Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
tatizo lako unaendelea kuongelea vitu ulivyo karirishwa shuleni zamani ....

kusafiri na ndege it only proves that the earth is flat kwasababu kama wewe ni msomi unatambua kua dunia ina two movements ....the question is ndege inwezaje kuset speed yake iendane na speed ya dunia au kama unamda Tafuta kitu inaitwa gyroscope airplane experiment,,,,,najua unauwezo mdogo wakufikiria ndo maana huwezi kufatilia vitu kiundani zaidi......do ur research kusafiri na ndege ina prove dunia ni flat na haitembei wala kuzunguka ....

tatizo hata uwezi kusoma hili swali nlilijibu vizuri tu,,,,, kama hujui mirage ni nini huwezi kuelewa haya mambo embu rudia kusoma ulicho andika alafu soma maelezo yangu nliojibu kuhusu circum navigation ...fanya utafiti unadhani me nlilala nkaoteshwa kwamba dunia ni flat ....

acha kukurupuka wewe unamwambia mwenzako anauelewa mdogo kumbe we ndo hujui lolote kabisa ..kama ungekua na maarifa usingeuliza maswali ya kipuuzi ivo wakati yapo kwenye maelezo ..

watanzania ni maskini wa kutafakari na kudadisi mambo,,,,,,,,,na wanafurahi kwelikweli kukaa gizani,,,,,,, shallow minds always runaway from tought thoughts.....

tatizo lugha inakufunga ,,,,,unaona kama inapanda mlima ....kwahiyo unachotaka kusema bahari inamilima na mabonde,,,,,,,haha water finds its own level ,,,

tatizo lenu mnajifunga fikra wenyewe ...mnajaribu kutumia knowledge yenu ya primary na secondary ,,,alaf nadhani mtakua wavivu wa kusoma pia maana nmeelezea mambo mengi hapo na ni facts sio kwamba nmetunga mimi ....im just spreading the word thats all

mjinga ni wewe mwenyewe usitumie imagination zako kujudge kwamba waafrika wote ni wajinga mjinga ni wewe ulie ukubali ujinga,,,,kwa hujui maana ya ujinga unajua ujinga nni au unongeaongea tu ,,,badilisha kauli zako

wewe ujielewi please read my thread again ican answer stupid questions .....im dealing with people who can think deep if u can understand this kuna thread nyingi sana hapa jf ,,,

yani wewe ndo mbumbu kabisa kwahiyo albert pike ndo unamwamini 100% kwamba yeye ni nani hasa wapo phylosophers wengi

bado upo gizani sana first unajitengenezea scenereo mwenyewe kwa imagination zako alafu unaziita logic umeandika mambo mengi nkadhani itakua ni kitu cha maana kumbe ni walewale wavivu wa kufikiri,,,,,fanya research me sio kichaa tu nkakurupuka kuandika mambo yote hayo ,,,,,bado akili yako ni ndogo kuelewa ili jambo vyema

acha kutudanganya wewe nani kakwambia,,,,kwanini ssa imechorwa kutokea canada na sio marekani au uk ,,,,acha fikra mgando na usidanganye watu

bora uwaelimishe wenye mawazo mgando

kwa taarifa yako hamna kifaa chochote duniani chenye vision kama ya macho yako ..kwa kifupi macho yako ndio kipimo cha vifaaa vingine vyote ,,kamwe usije kuyadharau macho yako kwa lusema yanakudanganya ...

siku utakayotambua kwamba dunia ni tamvb

embu usome uzi wote uelewe vizuri kwanza maana maswali yako yamejibiwa humo

nawaskitikia sana wale mnaoona fanya research google tu na kusoma website moja na kuridhika,,,,,fatilieni mambo msijiridhishe kwa kukwepa kufatilia deep zaidi

hujawai kupanda ndege i bet ,,,maana kama umepanda ndege amna ata mara moja utaona curveture ata kama ukiwa umbali gani ,,,acha kuongea vitu usivo vijua

kwahiyo wewe unaamini kila ulichofundishwa darasani.....wewe tatizo lako utaki kufikiria kwa kina hata sisis tunatambua kwamba tulifundishwa kama wewe kuanzia shule ya msingi.,.,.,.,.fatilia mambo kwa kina huu sio ubishani ni elimu

acha uongo na kupotosha watu route zote za ndege duniani zinafahamika na hakujna route ya kuizunguka dunia na pia hakuna ndege inayo kwenda from dar to sydney direct hakuna kabisa na haiwezekani

acha kufanya gues work tupe facts ,,,hiyo unayofanya hapo ni guesing ,,,.,.,.,.fanya research

sasa nimekuelewa kumbe tatizo lako ni ufikiriaji wako 2 route za ndege zipo fixed hata kama una private jet lazima ndege yako ijulikane kama ipo hewani wewe huwezi kufikiri hili kwa sababu unadhani angani ni kama sokoni ndege zinajipitia tu,,,fanya utafiti usibishe tu ilimradi kurefusha uzi

siwezi kukuolazimisha uelewe ukweli kwasababu naona ufikiriaji wako umefikia mwisho kwa kweli,,,,,,
Dude, planet earth is SPHERICAL.
 
