Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Sasa unataka yamwagike yaende wapi? Shida watu mnahisi kitu kinaanguka anguka tu ! If there was no gravity tusongekuwa tunaongea hili swala la kuanguka! Sisi hatuanguki (ukiita kuanguka iyo ya literally, somehow unapunguza vitu ) but we are attracted by Earth's gravity, imagine uwe na very strong spherical magnetic ball chukuwa vmunga unga wa chuma usambaze kwenye hilo ball will it fall down? No simply because it is strongly attracted to the ball than does the Earth gravity. The same kwa water masses chukulia sasa dunia ndo iwe huo mpira then vuta picha wewe uko nje kabisa and you're observing them water kwenye uso wa dunia while being attracted strongly to the Earth unataka yaanguke maji yaanguke wapi sasa???
Ukija kwenye maji kuremain kwenye surface japo dunia inazunguka kwa spidi kubwa
I'll assume you have zero knowledge of relativity, imagine upo ndani ya gari linalotembea kwa constant speed alafu na wewe uko ndani huwa na wewe unaeliacha gari inatembea peke yako kwenye seat yako or you move along at 0 velocity relative to the car??? Unauliza kama mtoto wa darsa la pili
Earth ni inertia frame, it rotates at constant velocity and every thing on its surface moves along with Earth at exact the same speed thus relative motion kati ya Earth na vitu vilivuomo ndani ya earth ni zero thus they are stationary relative to the Earth surface
 
Kwanini isiingie akilini? Unless una assume light can bend around the Earth curvity 😂😂
 
How do you explain day and night? How do you explain seasons of the year??
Kwa sisi watu wa Hesabu kuna kitu tunaita periodicity. Let say una periodic function f->x ambayo iko na period of T, after T elapsed the function will repeat itself.
Tuanze, mimi nasema dunia inazunguka juwa kwenye eliptical orbit l at a period of 365 days, its motion is periodic as you can expect kitu kinachomove kwenye eliptical path obvious after some time kitarudi tena pale pale ukiobserve kila mwaka kuna kujirudia kwa hivi vipindi kipepuwe, vuli, kiangazi na masika don't you think some how the Earth is in some sort of a periodic motion around something???? Umepewa kichwa fikiria
 
Usipate shida kuelezea sana,..Unachotakiwa ni kuthibitisha pasina shaka kwamba Dunia ni tufe linalozunguka,...

Kama huwezi kuthibitisha bali unatumia nadharia tu,.utakua huna tofauti na wenzako waliopita,..


NB:- Kuna uwezekano hujaelewa nini ulichobisha kwenye maelezo yako hapo,...Ni hivi jiwe ukilirusha juu kinacho determine jiwe litaenda umbali gani ni nguvu iliyotumika kurusha jiwe hilo,..sasa sijui unapata nguvu gani ya kubisha simple logic kama hiyo....Inashangaza.
 
Ningeuliza uthibitisho gani unaouhitaji? Probably wewe unahuo uthibitisho unaoonesha kwamba Earth ni flat, kama hauna hoja yako haitakuwa na msingi thereby following should be theories and Mathematical analysis & models to determine which of the two make more sense.

Tukirudi kwenye maelezo yako, Kwa sasa umeenda kinyume na ulichoelekeza ntahighlight maneno yako

" ukirusha Jiwe angani(means kuna force umetumia kurusha jiwe husika) air resistance itaslow down force iliyotumika kurusha hilo jiwe mpaka force husika ifike zero,.Then Jiwe linarudi chini kwa kuwa the applied force no longer exists" kuna some changes naona hpa but still Hii nayo ni uongo,
 
Yap, tunaweza kuthibitisha flatness ya Dunia Kwa kutumia milango ya fahamu specifically MACHO,..sasa wewe tuambie apart from pictures & videos have you ever observed a ball-shaped earth with your own eyes?

Unaposhindwa kukubaliana na uhalisia wa kile unachokiona ndiyo unaamua kuamini nadharia sasa......kwa mfano nikuulize unasema Dunia inazunguka,. una ushahidi wowote? kwanini hutaki kukubali kwamba Dunia imetulia kama milango yako ya fahamu inavyokuambia??

