Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Ukisimama juu ya mlima Kilimanjaro kuna kitu gani kinachozuia usiione misri? Au kuna mlima mrefu zaidi ya Kilimanjaro ambao unazuia? Dunia kuwa duara ndio Inatuzuia tusiione misri. Sio milima wala bonde.
Na mwanga wa blue sio mwisho wa macho yetu kuona labda mimi sijaelewa ulimaanisha nini. Ila ule ni mwanga tu wa jua ambao pia unatuzuia tusione nyota mchana, au wewe unajua mchana nyota huwa zinapotea ndo mana hatuzioni?..
Kwa hiyo wewe unashindwa kuona
misri kwa kuwa dunia ni duara. Kuna object vingi vinaweza kukaa katikati vikazuia usione misri, kama Kuna mji umezungukwa na milima utaona,mabonde, milima, mitelemko na miinuko hivi vyote vinasabisha kitu kisionekana.
Sifa ya macho ni kuona na kutambua, mwanga wa jua hautuzii sisi kuona nyota wakati wa mchana. Nimefundishwa kuwa object ikikaa kati ndo inazuia kuona kitu cha mbele. Mwanga wa jua umetuzunguka katika mazingira yetu lakin tunaona ikipita ndege, rocket twazioni au huo mwanga wa jua uko angani tu. Mwisho wa macho yetu kuona ni kushindwa kutambua kitu, kwa Nini wakati wa mchana au wakati wowote ule tunahitaji durabin kuona sayari kama Mars na zingine? Kwa Nini watu wanaend hospital kuchukua miwan za macho? Wamepungukiwa na nini
Kuna lini inaitwa Greenwich 0' the mstatili wa kufikirika inatenganisha West na East, American Ipo West na urusi East lakin America na urusi zipo karibu sana sijajua kama Kuna line nyingine Ipo katika ya America na urusi yenye 0'. Naomba mnielekeza
 
Angalia vizuri hizo picha utajua wapi unachanganya. These two pictures dipicts the truth that the earth is not fat.
 

Attachments

  • 1478380058896.png
    1478380058896.png
    93.4 KB · Views: 95
Kama dunia ingekuwa tambarare.
-Kusingekuwa na usiku na mchana, wakati wa kupatwa kwa mwezi, giza kwenye mwezi lisinheonekana mtindo wa duara, usingeweza fika nchi kama marekan kutoka Tanzania ukianza safari yako kuelekea upande wa mashariki, hii ingewezekana tuu ukielekea magharibi, n.k
 
Mars haitoi mwanga. Mars tunaiona kwasababu inamulikwa na mwanga wa jua ambao pia unamulika misri na Zanzibar. Tena dunia upo karibu na jua kuliko mars so dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi.
Sasa ndugu mbona unanichanganya niamini kipi? Umesema mwanga wa jua unazuia nyota mchana kuto kuonekana, wakati huo huo unasema sayari ya mars inaonekana kwa sababu ya mwanga wa jua, unasema tena "dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi".
Je ni kweli mwanga wa jua unazuia mchana nyota zisionekane? Je ni kweli mwanga huo huo unasabisha kuonekana kwa sayari ya mars.
I want to know the concept you had about the sunlight, maybe I can understand more
 
dada watu tupo serious we unaleta masikhara hapa. habari za majin tena na sayansi? acha watu wajifunzekitu badala ya kuhamisha mjadala kwa kulrta hoja za kijinga.




Wacheni porojo , someni Qur'an mpate majibu msiyokuwa nayo.
 
Mtoa post mim niljua nawewe umefanya utafit wako binafsi nakuja na ushahid kamil kuthibitisha ilo ila naonà umekot tu hao hao wazungu wenye mtizamo tofaut na wale wanaosema dunia ni duara.Na wanaosema dunia ni duara wanahoja zaid maana wanasema kitu kinachofikirika ata kwa akil ya kimaskin ambao hatuwez kwenda uko anga ya juu nakupiga picha ila tunaweza kwenda uchina ama amerika nakuona tofaut ya masaa na majira na wameleta angalau na picha ya dunia.Jambo jingine unaposema kuna vitu vinafichwa wakat aya mambo yote yako kwenye mitandao mtu yoyote dunian anaweza soma kama wewe ulivyosoma nakutuletea.Mim nikushaur kua badala yakuleta mawazo ya binadam wengine wabish wasio na uthibitisho kua dunia ni tambarare ungefanya kwanza nawewe tafit ili uje na kitu kipya zaid vinginevyo ngoja tuendelee kuamin wanaosema dunia ni duara.
Unajua kitu chochote ambacho haukijui na haujafundishwa na hautaki kujifunzi, lazima kiwe ni mtazamo tofauti na vile unavhoamini...
Kama mtoa post alivyowakot wazungu bila research ndivyo ilivyo kwako, wewe mwenyewe haujafanys research yeyote ile iliyokuthibitishia kuwa dunia ni mviringo zaidi ya kukoti ya darasani yaliyotoka kwa mzungu, so huna hata chembe ya haki kuupinga huu uzi zaidi ya kumaa chini uelimishwe then uweze kutofautisha.
 