tatizo lako unaendelea kuongelea vitu ulivyo karirishwa shuleni zamani ....

kusafiri na ndege it only proves that the earth is flat kwasababu kama wewe ni msomi unatambua kua dunia ina two movements ....the question is ndege inwezaje kuset speed yake iendane na speed ya dunia au kama unamda Tafuta kitu inaitwa gyroscope airplane experiment,,,,,najua unauwezo mdogo wakufikiria ndo maana huwezi kufatilia vitu kiundani zaidi......do ur research kusafiri na ndege ina prove dunia ni flat na haitembei wala kuzunguka ....

tatizo hata uwezi kusoma hili swali nlilijibu vizuri tu,,,,, kama hujui mirage ni nini huwezi kuelewa haya mambo embu rudia kusoma ulicho andika alafu soma maelezo yangu nliojibu kuhusu circum navigation ...fanya utafiti unadhani me nlilala nkaoteshwa kwamba dunia ni flat ....

acha kukurupuka wewe unamwambia mwenzako anauelewa mdogo kumbe we ndo hujui lolote kabisa ..kama ungekua na maarifa usingeuliza maswali ya kipuuzi ivo wakati yapo kwenye maelezo ..

watanzania ni maskini wa kutafakari na kudadisi mambo,,,,,,,,,na wanafurahi kwelikweli kukaa gizani,,,,,,, shallow minds always runaway from tought thoughts.....

tatizo lugha inakufunga ,,,,,unaona kama inapanda mlima ....kwahiyo unachotaka kusema bahari inamilima na mabonde,,,,,,,haha water finds its own level ,,,

tatizo lenu mnajifunga fikra wenyewe ...mnajaribu kutumia knowledge yenu ya primary na secondary ,,,alaf nadhani mtakua wavivu wa kusoma pia maana nmeelezea mambo mengi hapo na ni facts sio kwamba nmetunga mimi ....im just spreading the word thats all

mjinga ni wewe mwenyewe usitumie imagination zako kujudge kwamba waafrika wote ni wajinga mjinga ni wewe ulie ukubali ujinga,,,,kwa hujui maana ya ujinga unajua ujinga nni au unongeaongea tu ,,,badilisha kauli zako

wewe ujielewi please read my thread again ican answer stupid questions .....im dealing with people who can think deep if u can understand this kuna thread nyingi sana hapa jf ,,,

yani wewe ndo mbumbu kabisa kwahiyo albert pike ndo unamwamini 100% kwamba yeye ni nani hasa wapo phylosophers wengi

bado upo gizani sana first unajitengenezea scenereo mwenyewe kwa imagination zako alafu unaziita logic umeandika mambo mengi nkadhani itakua ni kitu cha maana kumbe ni walewale wavivu wa kufikiri,,,,,fanya research me sio kichaa tu nkakurupuka kuandika mambo yote hayo ,,,,,bado akili yako ni ndogo kuelewa ili jambo vyema

acha kutudanganya wewe nani kakwambia,,,,kwanini ssa imechorwa kutokea canada na sio marekani au uk ,,,,acha fikra mgando na usidanganye watu

bora uwaelimishe wenye mawazo mgando

kwa taarifa yako hamna kifaa chochote duniani chenye vision kama ya macho yako ..kwa kifupi macho yako ndio kipimo cha vifaaa vingine vyote ,,kamwe usije kuyadharau macho yako kwa lusema yanakudanganya ...

siku utakayotambua kwamba dunia ni tamvb

embu usome uzi wote uelewe vizuri kwanza maana maswali yako yamejibiwa humo

nawaskitikia sana wale mnaoona fanya research google tu na kusoma website moja na kuridhika,,,,,fatilieni mambo msijiridhishe kwa kukwepa kufatilia deep zaidi

hujawai kupanda ndege i bet ,,,maana kama umepanda ndege amna ata mara moja utaona curveture ata kama ukiwa umbali gani ,,,acha kuongea vitu usivo vijua

kwahiyo wewe unaamini kila ulichofundishwa darasani.....wewe tatizo lako utaki kufikiria kwa kina hata sisis tunatambua kwamba tulifundishwa kama wewe kuanzia shule ya msingi.,.,.,.,.fatilia mambo kwa kina huu sio ubishani ni elimu

