Wewe macho yako yanaona Dunia ni nini?Naomba nikuweke sawa hapa!
1. Umekataa picha za spherical earth na hauna picha za flat earth!
2. Mpaka sasa hauna na hauwezi kuthibitisha kama earth ni flat zaidi ya kusema macho yako yanaona kuwa ni flat (ambayo ni upuuzi wa hali ya juu)
ndo hoja yako kwamba kama dunia ni round ukichimba sehemu moja utatokea nyingine, unajua kuhusu layers za dunia huwezi pita kwenye earth's coreKwani wewe unavyoona Dunia sio flat?
Unaiona ni tufe na inazunguka si ndiyo.....fikiria kiundani sio unaamini blindly.
Kwahiyo unaamini ukichimba hapo ulipo consistently unaweza kutokea Uswisi? .....iMPOSSIBLE!
Husomi au?? Nimekujibu kuobserve ninaobserve hata Sasa lkn mm sijafanyia experiment hizo observation ww ndie uliefanya tupe majibuHahh sasa kuna swali gani hapo....anakutetea hajui nimekuuliza majibu ya observation yako kwasababu gani.
lete majibu ya observation yako kuhusu umbo la dunia na whether inazunguka ama la...bila kujali kama unaona majibu ya observation yako ni kweli/uongo...Bring it on the table!
Hahh umejibu wapi......najua hutaki kusema results ya ulicho observe kwasababu kina contradict uliyoaminishwa, so unaamua ku switch off your senses ili utumie akili za wengine.....Nimekujibu tayari, wewe yako hutak kuyatoa😄😄
hateeb10 kuruka ruka ndo sipendi usichague Cha kujibu njoo ujibu hapaNi Dunia, unasemaje?
Hajamkalisha mtu yeyote hata ww ukiamua kubisha unaweza je, unachoongea ni logic?hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..
We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..
Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
Wewe aliyekuambia Observation sio part of experiment ni nani?,,,,,,,,,,,,,,daah! Kuwa free minded la sivyo ubongo wako utautumia kwa 0.0001% kwenye hii dunia.Husomi au?? Nimekujibu kuobserve ninaobserve hata Sasa lkn mm sijafanyia experiment hizo observation ww ndie uliefanya tupe majibu
Hahh umejibu wapi......najua hutaki kusema results ya ulicho observe kwasababu kina contradict uliyoaminishwa, so unaamua ku switch off your senses ili utumie akili za wengine.....
Ni part ya experiments Kwan wapi nimesema sio part? Bali Mimi nasema ni stage ya mwanzo kabisa na huwezi kutumia kukonklude ndio maana Kuna null hypothesis na alternative hypothesis.Wewe aliyekuambia Observation sio part of experiment ni nani?,,,,,,,,,,,,,,daah! Kuwa free minded la sivyo ubongo wako utautumia kwa 0.0001% kwenye hii dunia.
Okay nakujibu tena, ni hivi Nina observe hata Sasa naobserve sioni Dunia ikimove na sion Jua likimove, ila sijafanya experiment yoyote kuhusu nilicho observe.Hahh umejibu wapi......najua hutaki kusema results ya ulicho observe kwasababu kina contradict uliyoaminishwa, so unaamua ku switch off your senses ili utumie akili za wengine.....
Hahh mimi nataka uthibitisho tu mkuu,...Nawaambia watu wathibitishe yaliyopo kwenye makaratasi naonekana kama nadharau waliyojifunza,....mtu unaweza ku derive equation kwa page 100 lakini kinachotakiwa uthibitishe kwenye uhalisia,.....on paper you can imagine anything and it works out like its real kumbe its just imagination tu.hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..
We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..
Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
Uthibitisho Gani unataka😄😄,,Hahh mimi nataka uthibitisho tu mkuu,...Nawaambia watu wathibitishe yaliyopo kwenye makaratasi naonekana kama nadharau waliyojifunza,....mtu unaweza ku derive equation kwa page 100 lakini kinachotakiwa uthibitishe kwenye uhalisia,.....on paper you can imagine anything and it works out like its real kumbe its just imagination tu.
Unataka majibu gani ?? Sis tushakwambia Earth is sphereusizunguke zunguke,..nimesema atupe majibu ya observation yake no matter ana perceive hayo majibu ni kweli au uongo?
Umeelewa?
Chukua glass hapo saivi jaza maji kisha egemeza ruler, Ukiangalia ruler kwenye maji macho yako yanaona ruler imefanyaje?Wewe macho yako yanaona Dunia ni nini?
We unadhani hata mahakamani ingekuwa ni kubishana tu ndio unashinda unadhani tungekuwa tunafikia muafaka?hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..
We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..
Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
Vizuri,..kwahiyo kuptia observation yako umegundua Dunia hai move........ abdulrahman Said umesikia?Okay nakujibu tena, ni hivi Nina observe hata Sasa naobserve sioni Dunia ikimove na sion Jua likimove, ila sijafanya experiment yoyote kuhusu nilicho observe.
Sasa wewe umefanya tupe majibu yako ya ulichofanya na ulifanyaje.
Wewe leta uthibitisho kama dunia ni flat,Hahh mimi nataka uthibitisho tu mkuu,...Nawaambia watu wathibitishe yaliyopo kwenye makaratasi naonekana kama nadharau waliyojifunza,....mtu unaweza ku derive equation kwa page 100 lakini kinachotakiwa uthibitishe kwenye uhalisia,.....on paper you can imagine anything and it works out like its real kumbe its just imagination tu.
Ni nani alisema observation ndiyo experiment? Unauhakika unachokiobserve ndivyo inavyotokea??Vizuri,..kwahiyo kuptia observation yako umegundua Dunia hai move........ abdulrahman Said umesikia?
Observation ndiyo experiment yenyewe,.. Hata mimi kupitia observation nakubaliana na wewe Dunia hai move.
Haya sasa tuambie kupitia observation yako,..umeona DUNIA NI FLAT/TUFE?
Na, Je Ukichimba hapo ulipo unaweza kutokea Sao Paolo, Brazil?
Sema hapa na abdulrahman Said ajifunze.
Kwahy unakonkulude kuwa Dunia haimove?Vizuri,..kwahiyo kuptia observation yako umegundua Dunia hai move........ @abdulrahman Said umesikia?
Observation sahihi inafanywa na watu wenye akili timamu,....Sasa mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya observation ya kufunika Jua na chungwa kweli?Ni nani alisema observation ndiyo experiment? Unauhakika unachokiobserve ndivyo inavyotokea??
Nimefunika jua na chungwa na ninaobserve chungwa limefunika jua lote itatosha kusema chungwa ni kubwa kuliko jua?