Hayo uliyoweka ndiyo maswali ya darasa la pili sasa,....soma nimekujibu swali lako kwenye post hapo juuBila kuandika micomment mingi kukuoa maelezo ambayo huelewi.
Let's assume hakuna gravity alafu density ndo ifanye vitu vianguke.
Here's a question, KWANINI DENSITY NDO IFANYE VITU VIANGUKE, KWANINI KITU CHENYE RANGI ILIYOKOZA KISIANGUKE UKILINGANISHA NA AMBACHO RANGI YAKE IMEKOZA?? Why density determines wether things fall and not color or any other object properties???
Nasubiri
Hujajibu swali la msingi........."Apart from imaginary calculations ,unakubali kwamba kwenye uhalisia hauna uthibitisho kwamba dunia ni tufe linalozunguka,..?Iyo akili yako inayokwambia dunia ni flat kwasababu unaona ni flat ndo haiitajiki hapa, kama unaubongo uchengenue utoe facts sio maelezo kama ya mtoto wa darasa la pili
Kwaiyo density ni weight ama?? Unazungumzia density kwenye mfano ukapachika Mass? TF???Hakuna sehemu nimesema density inavuta vitu chini,...bali ni kwamba The denser the object, the higher the likelihood that it will sink or drop, and vice versa,.......mfano A person weighing 98 kilograms climbing onto the back of a person weighing 20 kilograms is like objects with greater weight that tend to sink or be less able to carry load, depending on their molecular density.
Uthibitisho upo ambao umeukataa, There are hundreds pictures from NASA and other Astronauts ukiachana na Nasa, wewe ambaye hujawahi hata kwenda unaobserve kutoka chini unabishana nao sasa kama sio theory ni kipi utaweza kuamini?Hujajibu swali la msingi........."Apart from imaginary calculations ,unakubali kwamba kwenye uhalisia hauna uthibitisho kwamba dunia ni tufe linalozunguka,..?
10Kg za maji zinabeba 20Kg za hewa vizuri tu, tena bila shida hiyo unaielezea vipi??Hakuna sehemu nimesema density inavuta vitu chini,...bali ni kwamba The denser the object, the higher the likelihood that it will sink or drop, and vice versa,.......mfano A person weighing 98 kilograms climbing onto the back of a person weighing 20 kilograms is like objects with greater weight that tend to sink or be less able to carry load, depending on their molecular density.
Hapana density sio weight,...unasema nimepachika mass??,..kwani hujui determinants za density ya kitu ni nini?...........Density haingalii tu uzito wa kitu bali inazingatia na ujazo...na ndiyo maana utaona Shilingi ina uzito mdogo kuliko Meli..lakini utaona Meli inaelea na Shilingi inazama.Kwaiyo density ni weight ama?? Unazungumzia density kwenye mfano ukapachika Mass? TF???
Nyoosha maelezo yako, nb 20Kg za hewa zinaelea kwenye 10Kg za maji japo hewa hapo ndo inauzito and we expect ikandamize hayo maji kama uo mfano wako
Imbicile!
Kwasababu density haipo determined na uzito tu bali inaangalia na Volume pia,....nadhani nimekujibu juu hapo10Kg za maji zinabeba 20Kg za hewa vizuri tu, tena bila shida hiyo unaielezea vipi??
Tukiongeza, manake akili zako ndogo
Sio tu 20Kg, 10Kg za maji zinabeba hata 100Kgs na kuendelea za hewavizuri kabisa
Kwa mfano picha gani halisia toka NASA inaonyesha dunia ni tufe linalozunguka?Uthibitisho upo ambao umeukataa, There are hundreds pictures from NASA and other Astronauts ukiachana na Nasa, wewe ambaye hujawahi hata kwenda unaobserve kutoka chini unabishana nao sasa kama sio theory ni kipi utaweza kuamini?
Sasa ulikuwa na maana gani kwenyw mfano wako a person weigh blah blah blah can blah blah blah meanwhile as long wote ni watu wako na density sawa the only difference is their masses amd so is weight.Hapana density sio weight,...unasema nimepachika mass??,..kwani hujui determinants za density ya kitu ni nini?...........Density haingalii tu uzito wa kitu bali inazingatia na ujazo...na ndiyo maana utaona Shilingi ina uzito mdogo kuliko Meli..lakini utaona Meli inaelea na Shilingi inazama.
