Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Haya maneno hapa chini aliandika Nani,.. tafadhali anthony_art ?!

👇🏼
Mfano angalia hii video alafu nambie je hayo majengo yanamove au ni camera ndio inamove? Na kwann?👇👇 hateeb10 pia ajibu hapa.
 
Haya maneno hapa chini aliandika Nani,.. tafadhali anthony_art ?!

👇🏼
Mfano angalia hii video alafu nambie je hayo majengo yanamove au ni camera ndio inamove? Na kwann?👇👇 hateeb10 pia ajibu hapa.
Kwahy naww ukajibu kitu ambacho hujakiona? Kwahy nikibadirisha swali nikasema nn linamove kati ya majengo au tofali, utajibu vipi?
 
Umesema camera ndio inamove,

Basi huo ndio mfano wa Dunia yetu kurotate, Sunset ni mfano wa hapo uliposema majengo yanapotea kwenye hiyo clip

Una swali ?
Vizuri,... kwahiyo unamaanisha kwenye Ile video camera ni Dunia au Jua?

Maana camera ndiyo ina move kama ulivyokubali hapo juu.
 
Umesema camera ndio inamove,

Basi huo ndio mfano wa Dunia yetu kurotate, Sunset ni mfano wa hapo uliposema majengo yanapotea kwenye hiyo clip

Una swali ?
Asanteee! Camera ndio inamove lkn majengo yanapotea na yanaoneka kama yanamove
 
Kwahy naww ukajibu kitu ambacho hujakiona? Kwahy nikibadirisha swali nikasema nn linamove kati ya majengo au tofali, utajibu vipi?
No,....niliamini ungeweza kuelewa vizuri iwapo nitatumia logic na mfano uliokuja nao Kwa bahati mbaya haijawa nilivyotajia.

Ikiwa hukutaka nihusishe camera kwenye maelezo yangu,...basi hata wewe sidhani kama kulikua na haja ya kutumia camera kuelezea scenario husika,.ungetafuta mfano mwingine ambao ungefanya uelewe.
 
Asanteee! Camera ndio inamove lkn majengo yanapotea na yanaoneka kama yanamove
Camera umeiona wapi hapo?


NB:- Huu sasa ni utoto ikiwa ulipinga Mimi kutumia mfano wa camera then wewe umeamua kuja nao......

Au imekaaje hii.
 
Asanteee! Camera ndio inamove lkn majengo yanapotea na yanaoneka kama yanamove
Hivi mnatumia akili kweli?

Camera na majengo

Dunia na Jua.

Je,.. kwenye hiyo animation,...
1. Camera ni nini? Dunia/ Jua
2. Majengo ni nini? Dunia/ Jua
 
Contradiction IPO wapi hapo?

Nionyeshe ikiwa ipo.....tuliza akili usome between the line Mtaalamu.
Nimekosea ku quote ila ulishasema hakuna gravity hapo nyuma, sio case enhee sawa gravity sio force, na Einstein alisema nn kuhusu vitu kufall?

No,.nimejibu kama swali lako ulivyouliza au hujui kama kwenye swali lako umetaja kabisa camera?


Au ulitaka nikueditie swali lako ndiyo nijibu?

Hii sio sawa.
Ila hukuiona si ndio? Sasa umejuaje camera ndio inamove na wakat hujaiona?
 
Hivi mnatumia akili kweli?

Camera na majengo

Dunia na Jua.

Je,.. kwenye hiyo animation,...
1. Camera ni nini? Dunia/ Jua
2. Majengo ni nini? Dunia/ Jua
Hiyo clip imetumika kama mfano ili kichwa chako kipate urahisi wa kuelewa,

Ila bado unataka kukaza !???
 
Hivi mnatumia akili kweli?

Camera na majengo

Dunia na Jua.

Je,.. kwenye hiyo animation,...
1. Camera ni nini? Dunia/ Jua
2. Majengo ni nini? Dunia/ Jua
Camera ni mfano Dunia ndio maana unatumia camera kama jicho, means wewe ulipo duniani (camera) huwezi kusema camera ni Jua kwahy sisi tupo kwenye jua? Sisi tupo duniani (Camera) tunaona majengo(Jua) yanatoka katika position yaliyokuwapo mpka yanapotea wakat kiuhalisia Dunia (camera) ndio inamove.
 
Nimekosea ku quote ila ulishasema hakuna gravity hapo nyuma, sio case enhee sawa gravity sio force, na Einstein alisema nn kuhusu vitu kufall?


Ila hukuiona si ndio? Sasa umejuaje camera ndio inamove na wakat hujaiona?
1. Publication za Einstein zipo nyingi kasome kuhusu maoni yake.

2. Narudia,...nimejibu swali kulingana na ulivyouliza kama hukutaka nihusishe camera kwenye majibu yangu basi hata wewe hukutakiwa kuhusisha kwenye swali lako,..... Naamini hii ipo clear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…