Uongo upo wapi hapo? Narudia, force iliyotumika kurusha jiwe ndiyo ita determine jiwe litaenda mbali kiasi gani,......swali rahisi, watu wawili wakirusha jiwe kwa wakati mmoja possibly kuna jiwe ambalo litaenda mbali zaidi...JE, ni kitu gani kinasababisha utofauti wa umbali unaofikiwa na objects hizo mbili zilizorushwa?

na kitu gani kitapelekea tofauti ya objects hizo kuwahi kurudi chini?
 
Dogo ! So you claim macho yanakuonesha dunia ni duara? Bro tuanze kwanza hapo how do you think human see?
What we actually see is a reflection of light from the object kwenye Engineering na Mathematics hii inaitwa projection (For your time go and read)
Imagine usimame kwenye ghorofa lenye uso mpana na flat kwa juu ukiangalia chini macho yako yatakwambia kam ni rectangular block??? The only thing utaona kwa macho yako ni two dimensional surface do you think it is enough to conclude kwamba umesimama juu ya 2 dimensional surface na hakuna kitu kinaendelea kwa chini wala ujazo,
Hata chungwa ambalo unajuwa kabisa ni la sphere lichukuwe liweke mbaaali as long you can see unadhani utaona sphere lote ama duara? hapa hatuwezi tena kubaki na nadharia yako ya kusema dunia ni flat kwasababu macho yanakuonesha ni flat! I strongly deny that point maybe kama unanyingine otherwise tuendelee na theories!

Mkuu maneno yako yalisomeka kwamba force itaendelea kuexist kwenye jiwe mpka pale air resistance itaipunguza hadi kufika 0, usibadilishe maneno na huo ndio uongo niliomention force itacease kuexist that moment jiwe limeruka the only thing italisukuma jiwe ni energy impacted on the stone due to that force
 
In 1915,.Einstein argued that gravity isn’t a force at all!
Einstein hakuconsider gravity kama force but alienda deep zaid akaconsider gravity as the curvature of space-time hii inathibitisha zaidi kama gravity ipo na inavuta vitu but the interaction is not as an invisible Force kama ilivyokuwa kwenye classical mechanics.
Chukulia unandoo kisha ifunike kitambaa then weka jiwe kitafanyaje?? Halafu chukuwa kajiwe kingine kadogo weka pembeni yake katafanyaje? Katavutwa kuelekea kwa jiwe kubwa. Einstein alitoa interpretation zaidi kuhusiana na gravity not merely considering it as an invisible force which attracts things together
But all interpretation za newtonian mechanics na general theory of relativity still zinakubali kuwa gravity pulls things with masses together na gravity ipo sasa wewe unataka kukataa haipo kwa kigezo gani?
Gravity ipo na inaattract things with masses together, wether uikonsider kama Force or curvature of space-time still inaattract vitu vyenye mass kwa pamoja na chenye mass kubwa ndo kinatoa attraction kubwa zaidi
 
Umeandika maelezo mengi ila hujajibu maswali ya msingi,...nimekuuliza hivi:-
1. Ni mlango gani wa fahamu, au chombo gani umetumia ukajithibitishia pasina shaka kwamba Dunia ni tufe?

2. Kwa kuwa milango ya fahamu inatuonyesha Dunia Imetulia (stationary),...Tuambie ni mechanism gani umetumia ukajithibitishia pasina shaka kwamba Dunia Ina move?


NB:- Ili mjadala uwe na tija inabidi tuzivunje vunje hoja kwa maswali fikirishi,... ambayo yatatusaidia kutupa majibu ya yale yanayotatiza.
 
No nadhani hujanipata,..nilichomaanisha ni kwamba effects ya force iliyotumika kurusha jiwe itaendelea kuwepo na ndiyo Ina determine how far jiwe litaenda...so nikasema air resistance Ina act against the force iliyotumika kurusha jiwe ambapo effect ya force husika itapunguzwa up to zero........sasa uongo upo wapi hapo?
 
Wewe tukio gani ukiliona unasema hili limetokana na gravity...

Unazungumziaje density,...?
Je, huoni hicho unachoita gravity actually ni density tu inafanya kazi muda wote?
 
Haya , padr.. kalamba asali
 

Attachments

  • IMG-20241105-WA0044.jpg
    118.9 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…