Elimu ipo itafute kabla ya kuipinga... Then ukirudi baada ya kuipata njoo useme hawa wanasema kwa utafiti wao wa kisayansi mchana na usiku unapatikana hivi na sisi yunasema hivi... hapo nitaamini unaweza kujoji na ukajibiwa kihoja.. hapa umejiandaa kupinga hautaweza kujifunza chochote..Kama unahisi hatujasoma, basi tuelezee vzr Kwa kujibu hoja hizo(debunk) sio unazunguka sana sasa nani atakuamini au kukuelewa
AiseeeeKatika mengi uliyonijibu niishie kukibali hatukubaliani.. na katika hili nikuache na swali..
Elimu uliyonayo juu ya umbo la dunia, ilianza kuipata kwa kuhoji au bila hiyari yako ulijikuta unafundishwa kilazoma?
Vopi kwa hii ya flatealth unalazimisha nikifundishe kwa kinohoji?
Picha mbona ina maelezo mkuu,...inasema hivi "No Curvature means no Tufe"Hizo picha hapo umeweka ku prove nini mkuu?
OkPicha mbona ina maelezo mkuu,...inasema hivi "No Curvature means no Tufe"
Hicho ndiyo inacho prove,.. naamini nimejibu swali lako.
Umeuliza ina prove nini?Ok
Kwahiyo hii ndio proof dunia sio tufe
Hongera mkuu wewe ni genius 😂
ukiona picha kama hii unaona kama vile NASA wako busy kulinda uongo wao mkuuUmeuliza ina prove nini?
Hujasema unataka prove.....au huoni kama hizo statements ni tofauti?
Inashangaza.
Kuhusu umbo la Dunia na whether inazunguka or not,...Mimi natumia akili yangu Tu,ukiona picha kama hii unaona kama vile NASA wako busy kulinda uongo wao mkuu
Hapa sasa nimekuelewa mkuuKuhusu umbo la Dunia na whether inazunguka or not,...Mimi natumia akili yangu Tu,
So sizingatii sana kama NASA wanadanganya/not.
Sahihi,..akili ndiyo inatufanya tujue kipi ni fact na kipi si sahihi.......Hapa sasa nimekuelewa mkuu
Kwasababu FACT na akili yako vinaweza kuwa vitu viwili tofauti
Ingekuwa flat ungeona to infinity, hauoni to infinity kwa sababu haipo flat kuna mfano ulipewa wa taa za zanzibar ukiwa kwenye pwani ya dar. Hazionekani ukiwa kwenye pwani ya bahari ila zinaonekana ukiwa juu ya jengo refu.Kama Dunia ni Tufe linalozunguka 👉🏼 🌍 kwanini large water bodies kama vile bahari na maziwa yana appear flat and level,......?
Kinachoshikilia maji yasimwagike ndo hicho hicho kinachoshikilia vitu vyote visimwagike.Na hiyo haitoshi,.....ni kipi kinachoshikilia maji yasimwagike away from Dunia Tufe ikiwa Dunia yenye umbo la namna hiyo inazunguka Kwa Kasi mno.
Je, kuna uthibitisho wowote unaoonyesha namna maji yanavyoshikiliwa kwenye dunia Tufe linalozunguka,... apart from nadharia?
Hujajibu swali mkuu,.... nimeuliza 👉🏼kwanini large water bodies kama vile bahari na maziwa always yana appear flat and level,......?Ingekuwa flat ungeona to infinity, hauoni to infinity kwa sababu haipo flat kuna mfano ulipewa wa taa za zanzibar ukiwa kwenye pwani ya dar. Hazionekani ukiwa kwenye pwani ya bahari ila zinaonekana ukiwa juu ya jengo refu.
Kwa maana hiyo unasema,...Dunia inazunguka Kwa Kasi lakini maji hayamwagiki, si ndiyo?Kinachoshikilia maji yasimwagike ndo hicho hicho kinachoshikilia vitu vyote visimwagike.
Yangekuwa yanaappear flat ungeona mpaka mwisho wa dunia kama vile unavyoweza kuona nyota na vitu vilivyopo kwenye anga la mbaliHujajibu swali mkuu,.... nimeuliza 👉🏼kwanini large water bodies kama vile bahari na maziwa always yana appear flat and level,......?
Fact ni fact tu ama uwe na akili au usiwenazoSahihi,..akili ndiyo inatufanya tujue kipi ni fact na kipi si sahihi.......
Mtu asiyetaka kutumia akili yake atajua vipi kuhusu fact?
Kwani mchanga wa kwenye desert unabehave tofauti???Kwa maana hiyo unasema,...Dunia inazunguka Kwa Kasi lakini maji hayamwagiki, si ndiyo?
Kama jibu ni ndiyo, Je una uthibitisho wa unachokisema?
Namaanisha ushawahi kufanya observation yoyote na ukaona Dunia inazunguka whilst maji yamestick kwenye dunia Tufe?
Fact na kujua kuhusu fact ni vitu viwili tofauti.....fact always ipo kama ilivyo ila kujua kuhusu fact ndiyo itakubidi utumie akili.Fact ni fact tu ama uwe na akili au usiwenazo
Kama akili zako zinakufanya uamini jua lina ukubwa kama mpira wa miguu kwasababu ndivyo unavyoliona hizo zitakua ni akili zako tu na sio FACT
So,.. unataka kusema hizo water bodies zina appear Kwa shape gani?, Je, hazipo level?Yangekuwa yanaappear flat ungeona mpaka mwisho wa dunia kama vile unavyoweza kuona nyota na vitu vilivyopo kwenye anga la mbali