tatizo lako unaendelea kuongelea vitu ulivyo karirishwa shuleni zamani ....
kusafiri na ndege it only proves that the earth is flat kwasababu kama wewe ni msomi unatambua kua dunia ina two movements ....the question is ndege inwezaje kuset speed yake iendane na speed ya dunia au kama unamda Tafuta kitu inaitwa gyroscope airplane experiment,,,,,najua unauwezo mdogo wakufikiria ndo maana huwezi kufatilia vitu kiundani zaidi......do ur research kusafiri na ndege ina prove dunia ni flat na haitembei wala kuzunguka ....
tatizo hata uwezi kusoma hili swali nlilijibu vizuri tu,,,,, kama hujui mirage ni nini huwezi kuelewa haya mambo embu rudia kusoma ulicho andika alafu soma maelezo yangu nliojibu kuhusu circum navigation ...fanya utafiti unadhani me nlilala nkaoteshwa kwamba dunia ni flat ....
acha kukurupuka wewe unamwambia mwenzako anauelewa mdogo kumbe we ndo hujui lolote kabisa ..kama ungekua na maarifa usingeuliza maswali ya kipuuzi ivo wakati yapo kwenye maelezo ..
watanzania ni maskini wa kutafakari na kudadisi mambo,,,,,,,,,na wanafurahi kwelikweli kukaa gizani,,,,,,, shallow minds always runaway from tought thoughts.....
tatizo lugha inakufunga ,,,,,unaona kama inapanda mlima ....kwahiyo unachotaka kusema bahari inamilima na mabonde,,,,,,,haha water finds its own level ,,,
tatizo lenu mnajifunga fikra wenyewe ...mnajaribu kutumia knowledge yenu ya primary na secondary ,,,alaf nadhani mtakua wavivu wa kusoma pia maana nmeelezea mambo mengi hapo na ni facts sio kwamba nmetunga mimi ....im just spreading the word thats all
mjinga ni wewe mwenyewe usitumie imagination zako kujudge kwamba waafrika wote ni wajinga mjinga ni wewe ulie ukubali ujinga,,,,kwa hujui maana ya ujinga unajua ujinga nni au unongeaongea tu ,,,badilisha kauli zako
wewe ujielewi please read my thread again ican answer stupid questions .....im dealing with people who can think deep if u can understand this kuna thread nyingi sana hapa jf ,,,
yani wewe ndo mbumbu kabisa kwahiyo albert pike ndo unamwamini 100% kwamba yeye ni nani hasa wapo phylosophers wengi
bado upo gizani sana first unajitengenezea scenereo mwenyewe kwa imagination zako alafu unaziita logic umeandika mambo mengi nkadhani itakua ni kitu cha maana kumbe ni walewale wavivu wa kufikiri,,,,,fanya research me sio kichaa tu nkakurupuka kuandika mambo yote hayo ,,,,,bado akili yako ni ndogo kuelewa ili jambo vyema
acha kutudanganya wewe nani kakwambia,,,,kwanini ssa imechorwa kutokea canada na sio marekani au uk ,,,,acha fikra mgando na usidanganye watu
bora uwaelimishe wenye mawazo mgando
kwa taarifa yako hamna kifaa chochote duniani chenye vision kama ya macho yako ..kwa kifupi macho yako ndio kipimo cha vifaaa vingine vyote ,,kamwe usije kuyadharau macho yako kwa lusema yanakudanganya ...
siku utakayotambua kwamba dunia ni tamvb
embu usome uzi wote uelewe vizuri kwanza maana maswali yako yamejibiwa humo
nawaskitikia sana wale mnaoona fanya research google tu na kusoma website moja na kuridhika,,,,,fatilieni mambo msijiridhishe kwa kukwepa kufatilia deep zaidi
hujawai kupanda ndege i bet ,,,maana kama umepanda ndege amna ata mara moja utaona curveture ata kama ukiwa umbali gani ,,,acha kuongea vitu usivo vijua
kwahiyo wewe unaamini kila ulichofundishwa darasani.....wewe tatizo lako utaki kufikiria kwa kina hata sisis tunatambua kwamba tulifundishwa kama wewe kuanzia shule ya msingi.,.,.,.,.fatilia mambo kwa kina huu sio ubishani ni elimu
acha uongo na kupotosha watu route zote za ndege duniani zinafahamika na hakujna route ya kuizunguka dunia na pia hakuna ndege inayo kwenda from dar to sydney direct hakuna kabisa na haiwezekani
acha kufanya gues work tupe facts ,,,hiyo unayofanya hapo ni guesing ,,,.,.,.,.fanya research
sasa nimekuelewa kumbe tatizo lako ni ufikiriaji wako 2 route za ndege zipo fixed hata kama una private jet lazima ndege yako ijulikane kama ipo hewani wewe huwezi kufikiri hili kwa sababu unadhani angani ni kama sokoni ndege zinajipitia tu,,,fanya utafiti usibishe tu ilimradi kurefusha uzi
siwezi kukuolazimisha uelewe ukweli kwasababu naona ufikiriaji wako umefikia mwisho kwa kweli,,,,,,