Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
What About Seasons?

The radius of the sun's orbit around the Earth's axis symmetry varies throughout the year, being smallest when summer is in the northern annulus and largest when it is summer in the southern annulus. Additionally it also raises and lowers. This causes the effect of the sun appearing to move in a figure eight throughout a year.





What about Day/Night and Sunrise/Sunset?

The sun simply illuminates only a portion of the earth at a time. This also explains timezones as we can then see the path of the Sun, a circle above the flat earth.
 

Attachments

  • 1478325397615.jpg
    1478325397615.jpg
    23 KB · Views: 97
Kwa hiyo wewe unataka kuniambia nyota mchana tunaziona kwa macho yetu , wakati gani nyota zibaonekana kwa macho yetu, ni kipi kinachozuia mchana tusione nyota .
Nimemjibu mwezako kuwa kuna mabonde, milima, mitelemko na miinuko misri hatuwezi tukaiona na kubaliana na wewe kabisa . Hakuna kitu chochote kilichopo katika kinachozuia Mars isionekane.
Alafu kingine uliwahi kujiuliza kwa Nini baadhi ya wanyama wakati wa usiku macho yao yanang'aa, Binadamu tunaweza kujificha usiku pasipo macho yako kuonekana. Ingekuwa vizuri ungekuwa una juwa jicho la Binadamu linatoa volt ngapi?
Huu ni mstali Wako "" Mwanga wa blue ni mwanga wa jua sio mwisho wa macho kuona"" hivi unapoambiwa Mwisho wa uwezo Wako wa kuona unajuwa tunamaanisha Nini.
Hivi ukisimama kwa mfano pale feli Zanzibar utaiona hata kwa hadubini?
 
Kama jua limesima mbona tunasemaga kuwa JUA LIMETOKA MASHARIKI LIKAZAMA MAGHARIBI....limeanza lini kutembea
 
Mkuu,nianze kusema tu kuwa nasikitika sana baada ya kusoma uzi huu kwa namna watu walivyochangia na wanavyochangia......

Mtoa mada amekuja na kuandika mambo mengi sana namna anavyosema juu ya umbo la dunia na ushahidi ameweka.Ameelezea kuwa yeye anaamini kuwa umbo la dunia ni flat,lakini akasema ni flat ya namna ipi anayoizungumzia.Shida ya kwanza ya watu inaanzia hapa...

Kuna watu wanapoona neno flat basi wanakimbilia kwenye fikra zao namna wanavyofikiria flat,wanafikiria flat kama ya meza tu,hapa ndipo panaponisikitisha kuliko mahala pengine popote pale.Mtoa mada ameelezea kuwa dunia ni flat duara yaani kama cd na michoro ameweka,watu wanakuja kujenga hoja kutoka na fikra za flat ya meza au umbo ambalo soyo duara kabisa.

Kwa kukuthibitishia hili angalia watu wanaojenga hoja kwa kuonesha kuwa mtu anaweza kutoka Dar hadi Sydney kisha akaenda Marekani kisha akarudi Accra na baadaye kurudi Dar.Ukiangalia hoja hii imelalia kwenye fikra za dunia isiyokuwa duara ya namna mleta mada aliyoizungumzia kwenye mada yake maana ukiangalia kwenye hoja za mtoa mada utaona kuwa mtoa mada naye anasema kuwa dunia ni duara lakini siyo mviringo kama tufe bali ni mviringo kama CD.Kwa mviringo huu unaweza kabisa kufanya safari hizo nilizotaja hapo juu bila kuhitajika kurudi nyuma.

Hoja ya watu kuzunguka dunia na kujikuta wamerudia pale pale,hoja hii nayo haishindikani kwenye hoja ya dunia duara ya kama sahani.Ukiangalia utaweza kuona kuwa inawezekana kabisa kuwa mtu akatoka Afrika ya kusini,akapitia Australia kisha akafika Amerika ya kusini kisha akarudi tena alipotoka maana atakuwa amezunguka duara inayosemwa na mtoa mada.Kwa maana hii bado hii haithibitishi kabisa kuwa dunia ni duara kwa maana ya tufe.....

Ameelezea mambo mengi sana pia,miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni namna usiku na mchana unavyopatikana,watu hawasomi kabisa majibu na thread yote na unakuta mtu anakuja kurudia hoja ambazo zimeshajibiwa kwa uwazi kabisa na hili ni tatizo jingine,uviovu.Huwezi kujifunza mambo mazito kama haya huku ukiwa mvivu,huwezi na hutaweza kabisa kamwe......