Concept Ya Day and Night kwenye flat earth na practical truth nyie kweli watu wanafanya research sio sisi wabongo tunasubiri tuelezewe kila kitu.


Bado wataendelea kuuliza swali la usiku na mchana unaptikan vp
 
Kaka wala hujui unachokitetea, we umekazania commercial flight, kuna ndege za private, research nk. Sasa hapo napokwambia tuchukulie (lets assume)
Kuna vitu vichache naomba unijibu
1: unaamini uwepo wa Latutude na Longitude?
2: kama unaamini, imani yako inasemaje kuhusu hizo line

3: kuna hili la kupatwa kwa jua na mwezi, kuaptwa kwa Jua tunaona mwezi unakuwa katikati ya Dunia na Jua na tunaona Duara la Mwezi linaloziba jua
Kupatwa kwa Mwezi tunaona DUARA LA DUNIA LINAUZIBA MWEZI, sasa hapa utasemaje Dunia Iko flat, maana yake tunheona shape ya Box ndio linaziba Mwezi

Unapomezesha vitu uwe unatumia na akili yako
kaka nadhani hujaelewa kabisa ramani ya dunia tambarare ,,,na maswali yako yote yamejibiwa ,,,jaribu kusoma kwa kina uzi wangu
300px-SunAnimation.gif
this is how the sun revolve around the earth flat plane

Kaka unajua huyu moudytunechi anaingia kwenye mitandao na kujaribu kutafuta vitu vilivyo kwenye Iman yake anashindwa kujua kuwa Vitabu vya Iman yake vilikosea kwenye hili, wako wengi wanaobishana na fact za round earth kwa sababu za kidini zisizokuwa na mashiko

Nilimuuliza swali hapo awali akashindwa kulijibu, nilimuuliza anakubali kuwa Sayari zingine zote ( Mercury, Venus, Mars nk.) na pia nyota kama Jua na mwezi kuwa vyote ni Sphere/round au kuna kimoja kati ya hivyo kiko flat? ATUELEZE HAPA KUWA SAYARI FULANI IKO TAMBARARE

Kama vyote viko na shape ya sphere iweje Dunia pekee ndio ina flat shape? Sayari ya Mars huwa inaonekana angani ikiwa na Shape ya Sphere/round lakini wakituma vyombo kwenye hiyo sayari, vyombo hivyo vinatua kwenye mazingira kama haya ya Dunia, kwa hiyo Kaka moudytunechi angetua na chombo chake Mars angesema Mars iko flat
Kaka Moudy elewa kuwa Dunia ni kubwa sana kwa wewe kuliona Duara lake, ni kama umchukue Sisimizi na umuweke kwenye Mpira wa Basket, hataweza kamwe kuona Duara la mpira zaidi ya kuona flatness

Baba wa space ni Russia wao ndio waliokuwa watu wa kwanza kupeleka vyombo space (unmaned), kisha wakapeleka chombo na Mbwa (Laika) na ndio kisha NASA wakaanza na wao kupeleka vyombo space wakifuatiwa na mataifa mengine, KwA NINI WOTE WAKUBALIANE NA SPHERE EARTH? Ili weje na kwa faida ya nani? NA PIA KUMBUKA WANAPOPELEKA VITU SPACE AU KWENYE SAYARI ZINGINE HUWA WANAANGALIA MZUNGUKO WA HIZO SAYARI (shortest distances) NA PIA WANA CONSIDER SHAPE YA DUNIA

