Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Yani unakubali kitu kina uzito halafu unasema gravity hamna? Nini maana ya uzito kwani, halaf mtu akipanic unaona unaonewa. Katafute kwanza maana ya uzito halafu uje!
Kuhusu upthrust
Wewe ushawahi kuinua mtu akiwa ndani ya maji? Unahisi kwanini anakuwa mwepesi????
Wewe maana ya uzito umefundishwa ukakariri ndiyo hivyo hivyo,... unaamini maana ya uzito uliyofundishwa ni universal kwamba kila mtu duniani lazima akubaliane nayo,...kitu ambacho hakiingii akilini.

ili utoke kwenye box la kukariri inabidi uruhusu akili yako kufikiria on its own,....bila hivyo utakuwa kama robot ambae yupo well programmed.


,...........Nitakurudia
 
Wewe maana ya uzito umefundishwa ukakariri ndiyo hivyo hivyo,... unaamini maana ya uzito uliyofundishwa ni universal kwamba kila mtu duniani lazima akubaliane nayo,...kitu ambacho hakiingii akilini.

ili utoke kwenye box la kukariri inabidi uruhusu akili yako kufikiria on its own,....bila hivyo utakuwa kama robot ambae yupo well programmed.


,...........Nitakurudia
Nimekuuliza kitu kirahisi unasema yakukariri blah! blah! blah! Hivi ukisema hivi kwanza unamaanisha nn? Does this mean the whole education ni fraud? Math ni uongo, kiswahili ni uongo, English ni uongo ama physics peke yake ndo uongo?? 😂 😂

Kwa staili hii hata maputo tutaimport kutoka china, watu wanatwngeneza ndege, computer, magari na vitu kede kede halafu wewe unasema ni uongo?? Ironic is that, hata hiyo flat earth siye wewe uliyekuja nayo kuna mpuuzi mzungu uko amekukaririsha ukaichukuwa kama ilivyo

Au wewe ndo wale watu wa wazungu hawakufundishi vyote hawataki watu weusi wajue 😂, meanwhile wazungu wameacha linux kernel, android, gcc, Risc-V, open-jdk, na matools mengine kibao bure mtu yoyote anayetaka achukuwe afanye chochote anachotaka, samebooks unazikuta mtandaoni na resources nyingine kibao haiko limited kwa Africans wala nani.
Africans tuko na primitive mindset na ile victim mentality na ndo inatufanya tusiendelee. Kama wewe na wasiofikiria wote wanaosema Earth ni flat
 
Kwa kuongeza hapo, manake hujaelewa.
Upthrust ipo kwenye fluids tu (liquids/gases)
Wewe unahisi kitu kinaweza chenyewe tu kikaenda juu bila kusukumwa kwenda juu? 😂
Unajichanganya mwenyewe kisha unalaumu Hahh,.............Kwani uliposema upthrust ndiyo force inayovuta vitu kwenda juu ulikua hujui maana ya unachokisema??

Ukishasema kitu fulani kinavuta vitu kwenda juu,...maana yake hicho kitu on its own ndiyo kinafanya kazi husika,....sasa tuambie una uhakika upthrust ndiyo inavuta vitu kwenda juu kama ulivyosema mwanzo?.............

NB: Kukariri kunadumaza akili.
 
Nimekuuliza kitu kirahisi unasema yakukariri blah! blah! blah! Hivi ukisema hivi kwanza unamaanisha nn? Does this mean the whole education ni fraud? Math ni uongo, kiswahili ni uongo, English ni uongo ama physics peke yake ndo uongo?? 😂 😂

Kwa staili hii hata maputo tutaimport kutoka china, watu wanatwngeneza ndege, computer, magari na vitu kede kede halafu wewe unasema ni uongo?? Ironic is that, hata hiyo flat earth siye wewe uliyekuja nayo kuna mpuuzi mzungu uko amekukaririsha ukaichukuwa kama ilivyo

Au wewe ndo wale watu wa wazungu hawakufundishi vyote hawataki watu weusi wajue 😂, meanwhile wazungu wameacha linux kernel, android, gcc, Risc-V, open-jdk, na matools mengine kibao bure mtu yoyote anayetaka achukuwe afanye chochote anachotaka, samebooks unazikuta mtandaoni na resources nyingine kibao haiko limited kwa Africans wala nani.
Africans tuko na primitive mindset na ile victim mentality na ndo inatufanya tusiendelee. Kama wewe na wasiofikiria wote wanaosema Earth ni flat
Sijasema the whole education ni fraud,..bali inabidi uache room ya kufikiria kwa akili yako pia sio utakachoambiwa ndiyo hicho hicho hutaki ku reason hata kidogo,...