acha uongo na kupotosha watu route zote za ndege duniani zinafahamika na hakujna route ya kuizunguka dunia na pia hakuna ndege inayo kwenda from dar to sydney direct hakuna kabisa na haiwezekani

acha kufanya gues work tupe facts ,,,hiyo unayofanya hapo ni guesing ,,,.,.,.,.fanya research

sasa nimekuelewa kumbe tatizo lako ni ufikiriaji wako 2 route za ndege zipo fixed hata kama una private jet lazima ndege yako ijulikane kama ipo hewani wewe huwezi kufikiri hili kwa sababu unadhani angani ni kama sokoni ndege zinajipitia tu,,,fanya utafiti usibishe tu ilimradi kurefusha uzi

siwezi kukuolazimisha uelewe ukweli kwasababu naona ufikiriaji wako umefikia mwisho kwa kweli,,,,,,
Nijibu mimi peke yangu.
Kama dunia ipo tambarale mbona dunia visiwa vya zanzibar hatuvioni tukiwa hapa dar es salaam? Au vimo ndani ya maji?
 
Mbona unaonesha udhaifu mkubwa sana halafu ki. laza ujuwi kitu kabisa , una QUOTE uzi pasipo kutoa fact hii mada inaitahiji Elimu siyo ya kusimuliwa , you lose your time umekosa namba ya mitihani ya form 4.
Ukosefu wa ajira usifanye watu kuandika pumba. Toa sababu kwa Nini North and South pole Kuna barafu.
HALAFU KUANDIKA UJUWI. Sorry ilo swali usijibu lipo nje ya uwezo Wako.
Usidhani nimekosea kukushauri ukamkumbatie mkeo. Maana unachofanya ni kujaribu kujitwika dunia kichwani.
Ni nini kimeviziba visiwa vya zanzibar mpaka sisi huku dar hatuvioni kwenye dunia yako flat?
 
Mm labda ninacho weza kuwaelewa wanasayansi kutokana kwamba dunia ni kubwa sana.
Na kuichora ramani yake ilikuwa ni ngumu kwahiyo waliaamua kuichora kwa mfano wa mduara ili kurahisisha kazi lakini hawa kumaanisha kwamba dunia ni mduara.

Kwasasababu tukisema dunia ni mduara je dunia imesimamia wapi?
Na ukisema dunia inazunguka je ni kitu gani kinacho izungusha dunia?
Kaka hili swali lako la mwisho nimelipenda.
 
Usidhani nimekosea kukushauri ukamkumbatie mkeo. Maana unachofanya ni kujaribu kujitwika dunia kichwani.
Ni nini kimeviziba visiwa vya zanzibar mpaka sisi huku dar hatuvioni kwenye dunia yako flat?
Lengo kubwa ni kuelekezana Kuna kitu kinaitwa worldview ni mtazamo wa watu wengine kuhusu dunia wanaionaje. Kuna watu walikuwa wanaona dunia kama meza, tambarare na duara
Naamini kabisa akija mtu kuandika uzi umbo la mstatili una pembe 5 watambisha sana na kuonekana mjinga tumekalilishwa kuwa mstatili una pembe 4 ajuwi kama mtu alikaa chini kufikiria na wengine wakifikiria wanaonekana wajinga. Kuna kanuni ya pembe 3 watu walikaa chini kufikiri wakatengeneza a^2 +b^2=c^2 ukijiundia formula yako majibu utakayoyapata mmhh
Kuna kitu nafikiria hivi Galileo kwa mara anagundua dunia inazunguka jua alitumia kifaa gani? Je alitoka nje ya dunia.
 
Mie enz wananifundisha eti dunia ndo inazunguka nilgoma had leo nmegoma sema tu in case ya kufaulu nami naandka dunia inazunguka ila sihtaj kufanya utafiti kwa kitu nachokiona kila siku kuwa jua linazunguka.

Hata ktk Biblia kuna verse moja katka Kitabu cha Yoshua inasema Mungu alisimamisha jua had Israel ikashinda vita. sasa kama Mungu alismamisha jua maanake lilikua linazunguka otherwise angesimamisha dunia kama kweli dunia ndo inazunguka,Na mimi najua Mungu hasemi uongo.

Hvyo nimebaki kumtukuza Mungu kwa huu uumbaji wa ajabu.
Nimependa ujengaji wako wa hoja uliozama kwenye maandiko..
 
Jibu swali tujue:-
Je visiwa vya zanzibar vimezibwa na nini hata tusivione sisi tulio dar kwenye dunia yako tambarale??

