The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Wewe ni mgonjwa😀 Sasa unataka nikuletee nn? Path?NB:- zingatia kuleta uhalisia unaoonyesha kwamba aircraft paths zipo curved na sio ulete michoro(manmade
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mgonjwa😀 Sasa unataka nikuletee nn? Path?NB:- zingatia kuleta uhalisia unaoonyesha kwamba aircraft paths zipo curved na sio ulete michoro(manmade
Kwa hiyo routeKwahiyo unataka utudanganye hapa kwamba Ndege zote duniani zikisafiri zinafuata huo mchoro hapo juu?
Yaani ndege ijipangie route? Kweli ww matako,Hiyo sio kweli,... Ndege ikitaka kwenda Moldovia inaweza ikatumia route yoyote itakayojipangia na inafika vizuri tu.
Nayajuaje wakat mm nipo indoctrinated au wote tupo indoctrinated?Sasa swali si hata wewe unayajua majibu yake.... sidhani kama kuna haja ya kulijibu.
Wewe ni matako, kama huwez kusoma na kuelewa basiii,Bado hujajibu,... Ila kimsingi naamini umekubaliana na hoja ya Einstein kwamba gravity sio force,....so naamini utaacha kabisa humu kuaminisha watu kwamba gravity ndiyo inafanya vitu kuanguka na kupaa.
Nimekuuliza gravity ya Einstein haikuongelea kwann vitu vinafall, na kwann celestial body zina-revolve???naamini utaacha kabisa humu kuaminisha watu kwamba gravity ndiyo inafanya vitu kuanguka na kupaa.
Mjadala umekushinda umeamua kuhamia kwenye kutukana,...huenda ubora wako ndiyo upo hapo.Wewe ni matako, kama huwez kusoma na kuelewa basiii,
Hauwez ukanishinda ikiwa bado huwez kujibu hojaMjadala umekushinda umeamua kuhamia kwenye kutukana,...huenda ubora wako ndiyo upo hapo.
Vizuri sana 👏🏼👏🏼
Sawa umeshinda..,Dunia ni Tufe linalozunguka.Hauwez ukanishinda ikiwa bado huwez kujibu hoja
Wewe unajitoa akili, na kijitia uchizi, eti nikuletee ushahidi wa route ya ndege nisilete michoro, Sasa niletee nini? Picha ya barabara ya ndege? Au huna akili, isije kuwa tunaangaika na chizi humu.Sawa umeshinda..,Dunia ni Tufe linalozunguka.
Au we unahisi hiyo picha ya route nimetengeneza Mimi? Eti ndege ijipangie route yake yenyewe😀, hapa tunaangaika na chizi kweliSawa umeshinda..,Dunia ni Tufe linalozunguka.
Umeisaliti akili yako,...na ndiyo maana kufikiria on your own ni kosa la jinai kwako.Wewe unajitoa akili, na kijitia uchizi, eti nikuletee ushahidi wa route ya ndege nisilete michoro, Sasa niletee nini? Picha ya barabara ya ndege? Au huna akili, isije kuwa tunaangaika na chizi humu.
Wewe hujaisaliti akili yako? Basi naww niletee route ya ndege usilete michoroUmeisaliti akili yako,...na ndiyo maana kufikiria on your own ni kosa la jinai kwako.
Tufanye umeshinda,...Dunia ni Tufe linalozunguka Kwa Kasi 🤝🏼
Unauliza kitu alafu unanicondition Kwa vitu vya kijinga, alafu unaropoka et ndege zinajichagulia route zinazotaka zenyewe yaan kwamba ukitaka kwenda marekani ndege niaamua tu yenyewe, Sasa naona nakuja kama najadiriana na mtu ambae hajielewUmeisaliti akili yako,...na ndiyo maana kufikiria on your own ni kosa la jinai kwako.
Tufanye umeshinda,...Dunia ni Tufe linalozunguka Kwa Kasi 🤝🏼
Visual Flight Rules (VFR): Private planes can operate under VFR rules, which allows for more flexibility in choosing a route as long as visibility and weather conditions permit.Wewe hujaisaliti akili yako? Basi naww niletee route ya ndege usilete michoro
Visual Flight Rules (VFR): Private planes can operate under VFR rules, which allows for more flexibility in choosing a route as long as visibility and weather conditions permit.Unauliza kitu alafu unanicondition Kwa vitu vya kijinga, alafu unaropoka et ndege zinajichagulia route zinazotaka zenyewe yaan kwamba ukitaka kwenda marekani ndege niaamua tu yenyewe, Sasa naona nakuja kama najadiriana na mtu ambae hajielew
Sasa wewe Kwa akili yako unaona kabisa anga lipo void ,...unaleta hoja ya curved route.....Unauliza kitu alafu unanicondition Kwa vitu vya kijinga, alafu unaropoka et ndege zinajichagulia route zinazotaka zenyewe yaan kwamba ukitaka kwenda marekani ndege niaamua tu yenyewe, Sasa naona nakuja kama najadiriana na mtu ambae hajielew
Choosing route, means route zipo na sijasema Kuna route Moja, ww unasema ndege inajiamulia route,Visual Flight Rules (VFR): Private planes can operate under VFR rules, which allows for more flexibility in choosing a route as long as visibility and weather conditions permit.
Usiwe na mihemuko... relax!
Wewe ndio huitumii akili, Anga ni la Dunia na Dunia ni duara sasa ukipitia angani kutoka point Moja ya Dunia mpk point nyingne ambayo kimsingi ipo mbali automatically utafata curvature,Sasa wewe Kwa akili yako unaona kabisa anga lipo void ,...unaleta hoja ya curved route.....
Can something which is void be curved or bend?
Tuliza akili ujifunze,....matusi hayatokusaidia