The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Lini? Nani? Alisema ivo?Sio Kwa akili yangu bali ndiyo nadharia ya Dunia Tufe inavyosema....yani kwamba Jua kuna time linakua chini ya miguu yetu na muda mwingine linakua juu ya vichwa vyetu....
Usipindishe hoja husika tuiweke kama ilivyo... akilini mwako inaingia?
No,,..mengi nishayajibu unarudia Tu.Maswali kujibu mpk saiv umeshindwa
Hiyo nadharia iliandika hivyo sehemu gani ? Unaweza kunionyesha ?Sio Kwa akili yangu bali ndiyo nadharia ya Dunia Tufe inavyosema....yani kwamba Jua kuna time linakua chini ya miguu yetu na muda mwingine linakua juu ya vichwa vyetu....
Usipindishe hoja husika tuiweke kama ilivyo... akilini mwako inaingia?
Hujajibu walaNo,,..mengi nishayajibu unarudia Tu.
Tuliza akili soma vizuri hoja yangu....Lini? Nani? Alisema ivo?
Sio mpaka uandikiwe sehemu,....Mimi nimefikiria kisha nimekuletea ili akili yako itafakari huenda ukazinduka kutoka kwenye usingizi mzito.Hiyo nadharia iliandika hivyo sehemu gani ? Unaweza kunionyesha ?
Maana hii nadharia haitambui juu na chini
Kweli bangi sio chai ππππMpk hapa Bado hujaelewa????
Hiyo designated flight path ni curved na ndio maana lazima i-adjust altitude, dunia ingekuwa ni flat kusingekuwa na haja hiyo ingeruka tu kwenye height inayotakiwa then inamaintain bila ku-adjust. Sasa Ina adjust nini wakat Dunia ni flat??
Hizo sababu nyingne ni za kweli ila sio core, na ndio maana anatumia neno may.
Nimefikiria kuhusu suala hilo,...kama hujaelewa uliza nikueleweshe vizuri namaanisha kitu gani..Lini? Nani? Alisema ivo?
Namm nimekwambia Jua halipo upande wa pili wa Dunia, lipo 93M km away ila mwanga wa Jua ndio unaonekana upande wa pili wa Jua,Tuliza akili soma vizuri hoja yangu....
Ni kwamba muda huu Jua lipo upande wa pili wa Dunia Tufe,......
Yaani kimsingi Jua lipo chini ya miguu yetu,...ukikataa utanishangaza hasa Kwa kuwa unaamini nadharia za Dunia Tufe.
Kama huwez kujibu mzee unakaa pembeni, hapa hakuna taarabKweli bangi sio chai ππππ
Hahaha kuna kitu najifunza kuhusu nyinyi watu wa Flat Earth, nmeanza kubaini matatizo makubwa kwenu ni niniTuliza akili soma vizuri hoja yangu....
Ni kwamba muda huu Jua lipo upande wa pili wa Dunia Tufe,......
Yaani kimsingi Jua lipo chini ya miguu yetu,...ukikataa utanishangaza hasa Kwa kuwa unaamini nadharia za Dunia Tufe.
Hahaha kuna kitu najifunza kuhusu nyinyi watu wa Flat Earth, nmeanza kubaini matatizo makubwa kwenu ni niniTuliza akili soma vizuri hoja yangu....
Ni kwamba muda huu Jua lipo upande wa pili wa Dunia Tufe,......
Yaani kimsingi Jua lipo chini ya miguu yetu,...ukikataa utanishangaza hasa Kwa kuwa unaamini nadharia za Dunia Tufe.
Bangi mbaya kaka,...watu wanaamishwa tu wanajaa...Kweli bangi sio chai ππππ
Una safari ndefu kaka, Pole sana kwa hii changamoto uliyonayo kwenye maisha yako,Sio mpaka uandikiwe sehemu,....Mimi nimefikiria kisha nimekuletea ili akili yako itafakari huenda ukazinduka kutoka kwenye usingizi mzito.
Nilikuuliza swali, unajua Curiolis effect?Bangi mbaya kaka,...watu wanaamishwa tu wanajaa...
Muulize kama hizo designated flight path zingekua curved,.... kwanini Wana assume flat earth & non-rotating earth kwenye Piloting?
anthony_art
Unaamini Dunia ni Tufe ?Namm nimekwambia Jua halipo upande wa pili wa Dunia, lipo 93M km away ila mwanga wa Jua ndio unaonekana upande wa pili wa Jua,
Na unakosea kusema chini ya miguu yako,
Nakuonea huruma mno.Una safari ndefu kaka, Pole sana kwa hii changamoto uliyonayo kwenye maisha yako,
Sio mbaya tutaendelea kuelimishana taratibu
Leta hojaKweli bangi sio chai ππππ
Sawa tuendelee na mjadalaNakuonea huruma mno.
Ni Coriolis effect sio curiolis effect.....ni hadithi tu haina ukweli wowote.Nilikuuliza swali, unajua Curiolis effect?
Gravity imevumbuliwa na Newton, uliza Newton alisema kitu gani kuhusu gravity, Einstein alovamia vumbuzi za watu tu japo naye ana zake.Nimemwambia anambie Einstein alisema nn kuhusu gravity, hajajibu. Theory ya general relativity inaelezea kwann object zenye maumbo madogo kwenye space zinazunguka maumbo makubwa.
Mfano: sayari kuzunguka Jua, mwezi kuzunguka Dunia.