Lengo kubwa ni kuelekezana Kuna kitu kinaitwa worldview ni mtazamo wa watu wengine kuhusu dunia wanaionaje. Kuna watu walikuwa wanaona dunia kama meza, tambarare na duara
Naamini kabisa akija mtu kuandika uzi umbo la mstatili una pembe 5 watambisha sana na kuonekana mjinga tumekalilishwa kuwa mstatili una pembe 4 ajuwi kama mtu alikaa chini kufikiria na wengine wakifikiria wanaonekana wajinga. Kuna kanuni ya pembe 3 watu walikaa chini kufikiri wakatengeneza a^2 +b^2=c^2 ukijiundia formula yako majibu utakayoyapata mmhh
Kuna kitu nafikiria hivi Galileo kwa mara anagundua dunia inazunguka jua alitumia kifaa gani? Je alitoka nje ya dunia.
 
Umeandika mengi.kwa kukujibu ni kwamba dunia no duara.na ndo maana duniani haina mwisho.na inazunguka.kisichozunguka ni jua ndo maana tunapata usiku na mchana.upande mmoja ukimulikwa na jua unakuwa mchana na ule upande wa pili unakuwa usiku.
 
Hapa kueleweshana kwa njia ya maandishi itakuw ngumu, cz wengi bado hawajaipata logic hasa ya utambarare au uduara wa hyo dunia.

Kwa nielewavyo mimi, sifa za uduara zipo kote kote kati ya dunia mviringo na wanaoamini dunia tambarare.
Uduara wa Dunia tambarare ni wa kama sahani, disk, au mfuniko wa ndoo, na uduara wa dunia mviringo ndio huu ambao wote tunaujua, big ball.
Kwenye kueleweshan kwanza tusipingane juu ya uduara mana wote tunaongelea dunia ya duara ila katika utofauti wa maumbo.

Tangu mwanzo nasisitiza, mtoa post hajaoteshwa, ila elimu hyo ameitafutwa haifundishwi katika mitaala kama elimu ya dunia duara/mviringo ambayo wengi tunayo.
So ktk kupingana ni lazima wote tujifunze kwanza mtazamo wa wanaosema dunia ni tambarare bila hivyo, hamtapata uelewa nakubaki na uelewa wa kile mlichokuwa mnafundiswa tangu class mimi nikiwa ni mmoja wao.

Mtoa post source yake ni www.theflatearthsociety.org tembeleeni kwnza huku mjibiwe maswali yenu bila kujaribu kumuua mjumbe.
 
mkuu samahani ivi DUNIA si ni sayari? kama ni tambarale na zile sayari zingine zinakaaga wapi?
 
Jibu swali tujue:-
Je visiwa vya zanzibar vimezibwa na nini hata tusivione sisi tulio dar kwenye dunia yako tambarale??
Jibu lake rahisi sana dunia Kuna mabonde, milima, mitelemko kama Kuna bonde, mlima, miinuko na mitelemko katika utawezaje kuona zanzibar.
Alafu kitu kingine kuwa uwezo wa macho yetu kuona ndo inasababisha zanzibar isionekane. Mfano nzuri angalia Anga utaona Kuna blue lakin hakuna mawingu ya blue, blue tunayoiona angani Mwisho wa upeo wa macho yetu kuona. Ukipanda mlima kilimanjaro kwa kutumia macho yetu Mji wa Nairobi huwezi kuona lakin ukitumia vifaa maaluma Mji wa Nairobi unaona bila shida.
 
We kweli kiboko!!!
Unapendekeza kuwa kuna mlima wa maji?
Yaani hata taa za usiku tusizione?
Acha ubabaishaji, nadharia zako ziliishi karne nyingi sana zilizopita na zilithibitika kuwa ni uongo, uongo, uongooo.
Jibu lake rahisi sana dunia Kuna mabonde, milima, mitelemko kama Kuna bonde, mlima, miinuko na mitelemko katika utawezaje kuona zanzibar.
Alafu kitu kingine kuwa uwezo wa macho yetu kuona ndo inasababisha zanzibar isionekane. Mfano nzuri angalia Anga utaona Kuna blue lakin hakuna mawingu ya blue, blue tunayoiona angani Mwisho wa upeo wa macho yetu kuona. Ukipanda mlima kilimanjaro kwa kutumia macho yetu Mji wa Nairobi huwezi kuona lakin ukitumia vifaa maaluma Mji wa Nairobi unaona bila shida.
 
We jamaa kweli hata hujui unaongea nini. Dunia ina rotate na kurevolve pamoja na kole kilichomo plus its atmosphere.
So ndege ikiwa angani dunia haiwezi kuiacha ina rotate na kuivolve nayo so speed inayoset ndege ni plus ya speed on top of thw speed inayo rotate dunia.
Ndiyo maana hata ndege ikiganda angani dunia haiwezi kuiacha na wala haiwezi kujikuta kisa iliganda ikiwa tanzania ikajikuta iko panama ni kwakuwa earth rotates and revolves with everything in it plus its atmosphere.
Acha kusoma vitu nusu nusu pasipo kuvoelewa na ukajifanya umefanya research.