Kuna post yako humu unawashangaa wanaoamini Evolution Theory,...sasa kama wewe huamini kwenye kufikiria on your own regarless of what you have been taught ni kipi kinakufanya ushangae wanaoikataa hiyo Evolution theory wakati na wao wameamua kuamini tu hiyo nadharia kama wewe ulivyoamua kuamini nadharia za dunia tufe inayozunguka............

Vitu vingine ulivyoandika ni maoni yako tu sidhani kama vinaendana na mjadala...mtu mwerevu atajifunza na kuchota elimu toka kwa yoyote haijalishi ni race gani either Asian, Muafrika, Mzungu na kadhalika....wewe unasema Africans tuna primitive mindset umeamua kuhusisha Waafrika wote humo kitu ambacho sio sawa...kiuhalisia ni kwamba races zote zina mchanganyiko wa elites na primitive minded people(s),..kwa bahati mbaya wewe unaamini Waafrika pekee ndiyo primitive, naamini utakua umefundishwa tu kwamba Waafrika ni primitive kisha ukaibeba kama ilivyo.
 
Hata wewe pia uthibitisho ulionao ni wa kinadharia sababu hujawahi kutoka nje ya dunia, toa nadharia zako nioneshe Model ya dunia-jua-mwezi na jinsi zinavyokuwa kwa iyo flat earth analogy yako. Unless unapicha zinazoonesha dunia ni flat ndo tutaacha kutumia nadharia

Toa uo upuuzi wa milango ya fahamu, huwezi kuthibitisha kwa milango yako kama dunia ni duara ama tufe
Uthibitisho nilio nao mimi ni wa kitafiti sio nadharia tu,.........miongoni mwa aina za tafiti kuna moja inaitwa "OBSERVATIONAL RESEARCH"..............Hivyo basi kupitia observation tunaona wazi kwamba Dunia imetulia lakini pia ipo flattened,..............


NB: Sidhani kama kuna upuuzi mkubwa kama upuuzi wa kuita milango ya fahamu upuuzi..........Mtu anae ignore role ya milango ya fahamu kwenye utambuzi wa uhalisia wa mambo ni sawa na kipofu, kiziwi na kwa ujumla kabisa A SENSELESS PERSON!
 
images-1.jpg

images.jpg

premium_photo-1673473619599-eb254349d809.jpg
premium_photo-1673473619599-eb254349d809.jpg
 
Sikuwai kufikilia Ila kadri ninavyo zidi kufuatilia ndivyo ninavyo zidi kufunguka kuhusu ukweli juu ya flat Earth

Kuna Siri kubwa ambayo inawafanya wazungu au mataifa yaliyo endelea kulifanya hili liendelee kuwa Siri japo tayali Sasa limeanza kuto kuwa Siri Tena

Kuna maisha mengine/ulimwengu mwingine nyuma ya kuta za barafu za antactica

huko Kuna viumbe wanao fananania na sisi lakini wao Wana nguvu na uwezo usio wa kawaida

Ukiambiwa kuhusu Mars Basi jua ninyuma ya kuta za antactica

Ukiambiwa kuhusu aliens👽 Hawa niviumbe wanao ishi huko na dunia Ni Kama maabara yao ya kufanyia majaribio yao

All technologies wanazo jivunia USA zinatoka huko

Nguvu za Roma kujitawala dunia zinatokea huko

Na siku dunia nzima ikili jua Hilo watu watagundua kwamba

Kwanza hakuna sehemu inaitwa mbinguni Kama walivyo aminishwa kabla

Pili watakuja kugundua kwamba viongozi wengi wakuu wa dunia si binadamu wa kawaida Bali Ni aliens

Huwezi kuamini kuhusu flat Earth Kama vile ambavyo huwezi kuamini kwamba Papa/ sio papa/binadamu wa kawaida

Wakati mwingine hatupaswi kuzibishia Sana akili zetu pale zinapo kuwa zinakuwa na sababu za kulikataa Jambo flani

Bali tunacho paswa kufanya nikuzipa nafasi akili zetu zitu thibitishie juu yakile zinacho pingana nacho

Sumaku huvuta chuma lakini sio maji Wala udongo

Sasa nikipi kinacho zuia maji yasi mwagike Kama dunia Ni duara?
 
