Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwa hiyo wewe unashindwa kuona
misri kwa kuwa dunia ni duara. Kuna object vingi vinaweza kukaa katikati vikazuia usione misri, kama Kuna mji umezungukwa na milima utaona,mabonde, milima, mitelemko na miinuko hivi vyote vinasabisha kitu kisionekana.
Sifa ya macho ni kuona na kutambua, mwanga wa jua hautuzii sisi kuona nyota wakati wa mchana. Nimefundishwa kuwa object ikikaa kati ndo inazuia kuona kitu cha mbele. Mwanga wa jua umetuzunguka katika mazingira yetu lakin tunaona ikipita ndege, rocket twazioni au huo mwanga wa jua uko angani tu. Mwisho wa macho yetu kuona ni kushindwa kutambua kitu, kwa Nini wakati wa mchana au wakati wowote ule tunahitaji durabin kuona sayari kama Mars na zingine? Kwa Nini watu wanaend hospital kuchukua miwan za macho? Wamepungukiwa na nini
Kuna lini inaitwa Greenwich 0' the mstatili wa kufikirika inatenganisha West na East, American Ipo West na urusi East lakin America na urusi zipo karibu sana sijajua kama Kuna line nyingine Ipo katika ya America na urusi yenye 0'. Naomba mnielekeza
 
Angalia vizuri hizo picha utajua wapi unachanganya. These two pictures dipicts the truth that the earth is not fat.
 

Attachments

  • 1478380058896.png
    93.4 KB · Views: 95
Kama dunia ingekuwa tambarare.
-Kusingekuwa na usiku na mchana, wakati wa kupatwa kwa mwezi, giza kwenye mwezi lisinheonekana mtindo wa duara, usingeweza fika nchi kama marekan kutoka Tanzania ukianza safari yako kuelekea upande wa mashariki, hii ingewezekana tuu ukielekea magharibi, n.k
 
Mars haitoi mwanga. Mars tunaiona kwasababu inamulikwa na mwanga wa jua ambao pia unamulika misri na Zanzibar. Tena dunia upo karibu na jua kuliko mars so dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi.
Sasa ndugu mbona unanichanganya niamini kipi? Umesema mwanga wa jua unazuia nyota mchana kuto kuonekana, wakati huo huo unasema sayari ya mars inaonekana kwa sababu ya mwanga wa jua, unasema tena "dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi".
Je ni kweli mwanga wa jua unazuia mchana nyota zisionekane? Je ni kweli mwanga huo huo unasabisha kuonekana kwa sayari ya mars.
I want to know the concept you had about the sunlight, maybe I can understand more
 
dada watu tupo serious we unaleta masikhara hapa. habari za majin tena na sayansi? acha watu wajifunzekitu badala ya kuhamisha mjadala kwa kulrta hoja za kijinga.




Wacheni porojo , someni Qur'an mpate majibu msiyokuwa nayo.
 
Unajua kitu chochote ambacho haukijui na haujafundishwa na hautaki kujifunzi, lazima kiwe ni mtazamo tofauti na vile unavhoamini...
Kama mtoa post alivyowakot wazungu bila research ndivyo ilivyo kwako, wewe mwenyewe haujafanys research yeyote ile iliyokuthibitishia kuwa dunia ni mviringo zaidi ya kukoti ya darasani yaliyotoka kwa mzungu, so huna hata chembe ya haki kuupinga huu uzi zaidi ya kumaa chini uelimishwe then uweze kutofautisha.
 
Concept Ya Day and Night kwenye flat earth na practical truth nyie kweli watu wanafanya research sio sisi wabongo tunasubiri tuelezewe kila kitu.

Bado wataendelea kuuliza swali la usiku na mchana unaptikan vp
 
kaka nadhani hujaelewa kabisa ramani ya dunia tambarare ,,,na maswali yako yote yamejibiwa ,,,jaribu kusoma kwa kina uzi wangu this is how the sun revolve around the earth flat plane