Hoja nyingine ni route za ndege.Mtoa hoja amesema kuhusu hili,watu badala ya kujibu sababu ya ndege kutokuwa na rout hizi wameongeza swali kuwa vipi kuhusu ndege binafsi.Kwanza nafahamu kuwa kuna maswali ambayo ukiulizwa unaweza kuuliza aina fulani ya swali ambalo ukilijibu linaweza kukupa jibu la swali lako,lakini swali hili linaweza kujibu au kutokujibu swali kuu la mtoa mada kwasababu zifuatazo....

1;Hakuna uthibitisho ambao umetolewa hadi sasa wa uwepo wa ndege binafsi zinazokatiza north pole au south pole...

2;Kama kuna huo uwezekano wa ndege binasi kukatiza hapo,ni kwaninio ndege za kibiashara zisipite hapo ili kupunguza umbali mrefu? Kutoka South Afrika hadi Urusi kupitoa Siuth pole na kupitia katikati ya bara la Afrika hadi Geneva kisha Moscow wapi ni karibu?

Kimsingi hoja zote hizi ni mfu na zinaongeza maswali zaidi.Hakuna aliyejisumbua kujibu kuhusu ukweli wa binadamu kwenda mwezini.Hakuna ushahidi wa bibadamu kwenda mwezini....

Suala la meli kitoonekana kwa macho inapokuwa mbali ya macho yako hili mtoa mada amelijibu na ndiyo jibu bora kabisa linaloenezea suala hili.Watu walikuwa wanachukulia suala hili la meli kuzama kuwa ni moja ya ushahidi wa duara ya dunia,hii ikiwa na maana kuwa meli ile inakuwa imeshafika kwenye upande mwingine wa duara ya dunia.Mtoa mada amesema kuwa,kama inakuwa hivyo basi ukichukua kifaa maalum cha kuonea mbali usingeiona meli maana itakuwa iko kwenye upande mwingine wa duara ya dunia.

Mfano mzuri wa jambo hili ni kuchukua kijiti kifupi na ukakichoma kwenye chungwa kwenye upande mmoja kisha ukaligeuza chungwa lile upande mwingine kisha ukaanza kutazama,hutaweza kukiona kijiti kile kwakuwa kitakuwa kwenye upande ambao unazuiwa na muinuko wa chungwa lile hata kama utachukua kifaa cha kuonea mbali.Lakini ukichukua mti ukauchoma chini kwenye barabara iliyonyooka kisha ukaenda umbali wa kilomota 10 ukatazama mti ule hautauona bado lakini hii haimaanishi kuwa huuoni kwakuwa upo kwenye upande wa pili wa dunia bali ni kwasababu macho yako hayaoni tu,ukichukua kifaa utaweza kuuona mti huu.....

Kwa mfano huu ni dhahiri kuwa hoja za dunia duara bado zimegaragazwa kwenye mada hii,leteni nyingine......

Sisi tunajifunza na kuhoji pale ambapo tunaona kuna haja ya kufanya hivyo.......

ahsante sana ...Tatizo watu hawasomi facts na kutafakari ,,,,
 
Wewe uliyefuatilia hebu nipe mwanga wa hili, jamaa amesema dunia ni tambarare na maji yamezuiliwa kwa mabonge makubwa ya barafu. Swali, mwisho wa hayo mabonge ya barafu ni wapi na baada ya hayo mabonge kuna nini!
Vizuri sana kupata watanzania wanaoongelea hili swala, huwezifika kwenye mwisho wa hizo kuta za barafu , kwanini the more unavyosogea kuelekea huko utakutana na upungufu wa oxygen mkubwa, shida za baridi kali na mengi kuwa na shida ya mawimbi makubwa kwa mfano kupata concept ya Flat earth kidogo angalia movie kama Jim Carry the tru man show, Under the dorm series na pia ka search under the dorm youtube utapata more info its interesting and wondering on the more unknowns we dont know in this earth.
 
Concept Ya Day and Night kwenye flat earth na practical truth nyie kweli watu wanafanya research sio sisi wabongo tunasubiri tuelezewe kila kitu.

 
Kama unakubali kuwa boat inatokea kwa chini inapotoka zanzibar, sifa kubwa ya mabonde, milima, mitelemko na miinuko. Ninapo pandisha mlimani mimi siwezi kuonekana wote.
Hata mtu aliyeko zanzibar atakuambia kuwa dar Ipo kwa chini, sababu gani boat ukitokea dar inaelekea zanzibar inatokea kwa chini kama inaibuka.
Utata unazidi kuongezeka kila mtu yeyote aliyeko pwana katika nchi yeyote Ile kitu chochote kitakaho tokea baharin kinaibuka.
Huo ndo uthibitisho mujarab kabisa kuwa dunia ni duara, kwenye flat duara hili linawezelana vipi??? Ningependa kujua wanaopanda ndege kwenda zenji huwa wanaexperiensi muono gani!
ni kama sisimizi umemuweka ktk mpira wa basketball.
 
