Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
1. Hakuna mlango wa fahamu unaoweza kuthibitisha dunia ni tufe ama flat wakati ukiwa umekaa hapa duniani, unless uiobserve dunia from a far not much further as it will only appear circular kama umbali ukiwa mkubwa sana. Umeomba kuthibitishiwa kama dunia ni tufe bila kutumia theories kuelezea meanwhile wewe pia huwezi kuthibitisha kama ni flat kwa kupitia milango yako ya fahamu (Toa hio upuuzi wa macho yako yanakwambia ni flat, utarejea mfano wangu kwa comment #4615)
2. Siku zote huwezi kujuwa kitu kama kinamove ama kipo stationary unless uwe na kitu unacholinganisha nacho motion yake and that's relativity. Jaalia wewe upo ndani ya gari linalotembea kwa speed x halafu uangalie miti kwa nje na mwenzako ambaye yupo nje kasimama anaangalia miti. Mwenzako ataona miti inesimama ila wewe utaona miti inaenda this os how things work Young man.
Sasa wewe upo duniani na unazunguka na dunia How are you expecting milango yako ya fahamu ikwambie kama dunia inamove???? Same upo ndani ya gari linatembea kwa constant speed alafu tufunge vioo kila kitu usiweze kuona nje milango yako ya fahamu itakuambia kama unamove?? Weka hoja kama physicist sio kama mtu wa kunasua nasua vitu pahala

I strongly disagree na hiyo point yako ya milango ya fahmu inakuonesha sijuwi dunia ni flat ama dunia haizunguki, simply put milango ya fahamu haitoi taarifa kamili juu ya kinachoendelea thereby bila kupoteza muda naomba tuelekee kwenye nadharia
 
Wewe tukio gani ukiliona unasema hili limetokana na gravity...

Unazungumziaje density,...?
Je, huoni hicho unachoita gravity actually ni density tu inafanya kazi muda wote?
Narudi na mfano wa mwamba, rusha jiwe linarudi what do you think happens?
Wewe unadhani density ndo inafanya vitu vianguke? 😂
 
Density tells how the mass is distributed in a volume! Haifanyi kitu kianguke kuja chini NEVER!
 
unasema hukubaliani na milango ya fahamu ambayo inatuonyesha dunia imetulia na flat,...je,..wewe umetumia kitu gani apart from milango ya fahamu kujua na kuthibitisha 100% kwamba dunia ni tufe linalozunguka?

kinachotakiwa ni uthibitisho,..nadharia ni stori tu hata wewe unaweza kujitungia,..unapaswa uthibitishe yafuatayo:-

1. Umejuaje Dunia ni tufe 🌎
2. Umejuaje 100% Dunia inazunguka

NB; Hata ukiwa ndani ya gari milango ya fahamu itakujulisha whether gari Ipo kwenye mwendo au Imetulia,.so mpaka hapo mfano wako ni invalid.
 
Hapa sasa unabishana upuuzi! Uwe ndani ya gari inayotembea kwa constant speed na usiweze kuona nje milango yako ya fahamu itakuonesha kama gari inaenda? Huenda nabishana na mtoto wa miaka miwili hapa!
Nikuulize swali rahisi, ukiwa kwenye gari inayoenda ukaangalia miti nje macho yako yataona miti imesimama? Wewe na mtu mwingine muwe kwenye magari mawili tofauti yanayotembea kwa spidi sawa halafu tuzibe kote tuache muonane nyinyi wenyewe tu wewe utamuona mwezako na gari lake vinatembea??? Acha kukaza kichwa kama hujawahi kusafiri mdogo angu.
Milango ya fahamu haiwezi kukuthibitishia state ya motion uliyoko, kama ilivyo ukidumbukizi peni nusu kwenye maji nusu juu macho yako yataona imepinda, je peni imepinda kama milango yako ya fahamu inavyosema???
Imagine uko kwenye outer space, no air, hakuna chochote kinakuzunguka alafu uwe unamove wewe hapo utaweza kujuwa kama unamove kwa kutumia hiyo milango yako ya fahamu??? Tukuingize kwenye boksi ndani na huoni chochote nje na wala huwezi kusikia chochote cha nje halafu tuanze kuliendesha boksi wewe ndani utajuwa kama boksi linaenda???

Huwezi kuthibitisha state ya motion uliyoko kwa kupitia milango ya fahamu unless uwe na kitu utakacholinganisha nacho motion yako acha uzuzu
 
okay,..what happens to something denser than air?
When it's denser than air it will experience little upthrust compared to its weight. Upthrust ndo force inayosukuma vitu juu ukiweka ndani ya fluid
Archimede's principle:
Upthrust = displaced fluid weight
Fu=Mf*g (Mf=Mass of fluid)
= Df*Vf*g (Df=density of fluid, Vf=Volume of fluid)
Vf=Vo (volume of displaced fluid = volume of object [volume ni amount of space a body occupies kama, imezama yote kwenye hewa it means hewa iliyotoka ina ujazo sawa na object)
Fu = Df*[Mo/Do] *g (volume = density/mass)
Fu = Df/Do *Mo*g (ukiarrange hapo)

, ', Fu = Df/Do * weight_of_object
Kama kitu kina density kubwa kuliko density ya fluid uliyokizamisha means Df/Do << 1
This will make upthrus way lesser than weight_of_object sasa kama force inayokisukuma kwenda juu ni ndogo kuliko inayokivuta chini wewe unataka kiende wapi??
 