ngoja kwanza nkutoe ujinga kidogo ,,,hizi sayari nyingine ulizo zitaja zamani zilijulikana kama woundering stars unajua kwasababu gani ??? kwanza kabisa naomba utambue kwamba picha zote za plannet nyingine unazoziona internet ni computer generated images(cgi) sio real images kwahiyo naweza kusema zile zenyewe ni fake images ,,,,me swali langu ni dogo sana kwanini na technologia ambayo tunayo leo hatuna picha halisi ya dunia lakin tunauwezo wa kwenda mars ,,,,maswali mengine mjiulize tu wenyewe sifa moja ya plannet kua plannet ni kwamba inatakiwa isiblink inabidi ing'ae tu through out lakin huo ni uongo ukiangalia venus ambayo inajulikana kama eavining star utagundua kwamba kuna mda ina blink embu nielezee kwanini,,,,,somethings we can observe with our own eyes ....alafu unanambia dunia ni kubwa sana siwezi kuona duara lake okay nmekubali na ni kweli dunia ni kubwa sana ,,haya vipi na ndege zinazo paa kila siku mbna hawaoni duara kumbuka the horizon always rise to the eye level ,,,,alafu huu uongo mataifa yote yanashirikiana kuificha ...ndo maana tunaiita global deception tangu dunia ianzishwe hatujawahi kuona planet yoyote inapita mbele ya jua kwa mocho yetu mawili,,,,na haiwezekani in real sance haiwezekani circles zote za planets zisi loops sehemu this is how the sun revolve around the earth flat plane
alafu hili swala halihusiani na dini kwani we unajua dini yangu au unaongea tu kujifraisha..,.,.,.,
kama ungekuja na hoja za maana na point kunipinga ningekuelewa ....,unanidhihirishia kua umefikia mwisho wa kutafakari na unavojinadi unaelimu its a shame..
hoja gani nmeshidwa kujibu,,,,,alafu usitegemee utapata majibu yote hapa,,,im just opening your mind to creatical thinking ndo maaana nliwaambia mtu anaetetea round earth aje na picha halisi ya dunia ya duara,,,,,najua hata ukishinda google hupati,,,lkn mimi i can prove the earth is flat na hamna sehemu kuna curveture na hata kama curvetureingekua baharini mbona nchi kavu hatuini kitu ,,,alafu try to explain to me jinsi maji yote ya bahari yanavyo weza kushikiliwa if the earth was round kumbuka water finds its ownlevel alafu water always maji yanafuata mkondo wake ,,,au nambie ndege inapaaje na kwenda accurate navyo sema nmefanya research nna maanisha
think about the diferences between falt earth and ball round earth
ulicho andika hapo huwezi kukiprove kwa njia yoyote hata ukilalal unasali kwasababu amna kitu kama icho..,.,the earth is stationary and everything above is revoving around us sema hatufundishwi darasani kama unajuan nyota inaitwa polaris i fatilia au nijibu inawezekanaje constilation zote ziwe zina izunguka polaris najua ufahamu kuhusu hili kwahiyo kajifunze kwanza ,,,,dunia haizunguki wala hain'gooki,,,its a flat plane
think about the word planet the source ni plane ...now do you knw the meaning of the word plane??????
usiseme ivo wewe me naweza kusema watu wanashidwa kuelewa kwasabbu bongo zimelala bado,,,,,, mpaka leo unaamini dunia ni kama kipira kipo angani na kunazungushwa na nguvu inaitwa gravity alafu kila siku tunaona jua llinatuzunguka vizuri tu ,,,,wewe ulishawai kuona wapi dunia inaizunguka jua au kila siku unaona jua ndo linapita ,,alafu kwanza nyota na anga ni lile lile akibadiliki kitu ,,alafu fikiria kupatwa kwa jua kungewezekanaje wakati jua ni kubwa sana kuliko mwezi '''''''Scientists estimate that around 64.3 million moons would fit inside the sun. Earth's moon has a radius of around 1,080 miles and the sun has a radius close to 432,687 miles,,,,,, sasa how can this be possible....
 
kwanini vitu vikiwa umbali wa kilometer moja tu unaviona ni vidogo je vikiwa kilometer 74 mbali utaviona kweli vitu vingine ni kutumia akili ya kuzaliwa tu sio lazma ufundishwe ..Distance between Dar es Salaam and Zanzibar is 74 kilometers (46 miles
meli inapozidi kwenda mbali ndo inapotea machoni kwako kama dunia ingekua ina curveture (curve) tunge weza kuona alaf kitu cha kutafakari waulize ma architecture wakwambie kama wakiwa wanajenga barabara wana consider curveture ya dunia au wanajenga vitu vinyooke na dunia ,,,tatizo watanzania tumelala bado
 
Hakika ujinga unakuelemea.
Ukiwa Bumbuli kwenye kilele cha mlima MADUDA ukiangalia mashariki unauona mji wa Tanga ambao upo mbali zaidi ya km 80.
Inakuwaje tusiione zanzibar??? (acha porojo)
Maji ya bahari yakikupwa huwa yanaenda wapi na kwa mechanism ipi???

Meli unayoizungumzia kupotea kutokana na umbali siyo kweli!! Meli inapotea kanakwamba inazama, na inapojongea towards you inakuwa kama inaibuka!!!
TUOMBE MSAMAHA KWA KUTUDANGANYA.
 