Kupatwa kwa Mwezi ndiko kunako prove kuwa Earth ni sphere kama Moon na Jua, kwani kivuli cha sphere earth kinaonekana kikiuziba moon na wala sio kivuli cha flat earth

ngoja kwanza nkutoe ujinga kidogo ,,,hizi sayari nyingine ulizo zitaja zamani zilijulikana kama woundering stars unajua kwasababu gani ??? kwanza kabisa naomba utambue kwamba picha zote za plannet nyingine unazoziona internet ni computer generated images(cgi) sio real images kwahiyo naweza kusema zile zenyewe ni fake images ,,,,me swali langu ni dogo sana kwanini na technologia ambayo tunayo leo hatuna picha halisi ya dunia lakin tunauwezo wa kwenda mars ,,,,maswali mengine mjiulize tu wenyewe sifa moja ya plannet kua plannet ni kwamba inatakiwa isiblink inabidi ing'ae tu through out lakin huo ni uongo ukiangalia venus ambayo inajulikana kama eavining star utagundua kwamba kuna mda ina blink embu nielezee kwanini,,,,,somethings we can observe with our own eyes ....alafu unanambia dunia ni kubwa sana siwezi kuona duara lake okay nmekubali na ni kweli dunia ni kubwa sana ,,haya vipi na ndege zinazo paa kila siku mbna hawaoni duara kumbuka the horizon always rise to the eye level ,,,,alafu huu uongo mataifa yote yanashirikiana kuificha ...ndo maana tunaiita global deception tangu dunia ianzishwe hatujawahi kuona planet yoyote inapita mbele ya jua kwa mocho yetu mawili,,,,na haiwezekani in real sance haiwezekani circles zote za planets zisi loops sehemu
300px-SunAnimation.gif
this is how the sun revolve around the earth flat plane
alafu hili swala halihusiani na dini kwani we unajua dini yangu au unaongea tu kujifraisha..,.,.,.,
Wewe tatizo lako unataka kuskia fikra mpya hata kama ni za kipuuzi pasipo kutafakari ya unachosoma.
Internet imejaa mambo mengi na mengi ni crap watu wanapenda conspiracy theories.
Inabidi uchambue ipi pumba ipi mchele.
Kutumia elimu mtu aliyopata kwa kusoma shuleni kuchambua pumba na mchele sio kosa na ndiyo maana watu wanasoma na kwa hiyo elimu na hoja zenu dhaifu tunadiriki kusema hoja zenu ni pumba na mmeshindwa kuzitetea.
Hayo ma docs yako hata mimi nimeyasoma na nimeona ni pumba tu.
kama ungekuja na hoja za maana na point kunipinga ningekuelewa ....,unanidhihirishia kua umefikia mwisho wa kutafakari na unavojinadi unaelimu its a shame..
We unaongelea vitu gani si ulivyosoma mtandaoni na ambavyo hata unashindwa kuvitetea maana hakuna unachoongea ulichokiwaza mwenyewe vyote umekaririshwa na hao earth flat society pia.
Eti umefanya research sasa hivi unashindwa hata tetea hoja zako mwenyewe unabaki tu ooh kasome oooh unaonge vitu ulivyo karirishwa.
Na nilichogundua hakuna unalojua maana umeanza kupinga hoja nyingine hsiku wakati uliulizwa asubuhi ya jana ukakosa majibu ikakubidi urudi kugoogle udonoe donoe kwenye sources mbalimbali still bado umeshindwa kujibu hoja
hoja gani nmeshidwa kujibu,,,,,alafu usitegemee utapata majibu yote hapa,,,im just opening your mind to creatical thinking ndo maaana nliwaambia mtu anaetetea round earth aje na picha halisi ya dunia ya duara,,,,,najua hata ukishinda google hupati,,,lkn mimi i can prove the earth is flat na hamna sehemu kuna curveture na hata kama curvetureingekua baharini mbona nchi kavu hatuini kitu ,,,alafu try to explain to me jinsi maji yote ya bahari yanavyo weza kushikiliwa if the earth was round kumbuka water finds its ownlevel alafu water always maji yanafuata mkondo wake ,,,au nambie ndege inapaaje na kwenda accurate navyo sema nmefanya research nna maanisha
11143519_1144493992243423_2874492312554835064_n.jpg
think about the diferences between falt earth and ball round earth
We jamaa kweli hata hujui unaongea nini. Dunia ina rotate na kurevolve pamoja na kole kilichomo plus its atmosphere.
So ndege ikiwa angani dunia haiwezi kuiacha ina rotate na kuivolve nayo so speed inayoset ndege ni plus ya speed on top of thw speed inayo rotate dunia.
Ndiyo maana hata ndege ikiganda angani dunia haiwezi kuiacha na wala haiwezi kujikuta kisa iliganda ikiwa tanzania ikajikuta iko panama ni kwakuwa earth rotates and revolves with everything in it plus its atmosphere.
Acha kusoma vitu nusu nusu pasipo kuvoelewa na ukajifanya umefanya research.
ulicho andika hapo huwezi kukiprove kwa njia yoyote hata ukilalal unasali kwasababu amna kitu kama icho..,.,the earth is stationary and everything above is revoving around us sema hatufundishwi darasani kama unajuan nyota inaitwa polaris i fatilia au nijibu inawezekanaje constilation zote ziwe zina izunguka polaris najua ufahamu kuhusu hili kwahiyo kajifunze kwanza ,,,,dunia haizunguki wala hain'gooki,,,its a flat plane
think about the word planet the source ni plane ...now do you knw the meaning of the word plane??????
Ukiona watu hawakubariani na wewe ina maana una hoja dhaifu ambazo umeshindwa kuzitetea unataka watu wakubari tu kibwege bwege.
Hata waliokuwa wanaamini dunia ni flat na waliokuwa ndiyo wengi kama wewe na hiyo society watu waliwapa facts and proves ndipo wakabadirika so acha kukurupuka.
usiseme ivo wewe me naweza kusema watu wanashidwa kuelewa kwasabbu bongo zimelala bado,,,,,, mpaka leo unaamini dunia ni kama kipira kipo angani na kunazungushwa na nguvu inaitwa gravity alafu kila siku tunaona jua llinatuzunguka vizuri tu ,,,,wewe ulishawai kuona wapi dunia inaizunguka jua au kila siku unaona jua ndo linapita ,,alafu kwanza nyota na anga ni lile lile akibadiliki kitu ,,alafu fikiria kupatwa kwa jua kungewezekanaje wakati jua ni kubwa sana kuliko mwezi '''''''Scientists estimate that around 64.3 million moons would fit inside the sun. Earth's moon has a radius of around 1,080 miles and the sun has a radius close to 432,687 miles,,,,,, sasa how can this be possible....
 
