Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Logo ya UN isikuchanganye
 
Wee jamaa kichwani ni box.



Hivi unaweza kuchukua object kubwa mfano wa tufe let say lenye diameter ya 2m then umuweke sisimizi juu ya tufe, unadhani hilo tufe hata ukilizungusha huyo sisimizi atahisi kama tufe linazunguka?
 
Wee jamaa kichwani ni box.



Hivi unaweza kuchukua object kubwa mfano wa tufe let say lenye diameter ya 2m then umuweke sisimizi juu ya tufe, unadhani hilo tufe hata ukilizungusha huyo sisimizi atahisi kama tufe linazunguka?
Tuliza mapepe Kwanza ili ulete argument yako vizuri....

Kwahiyo kama sisimizi hawezi kuhisi kama Tufe linazunguka ndiyo ajitungie na kufanya assumption kwamba Tufe linazunguka bila kufanya kipimo chochote?

Yaani logically ni kwamba,..Kwa kuwa Sisimizi hawezi kuhisi mwendo wa Tufe, basi anapaswa atuambie ni mbinu gani ametumia apart from kuhisi(ambako hakuwezekani kutokana na udogo wake) mpaka akaja kuwaambia Sisimizi wengine kwamba hii Dunia inazunguka...


NB:- Sasa ukirudi hapa bila ya kutupa kipimo kilichotumika ili kujua kama Dunia inazunguka,...basi uta prove kwamba wewe ni kichwa box instead.
 
Una prove mzunguuko/Movement kwa kuangalia object za nje.....Jua asubui linatoka mashariki na kuelekea Magharibi hii ni sawa na gari ikitembea mti utatoka mbele na kurudi nyuma hii inahitimisha DUNIA INA MOVE.
 
Kwahiyo dhana ya Dunia tufe ilitungwa tu ?

[emoji28] We jamaa miyeyusho sana.
 
l
Tuliambiwa
Tuliambiwa
Tuliambiwa



Ndio maana huwezi kuelewa kwasababu ya kuambiwa ambiwa, Usipende kuambiwa,

Jifunze, Elewa, jiulize maswali&Uliza maswali, Fanya tafiti mwenyewe zinazowezekana.
Utafiti wa kwanza nimegundua dunia ni gimba tuli ambalo limetulia sehemu moja. Linatingishika pale tu vitu vizito vikitembea juu yake na pindi ambapo miamba ya ndani ya dunia inapopata udhaifu fulani na kujongea kutoka nukta moja hadi nyingine kisha hutulia.

Uthibitisho: Utulivu tulionao unatudhihirishia wazi kwamba dunia ni gimba lililotulia.

Pia, hatujawahi kukanyaga mwezini, hakuna binadamu mwenye uhai aliyewahi kukanyaga mwezini.
 
Una prove mzunguuko/Movement kwa kuangalia object za nje.....Jua asubui linatoka mashariki na kuelekea Magharibi hii ni sawa na gari ikitembea mti utatoka mbele na kurudi nyuma hii inahitimisha DUNIA INA MOVE.
Sasa kati ya gari na miti kwenye mfano wako kipi ni dunia na kipi ni jua?🤣🤣🤣
 
Hahaha
 
Una prove mzunguuko/Movement kwa kuangalia object za nje.....Jua asubui linatoka mashariki na kuelekea Magharibi hii ni sawa na gari ikitembea mti utatoka mbele na kurudi nyuma hii inahitimisha DUNIA INA MOVE.
Sawa,.. kwahiyo Jua kutoka Mashariki kwenda Magharibi ndiyo proof ya kwamba Dunia inazunguka?



Lakini pia,.rudia kusoma tena ulichoandika.... ushasema Jua ndiyo linatoka Mashariki kuelekea Magharibi,...sasa Kwanini unahitimisha Dunia ina move wakati ushakiri mwenyewe kwamba Jua ndiyo linatoka Mashariki kuelekea Magharibi? Au Mimi ndiyo sielewi maana ya kitu kufanya movement toka Mashariki kuelekea Magharibi?
 
Kwahiyo dhana ya Dunia tufe ilitungwa tu ?

[emoji28] We jamaa miyeyusho sana.
Tatizo upo negative sana., hiyo kwamba ilitungwa sio lengo la hoja yangu.... ninachotaka Mimi ni kujua criteria au kipimo gani kimetumika ili kujua kama Dunia inazunguka,....? Au ni vibaya kuuliza hivyo?

Kwasababu niwe mkweli kwamba Kwa sasahivi binafsi nikisema kwamba Dunia inazunguka nitakua sina kipimo au ushahidi wowote zaidi ya kusikia kwa watu wengine kwamba Dunia inazunguka....
 
Kwahiyo hoja zako zinazosimama kwenye nadharia hizi ni kukosekana kwa ushahidi wa macho😄😄

Sasa mbona hata tukikwambia kuna muo ekano wa mviringo kwenye maji ya bahari,unaibua dhana zako kichwani za kuchomelea na kubisha!!!

Sisi wote hapa tunaojadili nawewe,tumekupa nafasi ya kutupa ushahidi wa dunia tambarale,lakini sio tu umeshindwa,hujui hata unachokiamini.
 
Wapi ameshindwa kutoa ushahidi? Ushahidi ametoa vizuri tu labda kama kuna sehemu uliruka hukupasoma. Kazi imebaki kwa nyinyi mnaosema dunia ni tufe mtupe ushahidi wenye nguvu.
 
Wapi ameshindwa kutoa ushahidi? Ushahidi ametoa vizuri tu labda kama kuna sehemu uliruka hukupasoma. Kazi imebaki kwa nyinyi mnaosema dunia ni tufe mtupe ushahidi wenye nguvu.
Ulete hapa haichukui sent tano wewe kunukuu alipoandika.
 
Kuna sehemu nimesema uweke ushahidi wa macho?

Lete ushahidi wowote ule ili mradi unaingia akilini, basi...


Unaomba ushahidi wa dunia tambarare,...? kila siku ukiamka unaona Flatness ya Dunia sasa sijui unataka ushahidi gani tena.
 
Kuna sehemu nimesema uweke ushahidi wa macho?
Sasa unapohoji ni nani amewahi kutoka nje kushuhudia dunia ikiwa rufe unakuaa umekusudia nini??,watu wanakuletea video za wanajimu unasema ni video za kuchonga.
Lete ushahidi wowote ule ili mradi unaingia akilini, basi...
Kama ushahidi tunaokupa hauingii akilini hakuna mwingine wowote utakaoingia akilini kwako ndugu.
Unaomba ushahidi wa dunia tambarare,...? kila siku ukiamka unaona Flatness ya Dunia sasa sijui unataka ushahidi gani tena.
😄😄mimi nikiamka naona anga lenye mawingu limeinama,nikisimama kigamboni zenji siioni naona tuta la maji,sijawahi kuona utambalale wa dunia zaidi tu nikiwa kwenye shamba langu la heka 2.
 
Hizi ni story tu unaleta,....hoja uliyodakia ilikua inataka uthibitisho au namna ya kujua kama Dunia inazunguka,...

Sasa sijui umekuja kujibu nini hapo...
 
Hizi ni story tu unaleta,....hoja uliyodakia ilikua inataka uthibitisho au namna ya kujua kama Dunia inazunguka,...

Sasa sijui umekuja kujibu nini hapo...
wewe hakuna kitu unaweza kuelewa.

uthibitisho wote umepewa lakini hutaki,labda shida yako ni nyingine sio kujifunza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…