Unajichanganya mwenyewe kisha unalaumu Hahh,.............Kwani uliposema upthrust ndiyo force inayovuta vitu kwenda juu ulikua hujui maana ya unachokisema??

Ukishasema kitu fulani kinavuta vitu kwenda juu,...maana yake hicho kitu on its own ndiyo kinafanya kazi husika,....sasa tuambie una uhakika upthrust ndiyo inavuta vitu kwenda juu kama ulivyosema mwanzo?.............

NB: Kukariri kunadumaza akili.
Nani amejichanganya? Ama hujaelewa kilichoongelewa hapo??
Upthrust ndiyo force inayosukuma kitu kwenda juu kinapokuwa kwenye fluid yoyote including hewa, sasa wewe kwa akili yako ndgo iliyoshindwa kuelewa vitu inadhani kitu kinaweza kwenda chenyewe juu bila kusukumwa??? Simple logic tu chukuwa kitu chochote kiweke hapo alafu uone kama hakijasukumwa kitaenda kokote.
Wewe ulinasia nasia physics juu juu huelewi ulimwengu unawork vipi unakuja kupinga vitu, nimekuongezea hapo kukwambia upthrust ipo kwenye fluid usije kudhani hata ukiwa kwenye outer space hakuna hewa ukadhani kutakuwa na upthrust tena.
Ukiona kitu kinaelea basi ujuwe kabisa upthrust ni kubwa kuliko uzito wake,
Wewe nikikuuliza density inasababisha vipi kitu kielee unajibu vipi? Hapo ndo utajuwa watu mliokalili alafu mkikaa na watu kijiweni mnawapotosha
Umeng'ang'ania density inafanya kitu kielee naomba uniambie density inafanya vipi kitu kielee, kwanini density ikiwa ndogo kuliko ya fluid uliyozamisha kitu basi iko kitu kitaelea
 
Sijasema the whole education ni fraud,..bali inabidi uache room ya kufikiria kwa akili yako pia sio utakachoambiwa ndiyo hicho hicho hutaki ku reason hata kidogo,...

Kuna post yako humu unawashangaa wanaoamini Evolution Theory,...sasa kama wewe huamini kwenye kufikiria on your own regarless of what you have been taught ni kipi kinakufanya ushangae wanaoikataa hiyo Evolution theory wakati na wao wameamua kuamini tu hiyo nadharia kama wewe ulivyoamua kuamini nadharia za dunia tufe inayozunguka............

Vitu vingine ulivyoandika ni maoni yako tu sidhani kama vinaendana na mjadala...mtu mwerevu atajifunza na kuchota elimu toka kwa yoyote haijalishi ni race gani either Asian, Muafrika, Mzungu na kadhalika....wewe unasema Africans tuna primitive mindset umeamua kuhusisha Waafrika wote humo kitu ambacho sio sawa...kiuhalisia ni kwamba races zote zina mchanganyiko wa elites na primitive minded people(s),..kwa bahati mbaya wewe unaamini Waafrika pekee ndiyo primitive, naamini utakua umefundishwa tu kwamba Waafrika ni primitive kisha ukaibeba kama ilivyo.
Toa hizo blah za Africams na mindset zao turudi kwenye topic inayozungumzwa.
Unaelewa nini maana ya theory?? Unabishana na hujuwi nini tofauti ya theory, laws na principle kwenye science ndo mana unabaki kudonoa donoa unapelekeshwa na watu.
By the way, Mimi napinga theory yoyote ambayo haiko na Empirical evidence and doesn't Mathematically make sense, we can Mathematically prove kama Earth ni sphere na inarevolve wewe na wenzako wanaoamini Evolution theory mnaweza kuprove?
Hiyo ndyo maana ya theory, unaweza kudiscard theory kama utakuwa na proof sio laws na principles huwezi kuzipinga
 
Uthibitisho nilio nao mimi ni wa kitafiti sio nadharia tu,.........miongoni mwa aina za tafiti kuna moja inaitwa "OBSERVATIONAL RESEARCH"..............Hivyo basi kupitia observation tunaona wazi kwamba Dunia imetulia lakini pia ipo flattened,..............


