Swali namba mbili 🤣🤣.1- Hatuwezi kufeel movement kwasababu speed ipo constant,
2-Source ya energy inayofanya rotation ya Dunia iendelee....Nadhani ungejiuliza kwanza wewe kwa nadharia yako ni source ipi ya energy inafanya Jua kuzunguka kama mnavyosema ?
3-Jibu ni ndio, Source ya mwanga kwenye sayari ya Mars na Jupiter ni Jua.
Safi sana, wote tunajua kua jua ni source ya energy kwahio sio ajabu likiwa linazunguka ,lakini Dunia Haina source ya energy inayofanya izunguke1- Hatuwezi kufeel movement kwasababu speed ipo constant,
2-Source ya energy inayofanya rotation ya Dunia iendelee....Nadhani ungejiuliza kwanza wewe kwa nadharia yako ni source ipi ya energy inafanya Jua kuzunguka kama mnavyosema ?
3-Jibu ni ndio, Source ya mwanga kwenye sayari ya Mars na Jupiter ni Jua.
Swali hilo namba 2 mmekosa jibu ,mm nmewapa jibuSwali namba mbili [emoji1787][emoji1787].
Na waseme pia kama mwezi unazinguka unatumia energy gani na source ni ipi, mimi ndo maana hua nawaambia wadocument vitu vyao ila hawataki kwa sababu hawana
Upinde wa mvuaKwa majibu haya maana yake ni kwamba HUJUI .........., Basi sawa tuendelee
Naamini unaujua vizuri “uongo” wa dunia duara
Sasa Tuanze na kipengele gani ili tukijadili unishawishi kuwa dunia ni flat?
Haya tunakubaliana na wewe Dunia ipo tofauti, Basi tunaomba utuonyeshe hata picha ya kuchora Dunia inavyoonekana ikiwa na mabara yake yote 7Kwahiyo wewe unaona Jua, Mwezi na Dunia ni vitu ambavyo vina sifa sawa,..mpaka unafananisha?
Dunia ni tofauti kabisa na hizo objects mbili,...yani hapo ni sawa uangalie umbo la Tikiti maji kisha useme hata Ndizi pia ina umbo hilo hilo,... inaingia akilini kweli?
Nielezee upinde wa mvua unatokeaje Kwa nadharia yakoKwa majibu haya maana yake ni kwamba HUJUI .........., Basi sawa tuendelee
Naamini unaujua vizuri “uongo” wa dunia duara
Sasa Tuanze na kipengele gani ili tukijadili unishawishi kuwa dunia ni flat?
Mabara zaidi ya 7 nakuletea pichaHaya tunakubaliana na wewe Dunia ipo tofauti, Basi tunaomba utuonyeshe hata picha ya kuchora Dunia inavyoonekana ikiwa na mabara yake yote 7
Umeulizwa swali badala ya kumjibu unakashifu, Alafu unaita ni challengeNdiyo uache kufananisha vitu visivyofanana....ukitaka usiwe challenged baki na ideas zako kwenye kichwa chako ukiweka kwenye public kubali tu kuhojiwa.
Hapa nna swali, Mwezi mmoja uliopita walitutangazia kupatwa kwa Jua tarehe 8 na imetokea hivyo, Je hayo ni maigizo ?Jua sio flat ni round kwasababu tunaliona hvo , mwezi una change shape ila mainly ni round ila Dunia hujawai kuiona .... Don't believe NASA wale ni waigizaji
Sawa mkuu kama majibu ndo hayo mimi sitakuuliza swali lolote lile mkuu🤣Swali hilo namba 2 mmekosa jibu ,mm nmewapa jibu
Ni mtego, AtajiletaSwali namba mbili [emoji1787][emoji1787].
Na waseme pia kama mwezi unazinguka unatumia energy gani na source ni ipi, mimi ndo maana hua nawaambia wadocument vitu vyao ila hawataki kwa sababu hawana
Okay, Source ya Mwezi kuzunguka ni ipi ?Safi sana, wote tunajua kua jua ni source ya energy kwahio sio ajabu likiwa linazunguka ,lakini Dunia Haina source ya energy inayofanya izunguke
Alafu ,kwann Dunia iwe na double movement,kwamba Ina rotate alafu pia Ina revolve?
Umekubali kua jua ni source ya mwanga katika sayari nyingne kama mars , lakini unajua mars kiasili Ina moons ngap? na zote hizo moons Zina absorb mwanga wa jua na ku reflect kule wakat zipo stationary?
Naona unatoka nje ya mstari au mzizi wa mada, Ni kawaida yenu Flat EarthNielezee upinde wa mvua unatokeaje Kwa nadharia yako
Sio kashfa,...nimesema kweli kwamba ikiwa hutaki kuwa challenged ni bora ubaki na kile unachokiamini kwenye kichwa chako.Umeulizwa swali badala ya kumjibu unakashifu, Alafu unaita ni challenge
Hapana ,sio maigizo ila swali lipo hapo .... Before na after eclipse mwezi haukuonekana ukilisogelea jua Wala kuondoka ..... Ulionekana tu exactly unavyoziba jua unahisi kwanini?Hapa nna swali, Mwezi mmoja uliopita walitutangazia kupatwa kwa Jua tarehe 8 na imetokea hivyo, Je hayo ni maigizo ?
Mwezi umeundwa na component ambazo ni gaseous kama sijakosea , kwahio atleast hio Ina make senseOkay, Source ya Mwezi kuzunguka ni ipi ?
Video nilisema weka hata link mkuu , maana kama video ni ndefu hata sisi tunahitaji kujipanga kwenye bandoAliekua anataka ushahidi wa video ntampa muda si mrefu ngoja bundle likae sawa kidogoView attachment 2962271View attachment 2962272View attachment 2962273