Kaka huyo jamaa moudytunechi amekaririshwa kwenye misahafu na alipopata wenzie wa flat earth ndio ameshindwa kabisa kuachia ubongo wake ufanye kazi ya kutafakari, mifano mitatu ambayo labda inaweza kumfikirisha ni hii

1: kama upo kwenye basi na linaenda speed na linaenda mbele, je yeye kama abiria anaweza kitembea kwenda mbele na kurudi nyuma?, je atatembea kwa speed ya basi ya 120km/hr? ITAWEZEKANA KWA SABABU NA MTU ATAKUWA SUBJECTED KWENYE SPEED YA BASI

2: je yeye akiwa kakaa kwenye basi lenye speed say 120km/hr akachukua chungwa akarirusha juu pale alipokaa je chungwa halitamrudia yeye mwenyewe? Je akirirusha nyuma au mbele au atakako halitaenda? ITAWEZEKANA KWA SABABU CHUNGWA NALO LIPO SUBJECTED KWENYE SPEED YA BASI

3: je alishawahi kumfatilia mdudu kama nzi akiwa kwenye gari lenye speed?, nzi ana uwezo wa kupaa na kwenda kokote atakako hata basi likiwa kwenye speed gani, ANAWEZA HIVYO KWA SASABU NA YEYE YUPO SUBJECTED NA SPEED YA BASI

HIYO MIFANO YOTE INAONYESHA, JAPOKUWA DUNIA IKO SPEED NA SISI PIA NA VYOMBO VYETU VYA USAFIRI MABASI, NDEGE NK. TUPO SUBJECTED NA SPEED YA DUNIA na tunaweza kwenda kokote iwe along the speed direction au opposite yake
 
We kweli kiboko!!!
Unapendekeza kuwa kuna mlima wa maji?
Yaani hata taa za usiku tusizione?
Acha ubabaishaji, nadharia zako ziliishi karne nyingi sana zilizopita na zilithibitika kuwa ni uongo, uongo, uongooo.
Wewe kweli umeenda shule? , nakuwa na wasiwasi na wewe ujuwi kwenye floor ya bahari Kuna milima, mabonde, miinuko na mitelemko.
Kuna watu tambarare iliyozugumzwa hawaielewi.
 
Mkuu dunia ni duara acha kujifikirisha uongo ,, dunia siyo tambarare , kuanzia misingi na principles za umeme, za kihisabati , geography zote zinakubali u duara wa dunia .. kwa macho halisi ukipanda juu kilometers kadhaa utaiona dunia kwa macho yako mwenyewe ...
Mkuu,nianze kusema tu kuwa nasikitika sana baada ya kusoma uzi huu kwa namna watu walivyochangia na wanavyochangia......

Mtoa mada amekuja na kuandika mambo mengi sana namna anavyosema juu ya umbo la dunia na ushahidi ameweka.Ameelezea kuwa yeye anaamini kuwa umbo la dunia ni flat,lakini akasema ni flat ya namna ipi anayoizungumzia.Shida ya kwanza ya watu inaanzia hapa...

Kuna watu wanapoona neno flat basi wanakimbilia kwenye fikra zao namna wanavyofikiria flat,wanafikiria flat kama ya meza tu,hapa ndipo panaponisikitisha kuliko mahala pengine popote pale.Mtoa mada ameelezea kuwa dunia ni flat duara yaani kama cd na michoro ameweka,watu wanakuja kujenga hoja kutoka na fikra za flat ya meza au umbo ambalo soyo duara kabisa.

Kwa kukuthibitishia hili angalia watu wanaojenga hoja kwa kuonesha kuwa mtu anaweza kutoka Dar hadi Sydney kisha akaenda Marekani kisha akarudi Accra na baadaye kurudi Dar.Ukiangalia hoja hii imelalia kwenye fikra za dunia isiyokuwa duara ya namna mleta mada aliyoizungumzia kwenye mada yake maana ukiangalia kwenye hoja za mtoa mada utaona kuwa mtoa mada naye anasema kuwa dunia ni duara lakini siyo mviringo kama tufe bali ni mviringo kama CD.Kwa mviringo huu unaweza kabisa kufanya safari hizo nilizotaja hapo juu bila kuhitajika kurudi nyuma.

Hoja ya watu kuzunguka dunia na kujikuta wamerudia pale pale,hoja hii nayo haishindikani kwenye hoja ya dunia duara ya kama sahani.Ukiangalia utaweza kuona kuwa inawezekana kabisa kuwa mtu akatoka Afrika ya kusini,akapitia Australia kisha akafika Amerika ya kusini kisha akarudi tena alipotoka maana atakuwa amezunguka duara inayosemwa na mtoa mada.Kwa maana hii bado hii haithibitishi kabisa kuwa dunia ni duara kwa maana ya tufe.....

