Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Vijana wa flat earth wamelala mbele....
hahahhaa.... tatizo hamtaki kueleweshwa zaidi ya kutaka kubisha, ila kitu kuhusu flat earth kipo ktk huu uzi so hata wakilala sio mbaya kuurudia huu uzi tena na tena upate kuelewa upande wa pili wa theory ya dunia mviringo
 
na kwa wale wanaoendelea kuulizia baada ya huo ukuta wa barafu mbele kuna nini? nimekaa nikiwaza nikapata jibu hili,...: Baada ya kuta za barafu zinazokinga maji ya bahari katika theory ya dunia tambarare, mbele yake ni ngumu kujua kuna nini zaidi ya kuamini kutakuwa na barafu zaidi.. so hata kufikika itakuwa ngumu coz bado science haina vyombo vyakupita katika barafu nyingi kupita kiasi..... REJEA KUAHIRISHWA SAFARI ZA NDEGE PINDI BARAFU INAPOKUWA NYINGI, unadhani ni kwanini?
 
Ingekuwa tambarare tusingepata usiku na mchana, kuhusu uduara wa dunia vipi picha live zinazopigwa ISS na zile za voyager 1 na 2 na bado satellite kibao zinaonyesha uduara wa dunia


Very clear! You're right... Mleta mada angeturidhisha kuhusu kama dunia ni tambarare? Then why nchi nyingine usiku, nyingine mchana? I mean huku wanaona mwezi, at the same time kwengine jua?! I agree with u
 
Very clear! You're right... Mleta mada angeturidhisha kuhusu kama dunia ni tambarare? Then why nchi nyingine usiku, nyingine mchana? I mean huku wanaona mwezi, at the same time kwengine jua?! I agree with u
Ngoja nami nisubiri jibu hapa
 
Hivi broadcasting satelite Mbona uwa zina Beam specific area wakati zenyewe zinaelea tu Shani. Kama dunia igekua inazunguka si kuna kipindi signal ingekua inapotea!
 
Very clear! You're right... Mleta mada angeturidhisha kuhusu kama dunia ni tambarare? Then why nchi nyingine usiku, nyingine mchana? I mean huku wanaona mwezi, at the same time kwengine jua?! I agree with u
Angalieni video za mleta Uzi mtauona haiku na mchana unavyopatikana
 
Eh na nyie mnaamini? Hivi unajua kama dunia sio sphere kuna formula nyingi sana na theory nyingi sana za kisyansi zitakataa kuagree? Dont be dumb guys dunia is still sphere
 
Eh na nyie mnaamini? Hivi unajua kama dunia sio sphere kuna formula nyingi sana na theory nyingi sana za kisyansi zitakataa kuagree? Dont be dumb guys dunia is still sphere
How
 
Wakuu, nimeamua kwenda Google usearch hao flat earth society ila website yao naona inasema kwamba ipo hacked.

Ndiyo yenyewe niliyoingia ama sio yenyewe!?
 
Wakuu, nimeamua kwenda Google usearch hao flat earth society ila website yao naona inasema kwamba ipo hacked.

Ndiyo yenyewe niliyoingia ama sio yenyewe!?
hiyo siyo yenyewe........ search flat earth society.org
 
Nina umri wa miaka 24
Kwetu mm ni mtoto wa kwanza ambae nategemewa na ndugu zangu wakiwemo wadogo zangu na mama yangu mzazi.
Nina fani ya ujenzi na tour guide by professional ila KILA NINAPOTAFUTA KAZI NAKOSA KISA NINA UMRI MDOGO.
PIA SINA REFER
Istoshe wadogo zangu wanarudi shule mwakani na mm ndio wakuwatafutia ADA.
NAUZA PIA FIGO PAMOJA NA INI.
naombeni msaada wenu.
Pesa za masharti nahitaji
 
Hii mada bado ipo alive kumbe.. Wazee wa flat earth mpooo..??hahahahaaa...
 
Ni ujinga na upumbavu, aliyeleta evidence ya Dunia kuwa spherical alitafutwa na waumini wa Dunia kuwa flat ili wamuue kisa kawakosoa! wewe unaleta ya mwaka 0 sijui tukueleweje? utakuja na kushabikia kwamba kukeketa watoto wa kike ndiyo mpango wa Mungu unakoelekea.
 
Kuna hii mada inasema Quran and BILBLE in the light of morden science bible inaonekana imefel sana kwenye scientific fact kuna theory tu ndio zimejaa ikiwemo hii ya dunia kuwa flat au mwez kuwa unawaka kwa mwanga wake wenyewe ukiangalia kwemye siku sita za uumbaji inasema iliumbwa miti na mimea kabla ya jua kisayans mimea haiwez kusurvive bila jua zipo nyingi hiiada ni katika juhud za kutaka kuprove kuwa dunia ni flat kama ilivyo kwenye bible ndio maana karud kule kule kwenye genesis ambayo kiasili ni theory za wagiriki..!..na ishu hii ilianzia America.!
 
“And the earth, moreover, hath He made egg shaped.”
[Al-Qur’an 79:30]



The Arabic word for egg here is dahaahaa1 which means an ostrich-egg. The shape of an ostrich-egg resembles the geo-spherical shape of the earth. Thus the Qur’an correctly describes the shape of the earth, though the prevalent notion when the Qur’an was revealed was that the earth was flat.

Hii ni kwa mujibu wa quran ambao umeendana sayans ya leo kuwa dunia sio flat wa duara ila ipo kwa mfano wa umbo la yai la mbuni ipo kwenye umbo la sphere.!
 
Mkuu umetoa somo zuri, ila kwemye INTRO umenichanganya! Umewaponda wazungu na elimu waliyotuletea na wanavyoendelea kutudanganya na kutuficha mambo, wakati huo huo unatuelimisha kwa kutumia lugha, vyombo na elimu hiyo hiyo ya hao jamaa..!!
dah sio kwa ubongo huo wako
 
Umedadavua...Nadhan amekuelewa.
 
- labda nikurekebishe hakunaga space craft inayoenda vertically upward kwann?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…