Naona ume panic sasa,...... kwa hiyo kuomba uthibitisho wa madai yako ndiyo uzuzu?

Mfano wako unasema milango ya fahamu haiwezi kuthibitisha,. tufanye nimekubali haiwezi,.....tuambie sasa ni mechanism gani umetumia kujua na kuthibitisha 100% dunia inazunguka?????

Swali rahisi sana hilo,..sijui unakwama wapi kujibu haraka iwezakanavyo

NB: Usikasirike mambo madogo haya......its just kuifanya akili ifikirie on its own bila kuwa influenced na nadharia tulizofundishwa.
 
Ntakujibu kama hivi!
Nilikupa mfano mfupi kuhusu kujirudia kwa vipindi kila baada ya siku 365 but leo ntakupa tena mfano mwengine.
Chukuwa jiwe lifunge kamba ama uzi or whatever utakavyoamua kisha lining'inize juu mkono wako ukiwa chini halafu liachie litafanyaje?? Litaanguka, chukuwa ndoo jaza maji kiwango kadhaa hata robo ndoo tu halafu iinue kwa juu huku sehemu ya kufunikia iwe inaangalia chini na haijafunikwa, maji yatafanyaje? Yatamwagika
Lakini nddoo hiyo hiyo au jiwe hilo hilo anza kulizungusha kwenye mduara kwa spidi unaona nn?? Twende kwa mfano wa jiwe ambao ndio common sana, ukianza kuzungusha jiwe na ile kamba linafanyaje? Halianguki kwanini ???
Kwasababu ya centrifugal force which will pull the stone against gravity.
Vivyohivyo kwa dunia, kuna uvutano kati ya dunia na jua, dunia na mwezi etc, lakini dunia imebaki sehemu yake bila kuanguka kwenda kwenye jua, do you have anything to say what's happening apart from Earth being revolving around the gravitational field of the sun?
 
Hujaomba uthibitisho, hukutaka kuthibitishiwa kupitia theory hiyo ndo argument yetu ilipo hatujafika bado kuanza kuchambua theory yako na yangu.
I simply discarded all facts based on sense on this matter ila wewe ukataka kubishana na kitu kilicho wazi huo ni upuuzi sasa
 
Maybe niweke kwa maelezo rahisi,
Centrifugal force will accelerate the stone away from the center of the circle thus opposing the effect of the Earth's gravitational field
 
Upthrust na gravity zote ni nadharia tu kiuhalisia hazipo.....

Kwa mfano unasema "upthrust ndiyo force inayosukuma vitu juu",... Kwa mfano ni kitu gani kiliwahi kusukumwa juu na the so called upthrust?

Mkuu,.uzito wa vitu ndiyo miongoni mwa sababu ya msingi sana inayofanya whether kitu kielee, kidondoke au kiende juu,..hizo gravity na upthrust ni nadharia tu kwenye uhalisia hazipo.
 
Yani unakubali kitu kina uzito halafu unasema gravity hamna? Nini maana ya uzito kwani, halaf mtu akipanic unaona unaonewa. Katafute kwanza maana ya uzito halafu uje!
Kuhusu upthrust
Wewe ushawahi kuinua mtu akiwa ndani ya maji? Unahisi kwanini anakuwa mwepesi????
 
Kwa kuongeza hapo, manake hujaelewa.
Upthrust ipo kwenye fluids tu (liquids/gases)
Wewe unahisi kitu kinaweza chenyewe tu kikaenda juu bila kusukumwa kwenda juu? 😂
Hata kitu kiwe chepesi vipi kama hakisukumwi kinabaki hapo hapo, mdgo angu unafikiria na nn?
 
ooh nimekupata,..kwahiyo uthibitisho ulio nao ni wa kinadharia?
 
ooh nimekupata,..kwahiyo uthibitisho ulio nao ni wa kinadharia?
Hata wewe pia uthibitisho ulionao ni wa kinadharia sababu hujawahi kutoka nje ya dunia, toa nadharia zako nioneshe Model ya dunia-jua-mwezi na jinsi zinavyokuwa kwa iyo flat earth analogy yako. Unless unapicha zinazoonesha dunia ni flat ndo tutaacha kutumia nadharia

Toa uo upuuzi wa milango ya fahamu, huwezi kuthibitisha kwa milango yako kama dunia ni duara ama tufe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…