanism ya kufanya usirudi chini ila hujajibu kwann unarudi. Msingi wa swali ubaki pale pale, Kwa sababu nitakuuliza hii Dunia chapati yako imeshikiliwa na nini.
Jibu la msingi ni kwamba,. unarudi chini kwa kuwa huna mechanism ya kukufanya uende juu.

Kinachokuzuia kuelewa hii ni Kwasababu ushakariri kwamba unarudi chini kisa gravity...kitu ambacho sio kweli.
 
2. Yaani wewe unakwepa sana msingi wa swali. Easy question tu kuwa ni nini kinasababisha eclipses lakin unaruka ruka tu hapa hakuna kuruka, majibu yako ya Dunia haihusiki nan kasema inahusika? Jibu Kwa uelewa wako usijishitukie.
So,.umesoma maelezo lakini hujaona ni ipi sababu inayopelekea Eclipses? Sidhani kama unasoma wewe

Narudia hapa kuiweka simple kabisa..... Eclipses zinasababishwa na objects ambazo zipo kwenye movements within the sky Ku intercept,..kitu ambacho kinapelekea mwanga wa object ambayo imepatwa kuwa blocked!

Sasa kama unataka upate majibu sawa na ulichokariri,.sina cha kukusaidia.
 
Jibu la msingi ni kwamba,. unarudi chini kwa kuwa huna mechanism ya kukufanya uende juu.

Kinachokuzuia kuelewa hii ni Kwasababu ushakariri kwamba unarudi chini kisa gravity...kitu ambacho sio kweli.
Tatizo lako unajishitukia nimekupa nafasi ya kunielimisha kuhusu unavyoelewa wewe sasa unaanza ooh tatizo nimekariri, we Kwa akili yako tu unaona umejibu swali langu?
Swali litabaki pale pale ni kwann mpaka uhitaji hiyo mechanism Ili uende juu bila kurudi chini?
 
Nadhani unachanganya mambo... Refraction kwenye context ya kulifanya Jua lionekane large & as if linazama,. It's just an Illusionary perspective of The Sun(Only one sun) na sio kama unavyodai kwamba real one na Jua unaloliona.......

Refraction Inasababisha bending of light as it passes from one medium to another. This is caused by the different densities of the two mediums. When light from the sun enters the Earth's atmosphere, it is refracted and bent towards the Earth's surface. This makes the sun appear lower in the sky than it actually is.

At sunset, the sun is low in the sky and the light from the sun has to travel through more of the atmosphere to reach our eyes. This means that the light is refracted even more, and the sun appears to be even lower in the sky than it actually is. This is why the sun appears to set.
The sun also appears larger at sunset than it does when it is high in the sky. This is because the light from the sun is being spread out as it travels through the atmosphere. This makes the sun appear to be a larger disk in the sky.


Nadhani Kwa maelezo hayo usipotesheka.... there's no way utaelewa tena.
 
Swali lako halina mantiki,..ushaambiwa huwezi kwenda juu bila kuwa na mechanism ya kukuwezesha uende,.kisha unauliza tena ni kwanini mpaka uhitaji hiyo mechanism?

Ni Kwasababu kwenda juu kunahitaji mechanism hiyo, ndiyo maana ukiwa hauna utarudi chini,
Simple!

Yani hapo ni sawa na kuuliza kwamba kwanini bila mafuta Gari haiwezi kufanya safari.
 
Nimekuuliza tu wewe Kwa uelewa wako unaona hayo maelezo yako yanamake sense?
Ni object Gani hizo? Hazijulikani? Na kivipi zina intersect?

Labda nikueleweshe tu, nitumie mfano wa solar eclipse kama NASA wanavyoelezea, wao wanasema ni pale jua kinapokuwa blocked na mwezi, je wangeishia kusema hivyo tu bila maelezo yoyote tungewaelewa? Na ndio maana wameelezea vzr tu. Wewe majibu yako Bado yanaacha maswali mengine tafadhali jibu accordingly.

Alafu usijishtukie... Mimi sijakariri na ndio maana nakusikiliza hapa Ili unipe majibu yako.
Na swala lingne je hayo maelezo yako umeyatoa wapi? Ulifanya utafiti mwenyewe? Ulisoma mahali? Au umetumia reference Gani kusema hivyo? Maana tunahitaji Assurance ya majibu unayotoa sio kujitungia tu.
 
,."kisha unauliza tena ni kwanini mpaka uhitaji hiyo mechanism?"
...ndio ni lazima nikuulize tena kwasabu hujajibu msingi wa swali.

"Ni Kwasababu kwenda juu kunahitaji mechanism hiyo, ndiyo maana ukiwa hauna utarudi chini,"
..... Bado hujibu msingi wa swali langu, umejibu swali lingne kabisa, ulitakiwa ujibu kwanza kwann tunarudi then ndo utoe mechanism ya kufanya tusirudi.