Nawauliza kama JUA limesimama mbona mnasema "JUA LIMETOKA MASHARIKI LIKAZAMA MAGHARIBI" kama limesimama je linatembeaje???
Mleta mada Niko na wewe 99% kuna kitu hakiko sawa kwa kila kitu Mzungu anatuambia. From kuwa tulikuwa nyani mpk now.
Kiukweli anga halibadilikagi always liko vile vile mchana na usiku. So kama dunia ingekuwa inazunguka ingebidi anga libadilike.
 
Sitaki kuamini kama dunia ni flat au ni duara...mnaoamini ni flat au duara mtanijibu maswali haya,...

Mkuu hoja ni nzuri ila unijibi maswali yangu nami nitakubaliana na ww
Kwanza, kama dunia ni flat kwani nini jua huchomozea mashariki na kisha kwenda magharibi na baada ya hapo kesho tena nakuta linaanzia mashariki?

Na kama kuna barafu imeishikilia bahari kwa nini basi mtu asisafiri hadi mwisho
Na akaukuta mwisho na kuona shimo kama vile ufikapo mwisho wa mlima?

Pili, inamaana jua huwa likifika magharibi huwa linarudi mashariki bila mwanga au??? (Wakati wa usiku)

Na ninyi mnaomini ni duara mnijubu hili swali langu.

Mnasema dunia ni duara, Hebu chukulia unachungwa lichore ramani ya dunia nzima, kisha chukua sindano lichome hadi sindano itokee upande wa pili,
Haya hapo nauliza, kama dunia ni duara kwa nini nisichimbe hapa shimo refu
Na nikatokea labda hata Russia?...kama nilivyochukua sindano nikachoma chungwa na kutokezea upande wa pili???
 
Mkuu kitu nilichokigundua ni kwamba kalili walau nyota tatu za angani ziangalie usiku saa moja na nusu kalili na position zilipo kisha amka saa 11 utakuta zimeshift position hii inshu huwa inanifanya nifikiri sana kitu kingine kuna miezi ikifika kama nyota fulani huwa unaziona kati wakati wa saa mbili hiyo miezi ikifika unaweza kuziona magharibi saa mbili usiku
 
Moudytunechi kwanza vizuri kabisa kwa umahili wa kutetea hoja yako,
Na mimi nina swali mkuu,
Kwa jinsi hapo jua linavyozunguka dunia nimechukua kitu nikapoint mahala
Pakaonekana hapo patakuwa mchana tu, mkuu vip kuhusu hili
Inamaana kuna sehemu itakuwa mchana tu??
 
Habari ya kupatwa kwa mwezi mbona kama inapigwa chenga hamuijibu??? Vipi kuhusu maji kupwa huwa yanakwenda wapi na kwa nguvu IPI kingo za dunia flat zipo wapi na picha HALISI ya flat earth ipo wapi
 
Mi sitaki kuamini kama dunia ni flat au mviringo mnaoamin dunia duara mnijibu swali langu hapo nimeuliza
 
Oh,Really?
 
very nice explanation ,,
labda atusaidie kwa hili ndugu; jua linapochomoza Mashariki na kuzama Magharibi, hili linawezekana vipi kama dunia ni tambarare? kwa maana tumeambiwa kuwa kuna ukingo!!! kama ndivyo, likienda halirudi linakuja jipya!
angalia huu mchoro upate consept angalau
QUOTE="Sakasaka Mao, post: 18348035, member: 390094"]Halafu hii theory yautambarare wa dunia inakuwakuwaje naweenae! inaingiaje akilini mwako mtoa mada? Ushasikia kuna angle ya dunia popote? Hembu angalia horrizon kwa jicho la uchi la bila kutumia hata kitabu. Mada zingine huwa mnazianzisha kwa kutumia mlango gani wa fahamu?[/QUOTE]
mlango wa sita wa fahamu kaka ,,,,, wasomi wa skuizi bhna
 
Mkuu tatizo lako unalazimisha hoja, ni vigumu sana mwenye mawazo tofauti kujadiliana na wewe kwenye hii mada.

Hivi mtu unawezaje kulazimisha jambo kwenye maandishi?

Yaani unamlazimishaje mtu ambaye anaweza hata asisome unachoandika?

Kauli hizi huwa naziona kama zinasababishwa na uoga baada ya kuona kuwa unachodhani ni kweli kuanza kuonekana siyo kweli......

By the way,hapa mimi sina upande wowote bali najifunza na kuhoji pale ambapo naona nastahili kufanya hivyo.Dhana ya dunia duara ya tufe nimekuwa shuleni nikaikuta hivyo naijua sana,ninapokutana na dhana mpya na inayoonekana kuichana ya zamani lazima niwahoji wale wanaoisimamia hoja ya zamani na pia kuwahoji wale wa hoja mpya ili nipate majibu.

Lakini kikubwa zaidi natafuta majibu mimi mwenyewe pia,sasa wewe unayesema nalazimisha sijui nalazimisha kitu gani hapa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…