Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
KUMBUKA KUNIJIBU..!
Kwakuangalia angani wakati Mwezi ukitembea na wakati Jua ikitembea, Kuna utofauti gani wa mitembeo hiyo hadi tuamini Kimoja Hakitembei?

Na Kwanini Hauamini kua mwezi ndio Umesimama na Jua ndilo linalotembea?

Kwa nadharia hiyo je Ungefundishwa Mwezi Umesimama na Jua linatembea, leo hii ungepinga kwa hoja zipi?
Kimsingi hakuna utofauti Kwa kutazama,
Lakin sababu ya Mimi kuamini Jua halizunguki Dunia Bali Dunia inazunguka Jua na mwezi unazunguka Dunia ni general concept ya solar system ambayo kimsingi nakubaliananayo kutokana na vitu vingi inavyoelezea vinamake sense kwangu na hata nikivitazama naona ndio kama inavyoelezewa na vingne Ninavi apply kabisa, vipo vilivyothibitishwa.

Kwa ufupi, ni kwamba Kuna vitu siwezi kuvithibitisha Mimi kama Mimi Bali natumia uthibitisho wa kisayansi uliofanywa au kuwa observed na wanasayansi husika, kingne kinachonifanya nizidi kuamini ni weakness Kubwa za flat earth ndio zinazidi kunifanya na kunifumbua zaidi kuhusu umbo la Dunia, vitu kama;
1. Solar and lunar eclipse
2. Lunar phases
3. Earth Curvature hata ukiangalia Anga tu au mawingu utaona yanafata curve
4. Sunrise na sunset,
Na vingne vingi tu, kwahy kujibu swali lako hakuna utofauti au kama upo ni mdogo

Kama ningefundisha mwezi umesimama na Jua linamove inategemea jinsi Gani ningefundishwa au kuelezea, kama ingemake sense kama hivi Sasa na tukaona hata application zake kama hivi Sasa ilivyo basi ningeamini, na nisingekosa hoja za kujieleza Kwa sabab mpk nimekubaliana nayo it means it makes sense to me.
 
Narudi katika maswali yako yote sita. Ni hivi, yote uliyoyaulizwa yapo katika mitaala kuanzia elimu ya shule na vyuoni.... Je mitaala ya Flat Earth inafundishwa? Kwanini haifundishwi ingali Ipo.? Wewe unaenibishia mimi, katika hayo maswali yako je Unajua hizo nazo ni topic katika elimu ya Dunia Tambarare? Umewahi Kujifunza?
Usitake advantage ya kuwa navyotaja vipo kwenye mitaala, kuwa kwenye mitaala haimaanishi tusivifikrie, Mimi zaman nilisoma Ili kufaulu mtihan tu, lkn badae hasa baada ya kukutana na hoja za flat earth, nilisoma zaidi Kwa Lengo la kujifunza Ili kujua, na nikabaini Kuna weaknesses nyingi kwenye flat earth tena maelezo Yao yanatofautiana sana kwenye hoja Moja maelezo tofauti, Kwa mfano tu niliuliza solar eclipse majibu yamekuja tofauti na yote hayamake sense, Sasa hata ww unaona kabisa wapi Kuna tatizo.

Kama ni elimu katika Dunia Tambarare basi naomba unielezee labda mimi sikuelewa vzr na ndio maana nikakuuliza ila hujibu au unataka niamini tu bila kuelewa?
 
ninachotofautiana na wewe ni sehemu ndogo sana... ndio maana unatumia nguvu kubwa kukosoa hoja na kuweka yaleyale tuliyofundishwa ambayo mimi kwa uelewa wangu nilikua napata utata...

ila nilipobahatika kujifunza na hoja za fflat earth mengi ya yaliyokua yananipa utata yanathibitika kirahisi na yanasapotiwa na milango yangu ya fahamu.

SASA BASI..!
ili tuyajadili hayo swali kwa swali au hoja kwa hoja inabidi mimi na wewe wote tuwe tuna elimu zote za dunia mviringo na dunia tambarare huku zote zikiwa ni za Duara.

Narudi katika maswali yako yote sita. Ni hivi, yote uliyoyaulizwa yapo katika mitaala kuanzia elimu ya shule na vyuoni.... Je mitaala ya Flat Earth inafundishwa? Kwanini haifundishwi ingali Ipo.? Wewe unaenibishia mimi, katika hayo maswali yako je Unajua hizo nazo ni topic katika elimu ya Dunia Tambarare? Umewahi Kujifunza?

USIPINGE USICHOKIJUA. Mimi nayapinga ninayoyajua kwakufundishwa yanapinga kwa kujifunza sio kwakukataa.