Enhee huu mfano wako wa gari ndo mzuri, kwahy wewe ni sawa na umejibu kwasabab gari linahitaji mafuta, ambapo Bado utaacha swali how mafta yanafanya gari lifanye safari? Sijui unaelewa lakini?
 
Bado hujasema exactly ni njia gani ya kitafiti uliyotumia na kukufanya ugundue without doubts kwamba Dunia ni spinning impossi-ball.

Maana ukisema umefanya observation,.unamaanisha unaweza kumpa Mtu maelekezo juu ya method uliyotumia kujua kama Dunia ina spin ili na yeye ai apply kupata hitimisho?
 
hateeb10 haujibu maswali accordingly, Kwabab unataka kukwepa msingi wa swali.
1. Issue ya gravity unajibu simple sana, unasema sio gravity sawa tufanye kukubaliana sio gravity then what, unasema ni hakuna mechanism inayofanya mtu apae, swali litabaki ni kwann mpaka upae it means Kuna kitu behind ambacho kina hinder ndo maana tunahitaji mechanism.

2. Swala la eclipse huwezi unajibu simple tu eti Kuna object zinablock Jua, ukiulizwa how? Unakuwa mkali,
Moon phases unakwepa hata majibu unayotoa sidhan hata ww unayaelewa.

3. Ni nini kinafanya Jua na mwezi vizunguke? Na nini kimeshikilia Dunia ambayo ni tambarare? Je inaelea? Au la! Na Kwa kivipi?
 
So, Kwa mfano NASA wangeishia kusema Jua linakua blocked na Mwezi kwenye Solar eclipse, usingeelewa?
Kitu ambacho you can easily observe with your own eyes.

Kimsingi ni kwamba Mimi sitokupa maelezo zaidi ya hayo,.. as that's all what I know labda kama unataka nitunge uongo sasa.

Maelezo yangu yanatokana na observations nilizofanya Mimi mwenyewe....hayapo influenced na taasisi yoyote.,
 
Njia ya kitafiti unamaana Gani?
Nimekwambia njia niliyotumia Mimi kama Mimi ni observations, nimeobserve celestial bodies kama Jua mwezi na nyota, angalia angani position ya Jua au nyota inahama as time goes, hii inamaanisha kwamba face ya Dunia inahama.

Lakini ukiunganisha dots, nimekupa other observations and experiments made scientifically Ili kusupport hiki kitu sijui umezisoma au umepuuza?
 
Face ya Dunia inahama?

Wewe ndiyo mtu pekee uliye observe scenario hiyo?
 
So, Kwa mfano NASA wangeishia kusema Jua linakua blocked na Mwezi kwenye Solar eclipse, usingeelewa?
. ...Sasa ungeelewa nini hapo? With no explanations? Mbona wewe hujawaelewa?

Observation Gani ilikufanya kuona Dunia na mwezi vinazunguka kwenye realm Moja? Observation Gani ilikufanya ukaamini kinachoblock Jua ni other objects rather than moon?
Observation Gani ilikufanya uamini Dunia imefunikwa na dome glass na inakingo za barafu zinazoshikilia maji ya Dunia?
 
1. Gravity nimelijibu ✔️
2. Eclipse✔️ & moon phase ⌛(Ni kweli moon phases sina details zaidi kuhusu, even though moon phases hai support by any means the idea kwamba Dunia ni Tufe.

3. Not only Jua & Mwezi.,..Sina details zaidi ya nini kinafanya celestial bodies zizunguke...&That doesn't mean kwamba theories ndiyo zinaelezea 100% correctly on what drives the celestial bodies.
 
Face ya Dunia inahama?

Wewe ndiyo mtu pekee uliye observe scenario hiyo?
Sio Mimi pekee, watu wengi pamoja na maelezo mengine niliyosoma yanasupport hicho,
Hujajibu swali langu pia ni njia Gani uliyofanya ukaamini Jua Linazunguka pamoja na mwezi kwenye realm Moja?
 
Sio Mimi pekee, watu wengi pamoja na maelezo mengine niliyosoma yanasupport hicho,
Hujajibu swali langu pia ni njia Gani uliyofanya ukaamini Jua Linazunguka pamoja na mwezi kwenye realm Moja?
Mbona Mimi sioni uso wa Dunia ukihama? Kwa mfano sasa hivi saa 12:10,..uso wa Dunia umeelekea wapi?

Jua na Mwezi through observation zinaonyesha kabisa zinafanya movement.... kuhusu kuzunguka kwenye realm moja scientific na religious texts kama Qur'an, Jua na Mwezi zinatajwa kuzunguka kwenye realm/orbit moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…