Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Dunia ni tufe, Nimeshakutumia picha ambayo ni screenshot kutoka kwenye clip ya kurushwa kwa Starship.Kwamba Dunia inazunguka?
Uthibitisho gani nimepewa...? Uweke basi tuone
NB:- Nipo open minded na nipo tayari kujifunza.
Usiku na mchana,majira tofauti ya mwaka.Kwamba Dunia inazunguka?
Uthibitisho gani nimepewa...? Uweke basi tuone
NB:- Nipo open minded na nipo tayari kujifunza.
Hakuna camera inayoweza Ku capture Dunia from end-end kutokana na ukubwa wa Dunia...sasa screenshot gani hiyo unayosema imethibitisha Dunia ni Tufe linalozunguka?Dunia ni tufe, Nimeshakutumia picha ambayo ni screenshot kutoka kwenye clip ya kurushwa kwa Starship.
Au wewe uliona tambarare pale ?
Mimi nlijua umeshaelewa na umekubali Dunia ni tufe,
Nlidhani point ambayo bado haujaelewa kwa sasa ni kuhusu Dunia kujizungusha
Kumbe bado unaiona Dunia kuwa tambarare( ndio kuwa open minded huko ? tumekuelekeza sana, Hadi na ushahidi wa wazi kabisa )
Kazi kweli kweli! [emoji28]
Hizi ni story tu na sio uthibitisho.Usiku na mchana,majira tofauti ya mwaka.
Achana na kuzunguka, Nakuuliza tufe hujaliona ?Hakuna camera inayoweza Ku capture Dunia from end-end kutokana na ukubwa wa Dunia...sasa screenshot gani hiyo unayosema imethibitisha Dunia ni Tufe linalozunguka?View attachment 2947563
Ndiyo sijaliona..Achana na kuzunguka, Nakuuliza tufe hujaliona ? View attachment 2947586
Umeona umbo gani ?Ndiyo sijaliona..
Mkuu una kipaji kikubwa sana cha ubishi.Hizi ni story tu na sio uthibitisho.
Haoni kabisa kaka,yaani hapo anaona flat kama meza ya kamaliπ€£π€£π€£Achana na kuzunguka, Nakuuliza tufe hujaliona ? View attachment 2947586
Anaona pool-table [emoji28]Haoni kabisa kaka,yaani hapo anaona flat kama meza ya kamali[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaulizwa kuhusu ushahidi wa dunia kuzunguka unasema eti majira ya mwaka, usiku na mchana.....sasa huo ndiyo ushahidi?Mkuu una kipaji kikubwa sana cha ubishi.
Hakuna uthibitisho wa jambo lolote zaidi ya dalili,au madhara ya kinachodaiwa ni kitendo husika.Unaulizwa kuhusu ushahidi wa dunia kuzunguka unasema eti majira ya mwaka, usiku na mchana.....sasa huo ndiyo ushahidi?
Ukiambiwa uthibitishe kama Gari Lina move,.utathibitisha vipi?
Hakuna uthibitisho wa jambo lolote?Hakuna uthibitisho wa jambo lolote zaidi ya dalili,au madhara ya kinachodaiwa ni kitendo husika.
Sasa chukulia huo mfano wako kisha linganisha na Dunia,.Je Dunia imekuonyesha vipi kama Inakua point tofauti tofauti? Huoni kama Dunia ipo static na ndiyo maana kila eneo la Dunia Lina hali yake ya hewa ambayo ipo fixed milele na milele? Kitu ambacho ni impossible kwenye ikiwa Dunia ni Tufe linalozunguka ππΌπ?Nikiulizwa kama gari linatembea,nitaonyesha miti tunayoipita ikionekana kurudi nyuma,na mazingira tofauti kuonyesha tunafika point tofauti tofauti.
Dunia tambarare inaonekana visionary &logically ina make sense,.hata ukija hapa tukiamua tufanye safari mpaka Uturuki kwa njia yoyote ile ya usafiri utaweza kujua kama dunia ni flat plane.Wewe ukiulizwa kuhusu dunia tambarale na jua kuzunguka dunia utajibuje???
Tulia mkuu usome maelezo vyema wacha papara,nimekwambia kila jambo linalodaiwa kufanyika ushahidi wake hutegemea dalili au matokeo(madhara) ya jambo husika.Hakuna uthibitisho wa jambo lolote?
Yaani Kwa kuwa huwezi kuthibitisha kuzunguka Kwa Dunia,.unaamua kuhitimisha kwamba kila jambo halina uthibitisho?