Wengi wenu ukiwamo wewe.. kwanza tuu Nadharia yenyewe ya Flatearth hauielewi wala kuijua inavyofanya kazi na inavyotoa matokeo. Usingeulizwa maswali yako hivyo.

pili kama ulikubali kuingia darasani na ukabatilishiwa namna unavyoliona jua, basi usikatae kuingia darasani kujifunza namna ukweli wa unavyoliona Jua.

Niulize maswali ya kuzihoji hoja...Na Usijiffunze kupitia ubishi.

Ninajibu maswali ili kila mwenye kuweza kuelewa na kujipa tafakuri imsaidie. hapa nataka tuwaze zaidi kwa akili zetu, tukimix na za darasani basi tuwe nazo zote za dunia mviringo na tambarare.

Kama una uliza juu ya usiku na mchana unavyopa tikana katika flatearth ina maana hauna elimu hiyo.. sasa kwanini unaibishia.?

sijakosea wala kubishana na wenzangu nimejibu kukupa picha rahisi.. sasa kama upo tayari nipe muda wakukufundisha hilo kama ulivyompa muda huo mwalimu aliyekufundisha katika shape ya dunia mviringo.
Sasa kama unapinga unachokijua na unaelimu nacho, kwann usinipe majibu ya maswali niliyokuuliza kuliko kuleta story ndeefu, tena umesema hayo maswali ni topic kwenye flat earth, basi jibu hayo maswali Kwa kutumia concept zako
 
pili kama ulikubali kuingia darasani na ukabatilishiwa namna unavyoliona jua, basi usikatae kuingia darasani kujifunza namna ukweli wa unavyoliona Jua.
Bro ndio maana nipo hapa, na nauliza maswali nahitaji majibu Ili nijifinze ww unaleta hadithi tena😀😀
 
Wengi wenu ukiwamo wewe.. kwanza tuu Nadharia yenyewe ya Flatearth hauielewi wala kuijua inavyofanya kazi na inavyotoa matokeo. Usingeulizwa maswali yako hivyo
Sawa siielewi basi nipe hiyo elimu kupitia hayo maswali 😀
 
pili kama ulikubali kuingia darasani na ukabatilishiwa namna unavyoliona jua, basi usikatae kuingia darasani kujifunza namna ukweli wa unavyoliona Jua.
Na hili ndio darasa nililoingia Ili nipate majibu nifungue macho, kwahy jibu hoja zangu Ili unifungue macho au hili ni kanisa tusihoji tuamini tu kama vilivyo? Jibu hayo maswali kama utona nakubishia
 
Ninajibu maswali ili kila mwenye kuweza kuelewa na kujipa tafakuri imsaidie. hapa nataka tuwaze zaidi kwa akili zetu, tukimix na za darasani basi tuwe nazo zote za dunia mviringo na tambarare
Na ndio sababu tupo hapa ww leta hoja zako lkn ukileta janja janja unaulizwa maswali na uyajibu
 
sijakosea wala kubishana na wenzangu nimejibu kukupa picha rahisi.. sasa kama upo tayari nipe muda wakukufundisha hilo kama ulivyompa muda huo mwalimu aliyekufundisha katika shape ya dunia mviringo.
Nikupe muda mara ngapi?? Hili ni jukwaa huru
 
Hiyo elimu yako ya phisics na anga uliyoipata je umeipata elimu hiyo katika usawa, yaani ya dunia tambarare na dunia mviringo? au umeipata elimu moja na kuiamini hiyohiyo.?
Elimu ya Dunia tambarare inapatiakana na imeelezea yote yanayoelezewa katika dunia mviringo someni kwanza ndio tuhojiane sisi waamini wote tukiwa tunakijua tukiongeleacho maana wengine mnadhani hii tambarare ni nadharia isiyokuwa na vitabu au madarasa.
Kama unahisi hatujasoma, basi tuelezee vzr Kwa kujibu hoja hizo(debunk) sio unazunguka sana sasa nani atakuamini au kukuelewa
 
simple tuu na kama kweli wewe ni mdadisi na mfukunyuzi na unaeweza kujaribu kitu... mi nakupa zoezi dogo tuu ili uweze kuihoji elimu yako na uffahamu wako.

1. chukua mpira wa miguu... uchore mabara yote. Chukua sinia, lichore mabara yote.

2. Kwa kuzingatia center ya mpira ambao tutasema ndio northpole, upasue mpira kitaalamu kwa lengo lakuufanya uonekane kama sinia.

3. chukua sinia, kwa kuzingatia katikati ya sinia ndio pawe juu jaribu kulilazimisha sinia hilo likupe shape ya mpira.

