Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Naomba nikuweke sawa hapa!
1. Umekataa picha za spherical earth na hauna picha za flat earth!
2. Mpaka sasa hauna na hauwezi kuthibitisha kama earth ni flat zaidi ya kusema macho yako yanaona kuwa ni flat (ambayo ni upuuzi wa hali ya juu)
Wewe macho yako yanaona Dunia ni nini?
 
Kwani wewe unavyoona Dunia sio flat?

Unaiona ni tufe na inazunguka si ndiyo.....fikiria kiundani sio unaamini blindly.



Kwahiyo unaamini ukichimba hapo ulipo consistently unaweza kutokea Uswisi? .....iMPOSSIBLE!
ndo hoja yako kwamba kama dunia ni round ukichimba sehemu moja utatokea nyingine, unajua kuhusu layers za dunia huwezi pita kwenye earth's core
 
Husomi au?? Nimekujibu kuobserve ninaobserve hata Sasa lkn mm sijafanyia experiment hizo observation ww ndie uliefanya tupe majibu
 
hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..

We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..

Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
 
Nimekujibu tayari, wewe yako hutak kuyatoa😄😄
Hahh umejibu wapi......najua hutaki kusema results ya ulicho observe kwasababu kina contradict uliyoaminishwa, so unaamua ku switch off your senses ili utumie akili za wengine.....
 
hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..

We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..

Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
Hajamkalisha mtu yeyote hata ww ukiamua kubisha unaweza je, unachoongea ni logic?

Embu nambie wapi kaongea kitu kinachomake sense? Kuna maswali mengi humu hajibu kwasabab anajua
 
Husomi au?? Nimekujibu kuobserve ninaobserve hata Sasa lkn mm sijafanyia experiment hizo observation ww ndie uliefanya tupe majibu
Wewe aliyekuambia Observation sio part of experiment ni nani?,,,,,,,,,,,,,,daah! Kuwa free minded la sivyo ubongo wako utautumia kwa 0.0001% kwenye hii dunia.
 
Hahh umejibu wapi......najua hutaki kusema results ya ulicho observe kwasababu kina contradict uliyoaminishwa, so unaamua ku switch off your senses ili utumie akili za wengine.....

Wewe aliyekuambia Observation sio part of experiment ni nani?,,,,,,,,,,,,,,daah! Kuwa free minded la sivyo ubongo wako utautumia kwa 0.0001% kwenye hii dunia.
Ni part ya experiments Kwan wapi nimesema sio part? Bali Mimi nasema ni stage ya mwanzo kabisa na huwezi kutumia kukonklude ndio maana Kuna null hypothesis na alternative hypothesis.
 
Hahh umejibu wapi......najua hutaki kusema results ya ulicho observe kwasababu kina contradict uliyoaminishwa, so unaamua ku switch off your senses ili utumie akili za wengine.....
Okay nakujibu tena, ni hivi Nina observe hata Sasa naobserve sioni Dunia ikimove na sion Jua likimove, ila sijafanya experiment yoyote kuhusu nilicho observe.

Sasa wewe umefanya tupe majibu yako ya ulichofanya na ulifanyaje.
 
hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..

We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..

Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
Hahh mimi nataka uthibitisho tu mkuu,...Nawaambia watu wathibitishe yaliyopo kwenye makaratasi naonekana kama nadharau waliyojifunza,....mtu unaweza ku derive equation kwa page 100 lakini kinachotakiwa uthibitishe kwenye uhalisia,.....on paper you can imagine anything and it works out like its real kumbe its just imagination tu.
 
Uthibitisho Gani unataka😄😄,,
 
usizunguke zunguke,..nimesema atupe majibu ya observation yake no matter ana perceive hayo majibu ni kweli au uongo?