Ameelezea mambo mengi sana pia,miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni namna usiku na mchana unavyopatikana,watu hawasomi kabisa majibu na thread yote na unakuta mtu anakuja kurudia hoja ambazo zimeshajibiwa kwa uwazi kabisa na hili ni tatizo jingine,uviovu.Huwezi kujifunza mambo mazito kama haya huku ukiwa mvivu,huwezi na hutaweza kabisa kamwe......

Hoja nyingine ni route za ndege.Mtoa hoja amesema kuhusu hili,watu badala ya kujibu sababu ya ndege kutokuwa na rout hizi wameongeza swali kuwa vipi kuhusu ndege binafsi.Kwanza nafahamu kuwa kuna maswali ambayo ukiulizwa unaweza kuuliza aina fulani ya swali ambalo ukilijibu linaweza kukupa jibu la swali lako,lakini swali hili linaweza kujibu au kutokujibu swali kuu la mtoa mada kwasababu zifuatazo....

1;Hakuna uthibitisho ambao umetolewa hadi sasa wa uwepo wa ndege binafsi zinazokatiza north pole au south pole...

2;Kama kuna huo uwezekano wa ndege binasi kukatiza hapo,ni kwaninio ndege za kibiashara zisipite hapo ili kupunguza umbali mrefu? Kutoka South Afrika hadi Urusi kupitoa Siuth pole na kupitia katikati ya bara la Afrika hadi Geneva kisha Moscow wapi ni karibu?

Kimsingi hoja zote hizi ni mfu na zinaongeza maswali zaidi.Hakuna aliyejisumbua kujibu kuhusu ukweli wa binadamu kwenda mwezini.Hakuna ushahidi wa bibadamu kwenda mwezini....

Suala la meli kitoonekana kwa macho inapokuwa mbali ya macho yako hili mtoa mada amelijibu na ndiyo jibu bora kabisa linaloenezea suala hili.Watu walikuwa wanachukulia suala hili la meli kuzama kuwa ni moja ya ushahidi wa duara ya dunia,hii ikiwa na maana kuwa meli ile inakuwa imeshafika kwenye upande mwingine wa duara ya dunia.Mtoa mada amesema kuwa,kama inakuwa hivyo basi ukichukua kifaa maalum cha kuonea mbali usingeiona meli maana itakuwa iko kwenye upande mwingine wa duara ya dunia.

Mfano mzuri wa jambo hili ni kuchukua kijiti kifupi na ukakichoma kwenye chungwa kwenye upande mmoja kisha ukaligeuza chungwa lile upande mwingine kisha ukaanza kutazama,hutaweza kukiona kijiti kile kwakuwa kitakuwa kwenye upande ambao unazuiwa na muinuko wa chungwa lile hata kama utachukua kifaa cha kuonea mbali.Lakini ukichukua mti ukauchoma chini kwenye barabara iliyonyooka kisha ukaenda umbali wa kilomota 10 ukatazama mti ule hautauona bado lakini hii haimaanishi kuwa huuoni kwakuwa upo kwenye upande wa pili wa dunia bali ni kwasababu macho yako hayaoni tu,ukichukua kifaa utaweza kuuona mti huu.....

Kwa mfano huu ni dhahiri kuwa hoja za dunia duara bado zimegaragazwa kwenye mada hii,leteni nyingine......

Sisi tunajifunza na kuhoji pale ambapo tunaona kuna haja ya kufanya hivyo.......
 
Maji yapi yenye mlima! Ni haya yakimbiliayo bondeni, yenye tabia ya kuwa chini kiasi uka suggest kwa character hiyo yangemwagika kutoka kwenye tufe la dunia?
We pumba kweli!!!!
Wewe kweli umeenda shule? , nakuwa na wasiwasi na wewe ujuwi kwenye floor ya bahari Kuna milima, mabonde, miinuko na mitelemko.
Kuna watu tambarare iliyozugumzwa hawaielewi.
 
Umefelishwa tayari.
Niwekee mchoro hapa wa dunia santuri yenu unaoonyesha kupatwa kwa jua na mwezi.

Meli iki vanish upeo wa macho pale coco beach hata utumie hadubini gani huioni ng'o!!!

Kwa nini jua linachelewa kuchwea kongo compared to dar.


Mkuu,nianze kusema tu kuwa nasikitika sana baada ya kusoma uzi huu kwa namna watu walivyochangia na wanavyochangia......