Kama utashindwa kufanya hivyo... basi kata kitambaa cheupe shape ya Duara la sinia.. kichore ramani ya dunia kama za FLAT EARTH pakiwa na barafu katika kingo.. halafu chukua kitambaa hiko kifunike katika mpira. je kuta za barafu ulizozichora hazitajikusanya katikati chini na kuonekana ni bara la Barafu?

Halafu utaniambia kama vipimo vyote vya dunia mviringo kama havitapitikana katika dunia duara. Jitahidi unielewe hapa maana Kuta za Barafu utakua umezifanya wewe mwenyewe kinadharia.

Iliuelewe ninacho maanisha ni hivi... Phisics inayopatikana katika Shape ya Tuffe ndio hiyohiyo inayopatikana katika Shape ya tambarare...
Na hiyo sisi tunaita Map projection. Sasa nikuulize swali, wewe huoni kuwa hiyo raman ya flat imetokana na umbo la Dunia tufe (map projection)? Na Lengo ni kuweza kuonesha mabara yote vzr? Au unamaanisha tufe ndio limetokana na flat?
 
Naomba unipe darasa kidogo la namna ndege inavyo adjust altitude ili kufuata curve. maana kwa uelewa wangu ndegge ikishapaa ikapata usawa wa saffari yake kama ni FT 20 atatembea nazo mpaka atakapotaka kushuka sasa hiyo curve inaifuata ndege au ndege inafanyaje ffanyaje ili iwe ina jiudjust kuifuata curve ili FT zake za kupaa zisiongezeke pale zirtakapoiacha hiyo curve?
Kwanza Sio kweli kuwa ndege ikishapaa usawa wa safari yake hutembea nazo mpk inafika.

Kwenye ndege Kuna kitu kinaitwa Altimeter na kazi yake ni kufanya adjustment ya altitude(yaani kutoka ndege ilipo mpka usawa wa bahari).

Na hii ndio maana niliuliza kama Dunia ingekuwa flat Kwann ndege Ifanye adjustment ya altitude?
 
ndege inafanyaje ffanyaje ili iwe ina jiudjust kuifuata curve ili FT zake za kupaa zisiongezeke pale zirtakapoiacha hiyo curve?
Kama nilivyokwambia hapo awali ndege Ina device inaitwa Altimeter, ambayo ina-act kama senser na inaisaidia ndege kuadjust altitude,

sasa hapa watu huuliza kwann hatuon ndege ikiwa imetanguliza kichwa chini Ili kufata curve? Ni swali la ajabu Kwa mtu mwenye concept ya aerodynamics,

Hata ww jiulize tu ndege ikiwa inatua uwanjan je huwa inatanguliza kichwa chini? Sasa kwann wanataka itangulize kichwa wakat wa kufata curve?

forces.gif



Lift- Upward
Drag- backwards
Weight- downward
Thrust- forward
 
Na hii ndio maana niliuliza kama Dunia ingekuwa flat Kwann ndege Ifanye adjustment ya altitude?
Narudia,....Ndege kuadjust altitude hakuhusiani kabisa na masuala ya curvature....... kuhusisha kitendo cha Ndege kuadjust altitude na Curvature ni uongo wa kiwango cha lami.

NB:- Hivi unaelewa maana ya kuadjust altitude? unaweza kuelezea kidogo maana yake halisi?
 
Ukiuweka kichwa ako sawa utaelewa, Dunia tufe ikiwa projected Ili kutumia kama map ndio inakuwa presented Kwa four sides au zaidi, lakin Dunia tufe Haina sides mfano mdogo tu wewe nambie mpira unasides ngapi? Au maana ya side hujui?

Dunia Haina sides kama unavyosema kama kwenye square lakini Dunia imekuwa geographically dived kwenye two hemisphere southern hemisphere and the northern hemisphere.
Dunia kiuhalisia ina sides achana na mambo ya nadharia za Tufe...

Hivi wewe binafsi ukiangalia Dunia bila akili za kushikiwa utasema haina sides?? Nadhani jibu ni hapana.
 
Sasa Einstein alisema gravity ni nn?
Alisema gravity sio force as described by Isaac Newton, but rather a curvature of space and time caused by mass and energy.,...kisha akaelezea nadharia zake za relativity.

Sasa Inashangaza mwanzoni ulikua unapambana Kwa nguvu zote kuonyesha gravity ni force.,...so nadhani baada ya kujua ukweli kuhusu gravity sitarajii tena kuona unadanganya watu humu Kwa kuwaaminisha kwamba gravity ni force.... nadhani tumeelewana anthony_art
 
Back
Top Bottom