Chosen Rich
JF-Expert Member
- Jan 7, 2019
- 1,467
- 989
Nanukuu neno lako "UONGO"Sio sphere kamili wala sio sphere nusu......it's massively flattened.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nanukuu neno lako "UONGO"Sio sphere kamili wala sio sphere nusu......it's massively flattened.
Uongo upo wapi hapo?Nanukuu neno lako "UONGO"
Unitembeze kilometers ngapi ? Na Dunia ina kilometers ngapi za mraba ?Uongo upo wapi hapo?
Mimi nakupa facts Tu,...ukitaka tafuta siku nikutembeze kadri utakavyoweza ujionee uhalisia na sio Katuni.
Ndiyo maana nikasema nitakutembeza kadri utakavyoweza,.....ukitaka tunachukua usafiri wa bei chee Baiskeli Tu(ili observation iwe clear zaidi),.tunasafiri mpaka Morroco then tunavuka bahari pale tunaingia Spain....na kuendelea.Unitembeze k.m ngapi ? Na Dunia ina k.m ngapi za mraba ?
Hahaha kuwa serious,Ndiyo maana nikasema nitakutembeza kadri utakavyoweza,.....ukitaka tunachukua usafiri wa bei chee Baiskeli Tu(ili observation iwe clear zaidi),.tunasafiri mpaka Morroco then tunavuka bahari pale tunaingia Spain....na kuendelea.
Kwanini haupo tayari kufanya observation halisia sasa ikiwa una uhakika na unachokimini?Hahaha kuwa serious,
Mkuu, Dunia ni tufe
Naona ntapoteza muda wangu tu,Kwanini haupo tayari kufanya observation halisia sasa ikiwa una uhakika na unachokimini?
Kwa style hiyo itabidi uendelee kuamini Katuni a.k.a CGI's!
Kwanini haupo tayari kufanya observation halisia sasa ikiwa una uhakika na unachokimini?
Kwa style hiyo itabidi uendelee kuamini Katuni a.k.a CGI's!
Nilikuuliza kama Dunia ingekuwa flat kwann ndege i-adjust altitude Ili kufata path yake? Holah!!Narudia,....Ndege kuadjust altitude hakuhusiani kabisa na masuala ya curvature....... kuhusisha kitendo cha Ndege kuadjust altitude na Curvature ni uongo wa kiwango cha lami.
NB:- Hivi unaelewa maana ya kuadjust altitude? unaweza kuelezea kidogo maana yake halisi?
Mbn unajichanganya?😀 Unakubali kuwa the earth is not a perfect sphere? Kama ndio unaelewa maana ya hiyo statement?Sio sphere kamili wala sio sphere nusu......it's massively flattened.
Flattened at its polesmassively flattened
Sasa hiki ndio nn? Sema shida iko wapi, nimekupa mfano wa mpiraKwamba mida hii Jua lipo chini ya miguu yetu relatively.....?
Kweli una Imani kubwa juu ya Tufe.
Kwa kuangalia sioni sides otherwise naweza kusema Ina millions of sidesDunia kiuhalisia ina sides achana na mambo ya nadharia za Tufe...
Hivi wewe binafsi ukiangalia Dunia bila akili za kushikiwa utasema haina sides?? Nadhani jibu ni hapana.
Bado hujaelezea vzr, na alielezea namna gravity namna inafanya celestial body zenye mass ndogo kuzunguka (orbit) zenye mass Kubwa, na inaelezea sabab ya vitu kufallAlisema gravity sio force as described by Isaac Newton, but rather a curvature of space and time caused by mass and energy.,...kisha akaelezea nadharia zake za relativity
Kwanza unatakiwa ufahamu kwamba Dunia kuwa flat/Tufe hakuhusiani na Ndege kuadjust altitude., unless uwe hujui nini maana ya kuadjust altitude.Nilikuuliza kama Dunia ingekuwa flat kwann ndege i-adjust altitude Ili kufata path yake? Holah!!
Kuna quote yko umenireply,.. nadhani itafaa kujibu hili swali lako...👇🏼Mbn unajichanganya?😀 Unakubali kuwa the earth is not a perfect sphere? Kama ndio unaelewa maana ya hiyo statement?
Flattened at its poles
Kwa akili ambayo imekua indoctrinated utasema Dunia haina sides,...ila Kwa akili huru yenye afya ni lazima utafahamu Tu kwamba Dunia ina sides.Kwa kuangalia sioni sides otherwise naweza kusema Ina millions of sides
Kwanza unakubaliana na statement yake aliposema "Gravity sio Force"?Bado hujaelezea vzr, na alielezea namna gravity namna inafanya celestial body zenye mass ndogo kuzunguka (orbit) zenye mass Kubwa, na inaelezea sabab ya vitu kufall