Usidhani nimekosea kukushauri ukamkumbatie mkeo. Maana unachofanya ni kujaribu kujitwika dunia kichwani.
Ni nini
Hata watu wengi kukubari kiwa dunia ni flat sio vichaa tena kipindi hiki cha modern science sio hujima.
Hivi hujishangai kubisha kwamba binadamu hajaenda anga za juu kipindi hiki ambacho unatumia so sosphicated devices hata kusoma na kupost habari zako dhaifu kwa kutumia technology inayotegemea satelites katika kushare information.
Halafu umetune akili yako kuamini vonsporacy theories kiasi kwamba hujaset mond yako kuwa huru ushaamua kuamini unadanganywa hata ukiulizwa maswali sasa homa hoja unabaki kusema fanya research olh mimi siyo kichaa
mimi naweza kuprove kwamba dunia ni tambarare kwasababu tunaishi kwenye dunia tambarare ndo maana unaponambia sina evidance au facts,,, napata mashaka kidogo na uelewa wako kiujumla maana binadamu skuizi tumekua watumwa ,,how can you prove the earth is sperical ,,i can prove to you the earth is flat anytime,,,siku ukipanda ndege ndo utajua ,,,,,na kwa walio panda dege
kimeviziba visiwa vya zanzibar mpaka sisi huku dar hatuvioni kwenye dunia yako flat?
kwanini vitu vikiwa umbali wa kilometer moja tu unaviona ni vidogo je vikiwa kilometer 74 mbali utaviona kweli vitu vingine ni kutumia akili ya kuzaliwa tu sio lazma ufundishwe ..Distance between Dar es Salaam and Zanzibar is 74 kilometers (46 miles
DSC00324.JPG

meli inapozidi kwenda mbali ndo inapotea machoni kwako kama dunia ingekua ina curveture (curve) tunge weza kuona alaf kitu cha kutafakari waulize ma architecture wakwambie kama wakiwa wanajenga barabara wana consider curveture ya dunia au wanajenga vitu vinyooke na dunia ,,,tatizo watanzania tumelala bado
 
Hakika ujinga unakuelemea.
Ukiwa Bumbuli kwenye kilele cha mlima MADUDA ukiangalia mashariki unauona mji wa Tanga ambao upo mbali zaidi ya km 80.
Inakuwaje tusiione zanzibar??? (acha porojo)
Maji ya bahari yakikupwa huwa yanaenda wapi na kwa mechanism ipi???