Ninazoziona ni Computer generated,....ukiona picha halisia ambazo zime capture Dunia nzima from end-to-end zilete hapa tuondoe utata.Wewe ndo mwenyekuhitaji nenda kwenye site za nasa kaangalie shekhe, na sio Nasa tu picha zipo nyingi zilizopigwa nyakati tofauti tofauti katafute nasa dscovr utaona
Sasa uzito na gravity vinahusiana nini?Sasa ulikuwa na maana gani kwenyw mfano wako a person weigh blah blah blah can blah blah blah meanwhile as long wote ni watu wako na density sawa the only difference is their masses amd so is weight.
Hata nashangaa bado unatumia weight na unapinga gravity, wewe ni mwehu??
Nini maana ya weight kwa maelezo yako ukiacha unayosema uongo?
Kasome tena text nlishakujibu hapo naona hujaelewa.Sasa uzito na gravity vinahusiana nini?
Au formula ulizokariri ndiyo zinakuambia uzito unahusiana na gravity?
NB:- Einstein 1915 said,. GRAVITY IS NOT A FORCE!
Unapoona kitu kizito means kinakutana na strong attraction kuelekea kwenye dunia otherwise kitu kama hakivutwi tungekuwa hakuna haja ya kutumia miguvu kuinua.Sasa uzito na gravity vinahusiana nini?
Au formula ulizokariri ndiyo zinakuambia uzito unahusiana na gravity?
NB:- Einstein 1915 said,. GRAVITY IS NOT A FORCE!
Sasa hata ukiletewa si utaita AI generated kwanini nijisumbue kufanya hivyo? Watu wenye ubongo mdgo kama wewe ni kwenda na nyinyi hivi hivi tu mtaelewa mpaka mavi yatoke kichwani humo,Ninazoziona ni Computer generated,....ukiona picha halisia ambazo zime capture Dunia nzima from end-to-end zilete hapa tuondoe utata.
Tufanye huu mdahalo live.Narudia,..kinachofanya kitu kirudi juu sio the so called upthrust force bali ni resistance ya object moja against object nyingine kwenye ku occupy space,...hujiulizi kwanini object ikifika juu inatulia(inaelea) hiyo upthrust force inakua imeenda wapi mpaka ishindwe kuivuta object husika juu zaidi?
Sawa unaniita mimi Idiot,..Lakini je ni nani Idiot kuzidi yule ambae anadai kitu fulani kipo kwenye motion lakini hana kitu cha ku compare motion yake kwacho?? Wewe unaposema Dunia ipo kwenye motion umefanya comparison na nini?.........Na aliyekuambia ili ujue kitu fulani kipo kwenye motion lazima ufanye comparison na kitu kingine ni nani??an Idiot who ignorantly claims can determine wether he is in motion or not hata kama hana kitu cha kucompare motion yake kwacho.
Na tunasema hii imesimama kwasababu ile inatembea,....Hujawahi kupata ushahidi wowote kwamba Dunia inatembea,..umeshikiwa akili ukaambiwa Dunia inatembea umekubali na unataka kila mtu aamini hivyo,.. Jitahidi kufikiria vizuri.Every thing is relative kijana, hata tunasema uyu jamaa ni mfupi kwasababu kuna watu warefu, hii inatembea fasta kwasababu hii inaenda slow, huyu mweupe kwasababu yule mweusi
Vizuri sana,..kumbe unajua kama weight ndiyo inavuta vitu chini,..sasa huo uongo wa kusema gravity ndiyo inavuta vitu chini umeutolea wapi?Unapoona kitu kizito means kinakutana na strong attraction kuelekea kwenye dunia otherwise kitu kama hakivutwi tungekuwa hakuna haja ya kutumia miguvu kuinua.
Uzito unakuwa determiened na how much attraction a kitu kinaweza kukutana nacho kitokana na gravity, kwenye maji kuna upthrust kubwa ukilinganisha na kwenye hewa, so ukiachana na weight ambayo inavuta chini kuna considerable upthrust ambayo inasukuma jui ndo mana kitu kinakuwa chepesi ukilinganisha na kwenye hewa ambamo upthrust ndogo.