Hakuna eneo la dunia lenye hali ya hewa fixed,hizi lumba umetoa wapi??mkuu embu tumia hata simu kupekua pekua uongeze ufahamu wako,usiishie kupigia picha tu.Sasa chukulia huo mfano wako kisha linganisha na Dunia,.Je Dunia imekuonyesha vipi kama Inakua point tofauti tofauti? Huoni kama Dunia ipo static na ndiyo maana kila eneo la Dunia Lina hali yake ya hewa ambayo ipo fixed milele na milele? Kitu ambacho ni impossible kwenye ikiwa Dunia ni Tufe linalozunguka ππΌπ?
πππ,futa hii kuna mtu atakuja asome miaka 25 ijayo atahusisha maisha duni ya watanzania wote na akili hizi.Dunia tambarare inaonekana visionary &logically ina make sense,.hata ukija hapa tukiamua tufanye safari mpaka Uturuki kwa njia yoyote ile ya usafiri utaweza kujua kama dunia ni flat plane.
Mimi sijakataa kwamba vinamove,ila kila kimoja kinamove na mission yake.Jua na Mwezi zinafanya movement na hicho ni kitu ambacho unaweza Ku observe through your own eyes, na Eclipses ni uthibitisho tosha kwamba Jua na mwezi zina move!!
Sasa utasemaje Dunia ina move wakati hakuna dalili yoyote kama ina move? Nitajie japo dalili moja basi kama ipo inayoonyesha Dunia ina move... Kumbuka dalili na matokeo ni vitu viwili tofauti..lete dalili sasa!Tulia mkuu usome maelezo vyema wacha papara,nimekwambia kila jambo linalodaiwa kufanyika ushahidi wake hutegemea dalili au matokeo(madhara) ya jambo husika.
Hivi kichwa chako unatumia kufanyia nini?......basi ngoja nikuulize swali rahisi huenda ukaelewa.....nini tofauti Kati ya Weather na Climate? Na Kati ya vitu hivyo viwili ni kipi kipo fixed over a thousands of years kwenye eneo husika?Hakuna eneo la dunia lenye hali ya hewa fixed,hizi lumba umetoa wapi??mkuu embu tumia hata simu kupekua pekua uongeze ufahamu wako,usiishie kupigia picha tu.
πππ,futa hii kuna mtu atakuja asome miaka 25 ijayo atahusisha maisha duni ya watanzania wote na akili hizi.
Mpaka unasema Dunia inazunguka ni wazi itakua kuna vipimo umefanya ukagundua hilo kwasababu kila mtu haoni, hasikii wala kuhisi mwendo wa Dunia,....sasa ndiyo utuambie ni kipimo gani umetumia?Jua linamove kuzunguka mzunguko wa jumla na sayari zake sio kuizunguka sayari yoyote,dunia inazunguka jua,na mwezi unazunguka dunia.
Vyema.Sasa utasemaje Dunia ina move wakati hakuna dalili yoyote kama ina move? Nitajie japo dalili moja basi kama ipo inayoonyesha Dunia ina move... Kumbuka dalili na matokeo ni vitu viwili tofauti..lete dalili sasa!
si kufugia nywele mkuu,ndio maana huwezi kuta nabishana vitu vya ajabu kama wewe.Hivi kichwa chako unatumia kufanyia nini?
Ndio sababu wenzako tunajaribu kukuelekeza kwamba dunia ni duara sababu kuna,kuna maeneo kutokana na kukaa target flan panakuwa na jotoridi lenye wastani unaofanana,sio constant numbers daily.......basi ngoja nikuulize swali rahisi huenda ukaelewa.....nini tofauti Kati ya Weather na Climate? Na Kati ya vitu hivyo viwili ni kipi kipo fixed over a thousands of years kwenye eneo husika?
nipo hapa.Kisha urudi hapa.
Kila mtu na naniππ,sema wewe ndiye huoni,na sababu huoni haina maana mzunguko haupo,umeulizwa mdudu mdogo kama sisimizi akikaa juu ya baloon,anaweza kuhisi jambo gani baloon ikizungushwa kwa speed flani???Mpaka unasema Dunia inazunguka ni wazi itakua kuna vipimo umefanya ukagundua hilo kwasababu kila mtu haoni, hasikii wala kuhisi mwendo wa Dunia,....sasa ndiyo utuambie ni kipimo gani umetumia?
Huo ni upuuzi kabisa,hata ukiomba wakuelekeze hawawezi.Wakuu hii kitu nimeona sehemu..je iko sawa na hii mada ?
hateeb10 Ndio hajui hata Dunia ni flat yenye umbo gani, Ila anabishana. [emoji28]Huo ni upuuzi kabisa,hata ukiomba wakuelekeze hawawezi.