The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Curvature ni characteristics ya multiple points na sio point Moja, na ndio maana nikakwambia curvature inatokea after some distance Kwa maana Ili utengeneze curve you need multiple points connected Wala sio single point.Daah,..Sasa kama huwezi kusema point hii ndiyo kuna curvature,...huoni kama mdanganganya watu kuhusu "Ship visibility"??? Maana huwa mnasema humu kwamba Ship disappear over the earth's curvature., that means hapo Meli inapoanza kutumbukia towards the curve ndiyo Mkunjo unapoanzia
Fikria mwenyewe tu, how a single point can curve.