Umeelewa?
Unataka majibu gani ?? Sis tushakwambia Earth is sphere

1. Picha zipo
2. Kimvuli cha dunia wakati wa kupatwa kwa mwezi
3. Usiku na mchana, dunia inazunguka hivyo kufanya upande ambao hauangalii jua kuwa usiku labda wewe utuelezee usiku unatokea vipi? Mwanzo ulisema (kutokana na video yako uliyoituma humu) kwamba mwezi unakaa kati kati ya dunia na jua ndo mana inatokea usiku! Sasa tutakuuliza ule mwanga unaoonekana kwenye mwezi ni wa nini, or mwezi ni transparent kwamba miali ya jua kutoka upande mmoja inapita na kutokea upande wa pili??
4. Muonekano wa meli, 5. Kuzama na kuchomoza kwa jua, ukadai ni refraction ya mwanga. Tumekuuliza ni kwa vipi refraction itafanya jua lionekane linazama au kuchomoza (hujatoa jibu mpaka saivi)
6. Last time uliuliza kuhusu reli hapa, nimekupa project kutoka chuo cha st Petersburg urusi walikuwa wanafanya geodetic survey kwenye kudesign hizo reli. Tutakuuliza wewe kwanini waliifanya hiyo survey or unaelewa hata maana ya geodetic survey ni nini? Unless wewe uwe umewahi kudesign reli na ukaona geodetic survey haina maana tutakusikiliza
7. Tumekupa mfano wa wanaorusha satellite, kwasababu kila kitu kwenye uso wa dunia kinazunguka pamoja na dunia, kurusha satellite na kuiweka kwenye orbit husika lazima wairushe uelekeo ule ule wa dunia kwasababu tayari katika uelekeo ule ina speed kutokana na ilikuwa inamove pamoja na dunia, unless umewahi kurusha satellite na ututhibitishie hapa kuwa hakuna haja ya kufanya hivyo ni wanajisumbua. Otherwise zitakuwa tantalila tu
8. Umeuliza kuhusu maji kutomwagika, umejibiwa unataka yamwagike yaende wapi? Kuna kitu gani kingine kinavuta maji strongly kuzidi gravitational pull ya dunia? Au unahisi yanaweza kuanguka bila kuvutwa?

Mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote ulioutoa zaidi ya kusema umeona kwa macho, sasa huoni kama wewe ndo hutumii kichwa kufikiria
 
hateeb10 tukija kukukamata wewe wallah utaona tunachokufanya..

We humu kila mtu unamkalisha tuu wee hutaki kuamini kama dunia duara au unataka kusemaje..

Hateeb nakupa onyo.... Tutakupiga😀😀😀😀😀
We unadhani hata mahakamani ingekuwa ni kubishana tu ndio unashinda unadhani tungekuwa tunafikia muafaka?
 
Okay nakujibu tena, ni hivi Nina observe hata Sasa naobserve sioni Dunia ikimove na sion Jua likimove, ila sijafanya experiment yoyote kuhusu nilicho observe.

Sasa wewe umefanya tupe majibu yako ya ulichofanya na ulifanyaje.
Vizuri,..kwahiyo kuptia observation yako umegundua Dunia hai move........ abdulrahman Said umesikia?

Observation ndiyo experiment yenyewe,.. Hata mimi kupitia observation nakubaliana na wewe Dunia hai move.


Haya sasa tuambie kupitia observation yako,..umeona DUNIA NI FLAT/TUFE?

Na, Je Ukichimba hapo ulipo unaweza kutokea Sao Paolo, Brazil?

Sema hapa na abdulrahman Said ajifunze.
 
Wewe leta uthibitisho kama dunia ni flat,
Umepewa uthibitisho wa picha huzitaki, basi tunaomba picha za flat Earth
 
Ni nani alisema observation ndiyo experiment? Unauhakika unachokiobserve ndivyo inavyotokea??
Nimefunika jua na chungwa na ninaobserve chungwa limefunika jua lote itatosha kusema chungwa ni kubwa kuliko jua?
 
Ni nani alisema observation ndiyo experiment? Unauhakika unachokiobserve ndivyo inavyotokea??
Nimefunika jua na chungwa na ninaobserve chungwa limefunika jua lote itatosha kusema chungwa ni kubwa kuliko jua?
Observation sahihi inafanywa na watu wenye akili timamu,....Sasa mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya observation ya kufunika Jua na chungwa kweli?

With all due respect kwako,..tumia mfano mzuri tafadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…