Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
We jamaa umeanza kutoka kwenye principles za physics Sasa, au una physics yako mwenyewe?

Unachanganya mass na weight. Au unataka kusema mass ni weight,

By the way, nambie tu weight ni nn? Na inact in which direction?

Huwezi kunambia mass ni force, mass sio vector ni scalar quantity. Sijui physics yako ulisomea wapi?
 
Sasa ndugu,
Hapo umesema mpk ulisukume, kwenye mfano wetu wa mpira ambao ni free fall, haujasukumwa umehusisha vp sasa?
 
Kwa namna moja ama nyingine unaweza nishawishi. Uko na pointi kiongozi.
 
Nimekuuliza gravity ni nn? Unaruka ruka tu😀.

Kuwa serious hata kidg
Inaonekana hata swali ulilouliza umelisahau....


Nakukumbusha kwamba nilisema objects zina fall kutokana na combinations of factors ikiwemo air resistance, density na kadhalika.......hapo kwenye kadhalika ukataka nikutajie ni nini kipo kwenye kadhalika....

Ndiyo hapo nimejibu kwamba...hata kwenye kadhalika "Gravity haihusiki"
 
Okay, sorry weight ni nn?
 
Mass & Weight vyote ni sawa tu. Uzito wa kitu.

Najua unataka useme weight inapimwa Kwa kuzingatia gravity ya object kitu ambacho Mimi naona ni hadithi tu.
Mbona unajishtukiaa😀😀, Relax.

How both are measured?
And are they scalar quantity or vector quantity?
 
Mass & Weight vyote ni sawa tu. Uzito wa kitu.

Najua unataka useme weight inapimwa Kwa kuzingatia gravity ya object kitu ambacho Mimi naona ni hadithi tu.
Ukipima mass na weight magnitude zake zitafanana? If not what cause the differences?
 
Nimeona mtu anapinga wazungu kwenda mwezi na sayari ya mars ila hapo hapo unakubali kuna sayari ya mars. Inabidi ukatae pia hakuna hiyo sayari.

Kama wameweza tenegeneza kitu mtu yupo Marekani anakupigia simu wewe wa Tanzania na muda huo huo mnaona na kuongea kwanini washindwe kwenda huko mwezini na wakati teknolojia wanayo?
 
Jitahidi ufikirie zaidi,..bado hujafikiria.
 
Jitahidi ufikirie zaidi...hiyo haitoshi.
 
Kwahyo kuuliza kwanini mali haymwagiki ww unaona swali la kijinga??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…