Hapa kueleweshana kwa njia ya maandishi itakuw ngumu, cz wengi bado hawajaipata logic hasa ya utambarare au uduara wa hyo dunia.
Kwa nielewavyo mimi, sifa za uduara zipo kote kote kati ya dunia mviringo na wanaoamini dunia tambarare.
Uduara wa Dunia tambarare ni wa kama sahani, disk, au mfuniko wa ndoo, na uduara wa dunia mviringo ndio huu ambao wote tunaujua, big ball.
Kwenye kueleweshan kwanza tusipingane juu ya uduara mana wote tunaongelea dunia ya duara ila katika utofauti wa maumbo.
Tangu mwanzo nasisitiza, mtoa post hajaoteshwa, ila elimu hyo ameitafutwa haifundishwi katika mitaala kama elimu ya dunia duara/mviringo ambayo wengi tunayo.
So ktk kupingana ni lazima wote tujifunze kwanza mtazamo wa wanaosema dunia ni tambarare bila hivyo, hamtapata uelewa nakubaki na uelewa wa kile mlichokuwa mnafundiswa tangu class mimi nikiwa ni mmoja wao.
Mtoa post source yake ni
www.theflatearthsociety.org tembeleeni kwnza huku mjibiwe maswali yenu bila kujaribu kumuua mjumbe.