Nasikia kuwa hakuna ndege za abiria inayoruhusiwa kupita juu ya anga la bara la antractic maana ndo kwenye kingo za dunia.
Jana nimejikita ktk hii topic hususan North na South pole, inasemekana kuna flights toka Australia mpaka Argentina kupitia south pole.
Hii topic iko very fascinating!!
 
Hivi ukisimama kwa mfano pale feli Zanzibar utaiona hata kwa hadubini?
Unaweza hata ukasimama kwenye jengo jipya la tpa kule juu na darubini yako kali ila zenji hautoiona, pia zenji hili jengo refu la bara hawalioni hata kwa darubini sababu ya CURVE ya duara la dunia.
 
Hivi ukisimama kwa mfano pale feli Zanzibar utaiona hata kwa hadubini?
Huwezi kuona, alafu hii dhana ya dunia tambarare haijaeleweka kwa baadhi ya watu , kwenye sakafu ya bahari Kuna sehemu imepanda, imeshuka. Kuna point 1 kuthibitisha dunia ni duara wametoa mfano wa meli alafu mtu anayethitisha yupo nchi kavu au beach. Kuna utata captain anayeongoza meli hawajamuhusisha, Captain yeye anaona flat kwenye bahari.
kama Kuna mtu yeyote either captain umewahi kumsikia anasema sasa hivi tunapandisha au tushuka kwenye bahari yupo ndani ya chombo
 
Huo ndo uthibitisho mujarab kabisa kuwa dunia ni duara, ni kama sisimizi umemuweka ktk mpira wa basketball.
Ndugu MI nitakubali dhana ya dunia ni duara, kama meli inayotoka South Africa kuja Tanzania itakuwa inapandisha ndo sifa ya duara, Captain wa meli yeye anaona flat hakuna kupanda wala kushuka.
Ajabu zaidi meli inayotoka bandarin Cape Town inashuka, meli hii ikiwa inaelekea Cape Town inaibuka kama inapanda, ikafika dar mchezo ule ule inaibuka kama inapanda ikitoka dar inashuka. what the meaning of the circle from the equator Toward South pole. Tutumie akili za kawaida chora duara lako mtu 1 akae kwenye ncha ya kaskazin na mwingine kusini watu wote waelekee kati yupi anaye pandisha na anayeshuka.
 
Ndugu MI nitakubali dhana ya dunia ni duara, kama meli inayotoka South Africa kuja Tanzania itakuwa inapandisha ndo sifa ya duara, Captain wa meli yeye anaona flat hakuna kupanda wala kushuka.
Ajabu zaidi meli inayotoka bandarin Cape Town inashuka, meli hii ikiwa inaelekea Cape Town inaibuka kama inapanda, ikafika dar mchezo ule ule inaibuka kama inapanda ikitoka dar inashuka. what the meaning of the circle from the equator Toward South pole. Tutumie akili za kawaida chora duara lako mtu 1 akae kwenye ncha ya kaskazin na mwingine kusini watu wote waelekee kati yupi anaye pandisha na anayeshuka.
Kwa maelezo yako, nadhani ni kwamba wewe watu waliopo south poles kama new zealand, australia etc watakuwa wanatembea "upside down", je unaamini ktk gravitational pull of the earth?? Kwa nini kila kitu ukikiachia kinadondoka kuelekea ardhini??
Nafikiri pia kwa mtazamo wako ni kwamba mtu akiwa south pole alafu "apae" angani akiwa huko south pole basi "ataanguka" kuelekea chini ulimwenguni.
 
Hapo kwenye meli na chungwa umejikanyaga sana. Unaongelea dunia kuwa flat ya cd alafu tena upande wa pili wa duara ambao unafanye meli isionekane??????!!!!! Hapa umechemka.
Tatizo lako linaakisi matatizo ya watu wengi sana.......