NB: Sidhani kama kuna upuuzi mkubwa kama upuuzi wa kuita milango ya fahamu upuuzi..........Mtu anae ignore role ya milango ya fahamu kwenye utambuzi wa uhalisia wa mambo ni sawa na kipofu, kiziwi na kwa ujumla kabisa A SENSELESS PERSON!
Wewe ndo umepitia hiyo tafiti elezea aliconclude vipi kama Earth ni flat!

Ndo mana nasema flat earthers wote mmekaririshwa na bila kufikiria mkachukuwa mawazo ya watu fulani kama yalivyo. Tusave muda Kunjuwa iyo research hapa toa hints zake na ueleze how did they conclude kama Earth ni flat.
Sielewi unachobishana kuhusu theory meanwhile unaleta thesis za mtu hapa eti ndo ushahidi. Wewe ni mtu wa kunasua nasua vitu.
Tukija kwenye milango ya fahamu, sio kila kitu unaweza kuverify kwa milango ya fahamu kama ni hivyo tusingekuwa na vifaa vya kupimia. Watu wasiofikiria huwa wanahisi tu kama wewe.
So sad nabishana na mtu anasema eti milango yake ya fahamu imemuonesha dunia ni flat na yeye kahakiki hilo
 
Sijasema the whole education ni fraud,..bali inabidi uache room ya kufikiria kwa akili yako pia sio utakachoambiwa ndiyo hicho hicho hutaki ku reason hata kidogo,...

Kuna post yako humu unawashangaa wanaoamini Evolution Theory,...sasa kama wewe huamini kwenye kufikiria on your own regarless of what you have been taught ni kipi kinakufanya ushangae wanaoikataa hiyo Evolution theory wakati na wao wameamua kuamini tu hiyo nadharia kama wewe ulivyoamua kuamini nadharia za dunia tufe inayozunguka............

Vitu vingine ulivyoandika ni maoni yako tu sidhani kama vinaendana na mjadala...mtu mwerevu atajifunza na kuchota elimu toka kwa yoyote haijalishi ni race gani either Asian, Muafrika, Mzungu na kadhalika....wewe unasema Africans tuna primitive mindset umeamua kuhusisha Waafrika wote humo kitu ambacho sio sawa...kiuhalisia ni kwamba races zote zina mchanganyiko wa elites na primitive minded people(s),..kwa bahati mbaya wewe unaamini Waafrika pekee ndiyo primitive, naamini utakua umefundishwa tu kwamba Waafrika ni primitive kisha ukaibeba kama ilivyo.
Sasa kama sio education yote ni ya kukalili kwanini physics peke yake ndo iwe ya kukalili??
Umekuja unasema mtu ana uzito mara unapinga gravity haipo, saivi unasema unadefinition yako mwenyewe ya uzito Mkuu unatuchanganya, huenda hata umeme pia utakuwa na maana yako mwenyewe au umetengeneza hata ndege inayowork na hizo definitions zako mwenyewe???


Naomba uniambie nini maana ya uzito kwa hayo maelezo yako uliyoyatoa, pia bila kupoteza muda ueleze hiyo research iliyotoa uoneshwe alipokosea uache kusoma makaratsi makaratasi
 
Hizo picha ndo zinaonesha nn, dunia ni flat ama 😂😂😂😂
Ukianza na hiyo ramani apo, hiyo kwenye Engineering tunaita top-view sasa wewe unataka uone sphere? 😂
Ukija iyo ya pili nielezee mechanism inayofanya upande mmoja uwe giza mwingine uwe na mwanga
Iyo ya tatu, sasa unahisi kwa umbali wa hiyo picha utaona sphere lote ambalo lina kipenyo cha zaidi ya kilometa elfu kumi na tatu? Mbona unachekesha, sisimizi umchukuwe umsogeze kaumbali kadogo kutoka kwenye ndimu unategemea ataweza kuona ndimu yote mpaka chini huku???
Narudia tena, huwa si argue na watu wenye hoja kama zako except kama ni flat eather
 
Sikuwai kufikilia Ila kadri ninavyo zidi kufuatilia ndivyo ninavyo zidi kufunguka kuhusu ukweli juu ya flat Earth