Meli unayoizungumzia kupotea kutokana na umbali siyo kweli!! Meli inapotea kanakwamba inazama, na inapojongea towards you inakuwa kama inaibuka!!!
TUOMBE MSAMAHA KWA KUTUDANGANYA.
kwanini vitu vikiwa umbali wa kilometer moja tu unaviona ni vidogo je vikiwa kilometer 74 mbali utaviona kweli vitu vingine ni kutumia akili ya kuzaliwa tu sio lazma ufundishwe ..Distance between Dar es Salaam and Zanzibar is 74 kilometers (46 miles
DSC00324.JPG

meli inapozidi kwenda mbali ndo inapotea machoni kwako kama dunia ingekua ina curveture (curve) tunge weza kuona alaf kitu cha kutafakari waulize ma architecture wakwambie kama wakiwa wanajenga barabara wana consider curveture ya dunia au wanajenga vitu vinyooke na dunia ,,,tatizo watanzania tumelala bado
 
Nawauliza kama JUA limesimama mbona mnasema "JUA LIMETOKA MASHARIKI LIKAZAMA MAGHARIBI" kama limesimama je linatembeaje???
Mleta mada Niko na wewe 99% kuna kitu hakiko sawa kwa kila kitu Mzungu anatuambia. From kuwa tulikuwa nyani mpk now.
Kiukweli anga halibadilikagi always liko vile vile mchana na usiku. So kama dunia ingekuwa inazunguka ingebidi anga libadilike.
 
Sitaki kuamini kama dunia ni flat au ni duara...mnaoamini ni flat au duara mtanijibu maswali haya,...

Mkuu hoja ni nzuri ila unijibi maswali yangu nami nitakubaliana na ww
Kwanza, kama dunia ni flat kwani nini jua huchomozea mashariki na kisha kwenda magharibi na baada ya hapo kesho tena nakuta linaanzia mashariki?

Na kama kuna barafu imeishikilia bahari kwa nini basi mtu asisafiri hadi mwisho
Na akaukuta mwisho na kuona shimo kama vile ufikapo mwisho wa mlima?

Pili, inamaana jua huwa likifika magharibi huwa linarudi mashariki bila mwanga au??? (Wakati wa usiku)

Na ninyi mnaomini ni duara mnijubu hili swali langu.

Mnasema dunia ni duara, Hebu chukulia unachungwa lichore ramani ya dunia nzima, kisha chukua sindano lichome hadi sindano itokee upande wa pili,
Haya hapo nauliza, kama dunia ni duara kwa nini nisichimbe hapa shimo refu
Na nikatokea labda hata Russia?...kama nilivyochukua sindano nikachoma chungwa na kutokezea upande wa pili???
 
Nawauliza kama JUA limesimama mbona mnasema "JUA LIMETOKA MASHARIKI LIKAZAMA MAGHARIBI" kama limesimama je linatembeaje???
Mleta mada Niko na wewe 99% kuna kitu hakiko sawa kwa kila kitu Mzungu anatuambia. From kuwa tulikuwa nyani mpk now.
Kiukweli anga halibadilikagi always liko vile vile mchana na usiku. So kama dunia ingekuwa inazunguka ingebidi anga libadilike.
Mkuu kitu nilichokigundua ni kwamba kalili walau nyota tatu za angani ziangalie usiku saa moja na nusu kalili na position zilipo kisha amka saa 11 utakuta zimeshift position hii inshu huwa inanifanya nifikiri sana kitu kingine kuna miezi ikifika kama nyota fulani huwa unaziona kati wakati wa saa mbili hiyo miezi ikifika unaweza kuziona magharibi saa mbili usiku
 
Moudytunechi kwanza vizuri kabisa kwa umahili wa kutetea hoja yako,
Na mimi nina swali mkuu,
Kwa jinsi hapo jua linavyozunguka dunia nimechukua kitu nikapoint mahala
Pakaonekana hapo patakuwa mchana tu, mkuu vip kuhusu hili
Inamaana kuna sehemu itakuwa mchana tu??
 
Habari ya kupatwa kwa mwezi mbona kama inapigwa chenga hamuijibu??? Vipi kuhusu maji kupwa huwa yanakwenda wapi na kwa nguvu IPI kingo za dunia flat zipo wapi na picha HALISI ya flat earth ipo wapi
 
Sitaki kuamini kama dunia ni flat au ni duara...mnaoamini ni flat au duara mtanijibu maswali haya,...

Mkuu hoja ni nzuri ila unijibi maswali yangu nami nitakubaliana na ww
Kwanza, kama dunia ni flat kwani nini jua huchomozea mashariki na kisha kwenda magharibi na baada ya hapo kesho tena nakuta linaanzia mashariki?