Mtoa mada amekuja na kuandika mambo mengi sana namna anavyosema juu ya umbo la dunia na ushahidi ameweka.Ameelezea kuwa yeye anaamini kuwa umbo la dunia ni flat,lakini akasema ni flat ya namna ipi anayoizungumzia.Shida ya kwanza ya watu inaanzia hapa...

Kuna watu wanapoona neno flat basi wanakimbilia kwenye fikra zao namna wanavyofikiria flat,wanafikiria flat kama ya meza tu,hapa ndipo panaponisikitisha kuliko mahala pengine popote pale.Mtoa mada ameelezea kuwa dunia ni flat duara yaani kama cd na michoro ameweka,watu wanakuja kujenga hoja kutoka na fikra za flat ya meza au umbo ambalo soyo duara kabisa.

Kwa kukuthibitishia hili angalia watu wanaojenga hoja kwa kuonesha kuwa mtu anaweza kutoka Dar hadi Sydney kisha akaenda Marekani kisha akarudi Accra na baadaye kurudi Dar.Ukiangalia hoja hii imelalia kwenye fikra za dunia isiyokuwa duara ya namna mleta mada aliyoizungumzia kwenye mada yake maana ukiangalia kwenye hoja za mtoa mada utaona kuwa mtoa mada naye anasema kuwa dunia ni duara lakini siyo mviringo kama tufe bali ni mviringo kama CD.Kwa mviringo huu unaweza kabisa kufanya safari hizo nilizotaja hapo juu bila kuhitajika kurudi nyuma.

Hoja ya watu kuzunguka dunia na kujikuta wamerudia pale pale,hoja hii nayo haishindikani kwenye hoja ya dunia duara ya kama sahani.Ukiangalia utaweza kuona kuwa inawezekana kabisa kuwa mtu akatoka Afrika ya kusini,akapitia Australia kisha akafika Amerika ya kusini kisha akarudi tena alipotoka maana atakuwa amezunguka duara inayosemwa na mtoa mada.Kwa maana hii bado hii haithibitishi kabisa kuwa dunia ni duara kwa maana ya tufe.....

Ameelezea mambo mengi sana pia,miongoni mwa mambo aliyozungumzia ni namna usiku na mchana unavyopatikana,watu hawasomi kabisa majibu na thread yote na unakuta mtu anakuja kurudia hoja ambazo zimeshajibiwa kwa uwazi kabisa na hili ni tatizo jingine,uviovu.Huwezi kujifunza mambo mazito kama haya huku ukiwa mvivu,huwezi na hutaweza kabisa kamwe......

Hoja nyingine ni route za ndege.Mtoa hoja amesema kuhusu hili,watu badala ya kujibu sababu ya ndege kutokuwa na rout hizi wameongeza swali kuwa vipi kuhusu ndege binafsi.Kwanza nafahamu kuwa kuna maswali ambayo ukiulizwa unaweza kuuliza aina fulani ya swali ambalo ukilijibu linaweza kukupa jibu la swali lako,lakini swali hili linaweza kujibu au kutokujibu swali kuu la mtoa mada kwasababu zifuatazo....

1;Hakuna uthibitisho ambao umetolewa hadi sasa wa uwepo wa ndege binafsi zinazokatiza north pole au south pole...

2;Kama kuna huo uwezekano wa ndege binasi kukatiza hapo,ni kwaninio ndege za kibiashara zisipite hapo ili kupunguza umbali mrefu? Kutoka South Afrika hadi Urusi kupitoa Siuth pole na kupitia katikati ya bara la Afrika hadi Geneva kisha Moscow wapi ni karibu?

Kimsingi hoja zote hizi ni mfu na zinaongeza maswali zaidi.Hakuna aliyejisumbua kujibu kuhusu ukweli wa binadamu kwenda mwezini.Hakuna ushahidi wa bibadamu kwenda mwezini....

Suala la meli kitoonekana kwa macho inapokuwa mbali ya macho yako hili mtoa mada amelijibu na ndiyo jibu bora kabisa linaloenezea suala hili.Watu walikuwa wanachukulia suala hili la meli kuzama kuwa ni moja ya ushahidi wa duara ya dunia,hii ikiwa na maana kuwa meli ile inakuwa imeshafika kwenye upande mwingine wa duara ya dunia.Mtoa mada amesema kuwa,kama inakuwa hivyo basi ukichukua kifaa maalum cha kuonea mbali usingeiona meli maana itakuwa iko kwenye upande mwingine wa duara ya dunia.