Kuna Siri kubwa ambayo inawafanya wazungu au mataifa yaliyo endelea kulifanya hili liendelee kuwa Siri japo tayali Sasa limeanza kuto kuwa Siri Tena

Kuna maisha mengine/ulimwengu mwingine nyuma ya kuta za barafu za antactica

huko Kuna viumbe wanao fananania na sisi lakini wao Wana nguvu na uwezo usio wa kawaida

Ukiambiwa kuhusu Mars Basi jua ninyuma ya kuta za antactica

Ukiambiwa kuhusu aliens👽 Hawa niviumbe wanao ishi huko na dunia Ni Kama maabara yao ya kufanyia majaribio yao

All technologies wanazo jivunia USA zinatoka huko

Nguvu za Roma kujitawala dunia zinatokea huko

Na siku dunia nzima ikili jua Hilo watu watagundua kwamba

Kwanza hakuna sehemu inaitwa mbinguni Kama walivyo aminishwa kabla

Pili watakuja kugundua kwamba viongozi wengi wakuu wa dunia si binadamu wa kawaida Bali Ni aliens

Huwezi kuamini kuhusu flat Earth Kama vile ambavyo huwezi kuamini kwamba Papa/ sio papa/binadamu wa kawaida

Wakati mwingine hatupaswi kuzibishia Sana akili zetu pale zinapo kuwa zinakuwa na sababu za kulikataa Jambo flani

Bali tunacho paswa kufanya nikuzipa nafasi akili zetu zitu thibitishie juu yakile zinacho pingana nacho

Sumaku huvuta chuma lakini sio maji Wala udongo

Sasa nikipi kinacho zuia maji yasi mwagike Kama dunia Ni duara?
Kwaiyo flat earthers wote mnakubaliana na haya mawazo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Siwezi ku-argue na mtu mwenye mawazo kama haya, I swear to you mdogo angu wa mwisho yuko darasa la tano saivi ila naimani amekupita consciousness, hawazi ujinga ujinga kama huu
Kwasasa ntaendelea na hateeb10
 
Uthibitisho nilio nao mimi ni wa kitafiti sio nadharia tu,.........miongoni mwa aina za tafiti kuna moja inaitwa "OBSERVATIONAL RESEARCH"..............Hivyo basi kupitia observation tunaona wazi kwamba Dunia imetulia lakini pia ipo flattened,..............


NB: Sidhani kama kuna upuuzi mkubwa kama upuuzi wa kuita milango ya fahamu upuuzi..........Mtu anae ignore role ya milango ya fahamu kwenye utambuzi wa uhalisia wa mambo ni sawa na kipofu, kiziwi na kwa ujumla kabisa A SENSELESS PERSON!
Kila nikiisoma tena hii comment yako naona nabishana na mtu wa aina gani!
"Uthibitisho nilio nao ni wa kitafiti sio nadharia"
1. Wewe unadhani nadharia huwa ni mtu anakurupuka tu kisha anaitoa?
2. Umeamini utafiti wa uyo ofsa halafu huamini utafiti wa NASA 😂😂😂
Anyway, nakusubiri unielezee huo utafiti ulifanywaje, na akaconclude vipi kama dunia ni flat, natumaini hakuna nadharia kwenye huo utafiti otherwise haitoeleweka unabishana kwasababu gani.
 