Na kama kuna barafu imeishikilia bahari kwa nini basi mtu asisafiri hadi mwisho
Na akaukuta mwisho na kuona shimo kama vile ufikapo mwisho wa mlima?

Pili, inamaana jua huwa likifika magharibi huwa linarudi mashariki bila mwanga au??? (Wakati wa usiku)

Na ninyi mnaomini ni duara mnijubu hili swali langu.

Mnasema dunia ni duara, Hebu chukulia unachungwa lichore ramani ya dunia nzima, kisha chukua sindano lichome hadi sindano itokee upande wa pili,
Haya hapo nauliza, kama dunia ni duara kwa nini nisichimbe hapa shimo refu
Na nikatokea labda hata Russia?...kama nilivyochukua sindano nikachoma chungwa na kutokezea upande wa pili???
Mi sitaki kuamini kama dunia ni flat au mviringo mnaoamin dunia duara mnijibu swali langu hapo nimeuliza
 
Kaka hope unafahamu nini kinasababisha rainbow, reflection na refraction ya mwanga wa jua kwenye waterdrops, na rainbow inatokea duniani na since Dunia iko Spherical basi hizo droplets za maji zinafata hiyo spherical shape ya dunia na zinapopigwa na mwanga zinaonyesha hiyo round petern
Oh,Really?
 
Kwa hiyo wewe unataka kuniambia nyota mchana tunaziona kwa macho yetu , wakati gani nyota zibaonekana kwa macho yetu, ni kipi kinachozuia mchana tusione nyota .
Nimemjibu mwezako kuwa kuna mabonde, milima, mitelemko na miinuko misri hatuwezi tukaiona na kubaliana na wewe kabisa . Hakuna kitu chochote kilichopo katika kinachozuia Mars isionekane.
Alafu kingine uliwahi kujiuliza kwa Nini baadhi ya wanyama wakati wa usiku macho yao yanang'aa, Binadamu tunaweza kujificha usiku pasipo macho yako kuonekana. Ingekuwa vizuri ungekuwa una juwa jicho la Binadamu linatoa volt ngapi?
Huu ni mstali Wako "" Mwanga wa blue ni mwanga wa jua sio mwisho wa macho kuona"" hivi unapoambiwa Mwisho wa uwezo Wako wa kuona unajuwa tunamaanisha Nini.
very nice explanation ,,
labda atusaidie kwa hili ndugu; jua linapochomoza Mashariki na kuzama Magharibi, hili linawezekana vipi kama dunia ni tambarare? kwa maana tumeambiwa kuwa kuna ukingo!!! kama ndivyo, likienda halirudi linakuja jipya!
angalia huu mchoro upate
300px-SunAnimation.gif
consept angalau
QUOTE="Sakasaka Mao, post: 18348035, member: 390094"]Halafu hii theory yautambarare wa dunia inakuwakuwaje naweenae! inaingiaje akilini mwako mtoa mada? Ushasikia kuna angle ya dunia popote? Hembu angalia horrizon kwa jicho la uchi la bila kutumia hata kitabu. Mada zingine huwa mnazianzisha kwa kutumia mlango gani wa fahamu?[/QUOTE]
mlango wa sita wa fahamu kaka ,,,,, wasomi wa skuizi bhna
 
Mkuu tatizo lako unalazimisha hoja, ni vigumu sana mwenye mawazo tofauti kujadiliana na wewe kwenye hii mada.

Hivi mtu unawezaje kulazimisha jambo kwenye maandishi?

Yaani unamlazimishaje mtu ambaye anaweza hata asisome unachoandika?

Kauli hizi huwa naziona kama zinasababishwa na uoga baada ya kuona kuwa unachodhani ni kweli kuanza kuonekana siyo kweli......

By the way,hapa mimi sina upande wowote bali najifunza na kuhoji pale ambapo naona nastahili kufanya hivyo.Dhana ya dunia duara ya tufe nimekuwa shuleni nikaikuta hivyo naijua sana,ninapokutana na dhana mpya na inayoonekana kuichana ya zamani lazima niwahoji wale wanaoisimamia hoja ya zamani na pia kuwahoji wale wa hoja mpya ili nipate majibu.

Lakini kikubwa zaidi natafuta majibu mimi mwenyewe pia,sasa wewe unayesema nalazimisha sijui nalazimisha kitu gani hapa....
 
Back
Top Bottom