Unaposoma maandiko halafu ukashindwa kuyaelewa unayatupia maandiko hayo lawama badala ya kuchunguza kama wewe ndiyo hujaelewa na maandiko hayo hayana tatizo kabisa.Ni sawa na wewe uwe umesimama barabarani na jamaa zako wanne ambao wanakuambia kuna gari la rangi ya bluu linapita barabarani na wewe unaendelea kukodoa na hulioni gari hilo,badala ya kufikiria tu kuwa inawezekana macho yako yana matatizo hivyo yanakufanya usilione gari hilo,wewe unakimbilia kusema jamaa zako ni waongo na gari hilo halipo.....

Nimezungumzia dunia flat ya CD,haiwezekani uwe na flat ya namna hiyo halafu kuwe na upande wa pili wa duara.Tatizo nililoliona hapa ni wewe kushindwa kusoma maandiko mengi na kuyaelewa.Kwenye maandiko yangu hapo juu nimezungumzia dunaia duara ya tufe kwa namna tofauti na dunia duara ya CD kwa namna tofauti,nikatoa na mifano. Nadhani mfano wa chungwa ndiyo umekuchanganya kabisa maana niliutoa nikionesha tofauti kati ya duara ya CD na duara ya tufe [chungwa] na uwezekano wa kuuona mti.....

Suala la upande wa pili lilikuwa kwenye duara ya chungwa na siyo duara ya CD.Nilisema mti uliosimikwa kwenye chungwa huwezi kuuona kwenye duara ya chuingwa unapokuwa upande mwingine wa duara ile hata ukitumia chomb cha kuonea mbali lakini, kwenye duara ya CD ambapo hakuna upande wa pili,ukisimika mti kisha ukaenda umbali wa kilomita 10 hutaweza kuuona mti huo pia lakini,ukitumia kifaa cha kuonea mbali unauona.....

Sasa kwa kutumia logic hiyo,meli inapokuwa haionekani kwenye macho yako baada ya kwenda mbali,wale ambao wanasema dunia ni duara ya tufe hudai kuwa unakuwa huioni kwasababu inakuwa imeshapotelea kwenye duara ya dunia hivyo inakuwa kwenye upande mwingine wa duara hiyo.Lakini ukichukua kifaa cha kuonea mbali unaiona meli hiyo.Swali la msingi,je kwanini uione wakati iko kwenye upande mwingine wa duara ya dunia?

Kama dunia ni duara ya tufe usingeweza kuiona meli hiyo na ungeishia kuona maji tu pale yalipopinda lakini ni kinyume chake,meli inaonekana bado na hii inathibitisha kuwa dunia ni flat lakini duara kama CD.Kama vile mti ukiusimika kwenye barabara ya urefu wa kilomota 10,halafu mti ule ukausimika mwanzo wa barabara ile kisha ukaenda umbali huo wa kilomita 10 ukatazama hutaweza kuuona mti ule,hii haimaanishi dunia imepinda kutokana na duara yake kama tufe bali huuoni kwasababu macho yako hayana tu uwezo wa kuona umbali huo.Ukichukua kifaa cha kuonea mbali utauona huo mti bila matatizo yoyote,hii inaonesha kuwa dunia haijapinda bali ni flat.....

Nadhani umenielewa....
 
Ndugu MI nitakubali dhana ya dunia ni duara, kama meli inayotoka South Africa kuja Tanzania itakuwa inapandisha ndo sifa ya duara, Captain wa meli yeye anaona flat hakuna kupanda wala kushuka.
Ajabu zaidi meli inayotoka bandarin Cape Town inashuka, meli hii ikiwa inaelekea Cape Town inaibuka kama inapanda, ikafika dar mchezo ule ule inaibuka kama inapanda ikitoka dar inashuka. what the meaning of the circle from the equator Toward South pole. Tutumie akili za kawaida chora duara lako mtu 1 akae kwenye ncha ya kaskazin na mwingine kusini watu wote waelekee kati yupi anaye pandisha na anayeshuka.
Hoja hii ni dhaifu sana kutetea dhana ya dunia duara na nafikiria labda mngeleta hoja nyingine kwa sisi ambao tunataka kujua ukweli......

Hoja hii mtoa mada ameieleza vyema sana kwenye baadhi ya maelezo yake ni kwanini unaona hivyo na siyo kwamba kutoonekana kwa meli kunasababishwa na duara ya dunia kama tufe......

Pamoja na hilo,kukuonesha kuwa hakuna duara unayodhani ipo na inathibitishwa na hicho ulichokisema hapo ni kwamba ukichukua kifaa cha kuonea mbali hiyo meli unaiona bila shida yoyote.Kama meli hukuiona kwasababu ya duara ya dunia tufe,ni kitu gani kinakufanya uione kwa kutumia vifaa vya kuonea mbali?

Think......
 
Back
Top Bottom