Nani amejichanganya? Ama hujaelewa kilichoongelewa hapo??
Upthrust ndiyo force inayosukuma kitu kwenda juu kinapokuwa kwenye fluid yoyote including hewa, sasa wewe kwa akili yako ndgo iliyoshindwa kuelewa vitu inadhani kitu kinaweza kwenda chenyewe juu bila kusukumwa??? Simple logic tu chukuwa kitu chochote kiweke hapo alafu uone kama hakijasukumwa kitaenda kokote.
Wewe ulinasia nasia physics juu juu huelewi ulimwengu unawork vipi unakuja kupinga vitu, nimekuongezea hapo kukwambia upthrust ipo kwenye fluid usije kudhani hata ukiwa kwenye outer space hakuna hewa ukadhani kutakuwa na upthrust tena.
Ukiona kitu kinaelea basi ujuwe kabisa upthrust ni kubwa kuliko uzito wake,
Wewe nikikuuliza density inasababisha vipi kitu kielee unajibu vipi? Hapo ndo utajuwa watu mliokalili alafu mkikaa na watu kijiweni mnawapotosha
Umeng'ang'ania density inafanya kitu kielee naomba uniambie density inafanya vipi kitu kielee, kwanini density ikiwa ndogo kuliko ya fluid uliyozamisha kitu basi iko kitu kitaelea
Actually hiyo unayoita upthrust inaweza kutokea hata kwa object ambayo ni non-fluid kwa mfano chukua object ambayo imetengenezwa kwa elastic material let's say ngoma(drum) imetengenezwa kwa material ngumu ambayo inavutika,..kisha chukua jiwe lenye uzito wa wastani kisha liweke kwa kukandamiza juu katikati ya ile ngoma kama unazamisha hivi,..then achia ,.in seconds utaona jiwe likisukumwa kwa nguvu huenda hata likasukumwa juu mbali............Sasa mfano huo ndiyo utumie kujua kwamba hiyo unayoita upthrust kiuhalisia ni resistance tu ya object moja against object nyingine kwenye ku occupy space,..and that's why ukiweka kitu kwenye maji kitasukumwa juu na maji na sio kwamba kuna force ya ajabu inayoitwa upthrust force ndiyo inasukuma vitu,...Hahh naamini umeelewa sasa twende hatua nyingine si ndiyo?

NB: Ukihitaji mifano zaidi ya hicho unachoita upthrust force nitakupatia,.ondoa shaka kabisa.
 
Sikuwai kufikilia Ila kadri ninavyo zidi kufuatilia ndivyo ninavyo zidi kufunguka kuhusu ukweli juu ya flat Earth

Kuna Siri kubwa ambayo inawafanya wazungu au mataifa yaliyo endelea kulifanya hili liendelee kuwa Siri japo tayali Sasa limeanza kuto kuwa Siri Tena

Kuna maisha mengine/ulimwengu mwingine nyuma ya kuta za barafu za antactica

huko Kuna viumbe wanao fananania na sisi lakini wao Wana nguvu na uwezo usio wa kawaida

Ukiambiwa kuhusu Mars Basi jua ninyuma ya kuta za antactica

Ukiambiwa kuhusu aliens👽 Hawa niviumbe wanao ishi huko na dunia Ni Kama maabara yao ya kufanyia majaribio yao

All technologies wanazo jivunia USA zinatoka huko

Nguvu za Roma kujitawala dunia zinatokea huko

Na siku dunia nzima ikili jua Hilo watu watagundua kwamba

Kwanza hakuna sehemu inaitwa mbinguni Kama walivyo aminishwa kabla

Pili watakuja kugundua kwamba viongozi wengi wakuu wa dunia si binadamu wa kawaida Bali Ni aliens

Huwezi kuamini kuhusu flat Earth Kama vile ambavyo huwezi kuamini kwamba Papa/ sio papa/binadamu wa kawaida

Wakati mwingine hatupaswi kuzibishia Sana akili zetu pale zinapo kuwa zinakuwa na sababu za kulikataa Jambo flani

Bali tunacho paswa kufanya nikuzipa nafasi akili zetu zitu thibitishie juu yakile zinacho pingana nacho

Sumaku huvuta chuma lakini sio maji Wala udongo

Sasa nikipi kinacho zuia maji yasi mwagike Kama dunia Ni duara?
Mnaamua tyy kutuchanganya sisi vilaza
 
Toa hizo blah za Africams na mindset zao turudi kwenye topic inayozungumzwa.
Unaelewa nini maana ya theory?? Unabishana na hujuwi nini tofauti ya theory, laws na principle kwenye science ndo mana unabaki kudonoa donoa unapelekeshwa na watu.
By the way, Mimi napinga theory yoyote ambayo haiko na Empirical evidence and doesn't Mathematically make sense, we can Mathematically prove kama Earth ni sphere na inarevolve wewe na wenzako wanaoamini Evolution theory mnaweza kuprove?
Hiyo ndyo maana ya theory, unaweza kudiscard theory kama utakuwa na proof sio laws na principles huwezi kuzipinga
Sasa wapi nimesema naamini Evolution theory?.......mimi kwa upande wangu Evolution theory, Theory of gravity na theory ya dunia tufe inayozunguka zote hizo naziweka kwenye kundi moja LA NADHARIA ZILIZOKOSA UTHIBITISHO........Yaani theory zote hizo zinaonekana kwenye makaratasi tu na sio kwenye uhalisia....Utatumia karatasi 1000 ku calculate na kuelezea kwamba dunia inazunguka lakini mpaka leo 2024 inaelekea kuisha hakuna ambae kwenye uhalisia ameweza kuthibitisha dunia inazunguka.