Mfano mzuri wa jambo hili ni kuchukua kijiti kifupi na ukakichoma kwenye chungwa kwenye upande mmoja kisha ukaligeuza chungwa lile upande mwingine kisha ukaanza kutazama,hutaweza kukiona kijiti kile kwakuwa kitakuwa kwenye upande ambao unazuiwa na muinuko wa chungwa lile hata kama utachukua kifaa cha kuonea mbali.Lakini ukichukua mti ukauchoma chini kwenye barabara iliyonyooka kisha ukaenda umbali wa kilomota 10 ukatazama mti ule hautauona bado lakini hii haimaanishi kuwa huuoni kwakuwa upo kwenye upande wa pili wa dunia bali ni kwasababu macho yako hayaoni tu,ukichukua kifaa utaweza kuuona mti huu.....

Kwa mfano huu ni dhahiri kuwa hoja za dunia duara bado zimegaragazwa kwenye mada hii,leteni nyingine......

Sisi tunajifunza na kuhoji pale ambapo tunaona kuna haja ya kufanya hivyo.......
 
Kaka huyo jamaa moudytunechi amekaririshwa kwenye misahafu na alipopata wenzie wa flat earth ndio ameshindwa kabisa kuachia ubongo wake ufanye kazi ya kutafakari, mifano mitatu ambayo labda inaweza kumfikirisha ni hii

1: kama upo kwenye basi na linaenda speed na linaenda mbele, je yeye kama abiria anaweza kitembea kwenda mbele na kurudi nyuma?, je atatembea kwa speed ya basi ya 120km/hr? ITAWEZEKANA KWA SABABU NA MTU ATAKUWA SUBJECTED KWENYE SPEED YA BASI

2: je yeye akiwa kakaa kwenye basi lenye speed say 120km/hr akachukua chungwa akarirusha juu pale alipokaa je chungwa halitamrudia yeye mwenyewe? Je akirirusha nyuma au mbele au atakako halitaenda? ITAWEZEKANA KWA SABABU CHUNGWA NALO LIPO SUBJECTED KWENYE SPEED YA BASI

3: je alishawahi kumfatilia mdudu kama nzi akiwa kwenye gari lenye speed?, nzi ana uwezo wa kupaa na kwenda kokote atakako hata basi likiwa kwenye speed gani, ANAWEZA HIVYO KWA SASABU NA YEYE YUPO SUBJECTED NA SPEED YA BASI

HIYO MIFANO YOTE INAONYESHA, JAPOKUWA DUNIA IKO SPEED NA SISI PIA NA VYOMBO VYETU VYA USAFIRI MABASI, NDEGE NK. TUPO SUBJECTED NA SPEED YA DUNIA na tunaweza kwenda kokote iwe along the speed direction au opposite yake
Umempa maswali yenye majibu murua
 
Ushahidi au evidence ninayo! wewe nina uhakika huna uhakika na unachong'ang'ana nacho...umefundishwa na kukaririshwa kama mtoto asiyejitambua.
Ushahidi kuwa dunia ni flat upo dhahiri na wazi
1. Maji naturally ni flat haiwezekani bahari na maziwa yakae kwenye round ball. Wewe kwa ujinga utasema yanakaa kwa nguvu za uvutano wa dunia, sio kweli.
2. Maji pia hufuata mkondo, yaani yanatoka kwenye miiniko kwenda bondeni mfano maji ya Victoria kuelekea Mediteranian, dunia isingekuwa flat yasingefika huko.
3. Ungekuwa rubani wa ndege ungetambua kuwa unapokuwa hewani akiisha kaa kwenye degree zone fulani hakuna muda unabadilisha angle kufuatia bending.
Unataka kuendelea kuamini ujinga wa kukaririshwa kuwa dunia ni sphere kwa sababu tu ya upatikanaji wa usiku na mchana?
Mungu mwenyewe namna alivyoitengeneza mifumo ya jua na mwezi hakuna binadamu anayejua. Hao NASA na CERN wanatumabia kutoka Big bang theory kuwa the Universe is Expanding, na hizo nyota tunazoziona juu ni makundi ya nyota yaani galaxies, na umbali wake ni milions of light years, hii yote ni uongo kama ilivyo uongo kwenye kipimo cha carbon14, Hizi zote theory knowledge ni global agenda na imefanikiwa sana. Wapagani sasa ndo wameshika hatamu.
Na siwasingizii Vatican kuwa wapo behind yote haya, nadhani kwa kuwa huielewi historia ya hizi dini na historia ya ulimwengu na empire zake. Na kwa sababu huelewi hayo hujui sasa hivi tupo wapi katika historia na hivyo basi hujui tunapopelekwa na hii historia. Wakati wewe kazi yako ni kula, kunywa na kulala wapo wanaume duniani wanaishi wakifikiria wakufanyie nini ili uwe mtumwa wao. Tafakari, naamini muda sio mrefu moderators wataambiwa wauondoe uzi huu.


Unakaribia kuwa kichaa .....
 
Back
Top Bottom