Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Curvature ni characteristics ya multiple points na sio point Moja, na ndio maana nikakwambia curvature inatokea after some distance Kwa maana Ili utengeneze curve you need multiple points connected Wala sio single point.

Fikria mwenyewe tu, how a single point can curve.
 
Bado Kuna ukakasi, Sasa kwann hata kwenye aviation Coriolis effect ipo?
 
So,... Ships disappears over what?
 
Kama unajua map projection nadhani utaelewa, google Map projection utaelewa
Dunia ni Tufe lenye pande ngapi?

NB:- Najua unajua jibu lake ila lengo la kukuuliza swali hilo ni ili ujue kwamba ulikosea pale uliposema Tufe halina sides.
 
So,...ni sahihi kusema at that point, curvature of the earth ndiyo inapoanzia mara baada ya Meli kusafiri in a straight line (flat path) Then inatumbukia towards the curve.?
"inapoanzia" means sio point Moja
 
Ndio Sina uhakika ya kuwa Kwa Sasa mida hii mwanga wa Jua upo opposite na tilipo exactly?
Kwa mujibu wa nadharia ya Dunia Tufe,...NI exactly lipo opposite na tulipo and that's why hatuoni mwanga wake.
 
"inapoanzia" means sio point Moja
Kwahiyo ni sahihi au sio sahihi,.... kusema at that point where ships starts to descend towards the curve ndiyo mwanzo wa curvature?

Swali langu rahisi halitaki maelezo mengi,.....just sahihi/ sio sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…