Huwezi kuthibitisha madai yako kwenye uhalisia,..instead utatumia mathematical expressions kibao kujidanganya kwamba dunia ni tufe linalozunguka....THIBITISHA KWENYE UHALISIA,.UKIWEZA NITAKUBALI HOJA ZAKO HATA SASA HIVI.
 
Ogopa unabishana na mtu yaani kaweka jezi tuu haoneshi sura yake .
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Yeye anachojua ni dunia kama sahani imekwisha hyooo 😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Wewe ndo umepitia hiyo tafiti elezea aliconclude vipi kama Earth ni flat!

Ndo mana nasema flat earthers wote mmekaririshwa na bila kufikiria mkachukuwa mawazo ya watu fulani kama yalivyo. Tusave muda Kunjuwa iyo research hapa toa hints zake na ueleze how did they conclude kama Earth ni flat.
Sielewi unachobishana kuhusu theory meanwhile unaleta thesis za mtu hapa eti ndo ushahidi. Wewe ni mtu wa kunasua nasua vitu.
Tukija kwenye milango ya fahamu, sio kila kitu unaweza kuverify kwa milango ya fahamu kama ni hivyo tusingekuwa na vifaa vya kupimia. Watu wasiofikiria huwa wanahisi tu kama wewe.
So sad nabishana na mtu anasema eti milango yake ya fahamu imemuonesha dunia ni flat na yeye kahakiki hilo
Tafiti nimefanya mimi mwenyewe,...nadhani hujaelewa niliposema kwamba miongoni mwa aina za research kuna hii inayoitwa "OBSERVATIONAL RESEARCH" ambayo hata wewe unaweza ukaifanya.........

Flat earth inakaririshwaje sasa? ukweli kwamba dunia ipo flat na haizunguki ni kitu ambacho una observe kila siku,...sasa hapo kuna haja kweli ya mtu kuja na kukufundisha ukariri kwamba dunia ni flat na haizunguki??

Hivi kilichokufanya ufikirie kwamba nimeleta thesis ya mtu ni nini?..........kuwa makini,read between the line brother.

Hata hivyo vifaa vya kupimia vinategemea milango ya fahamu ili viwepo, kutumika na kutafsiriwa matokeo yake,..na kwa kuongezea hivyo vifaa bado havijathibitisha kwamba dunia ni tufe linalozunguka..........

NB; Wewe huo uthibitisho kwamba dunia ni tufe linalozunguka umeupata kwa kutumia kifaa gani?
 
Sasa kama sio education yote ni ya kukalili kwanini physics peke yake ndo iwe ya kukalili??
Umekuja unasema mtu ana uzito mara unapinga gravity haipo, saivi unasema unadefinition yako mwenyewe ya uzito Mkuu unatuchanganya, huenda hata umeme pia utakuwa na maana yako mwenyewe au umetengeneza hata ndege inayowork na hizo definitions zako mwenyewe???


Naomba uniambie nini maana ya uzito kwa hayo maelezo yako uliyoyatoa, pia bila kupoteza muda ueleze hiyo research iliyotoa uoneshwe alipokosea uache kusoma makaratsi makaratasi
Kuna sehemu nimesema Physics peke yake ndiyo ya kukariri?......concern yangu ni kwamba unatakiwa ku reason kila kitu..........sio kwamba utakachofundishwa ndiyo unabeba kama kilivyo..........ubongo uliopewa utakua wa kazi gani sasa kama unaacha wengine wafikirie 100% on your behalf...?

NB: Mimi naunga mkono juhudi na mapinduzi mbalimbali ya kimaarifa na vumbuzi za kisayansi ambazo zimeleta matokeo chanya duniani,..lakini kwa critical thinker huwezi kufunga mlango wa kufikiria against what you have been taught kwasababu hata ukisoma historia, critical thinkers walikuepo miaka na miaka na ndiyo sababu nadharia mbalimbali zimekua zikifa na kuibuka nyingine kutokana na uwepo wa critical thinkers those who argued against the mainstream idea and theories............
 
Back
Top Bottom