Mantiki ya swali lako ni ipi?kwahiyo uliambiwa wazungu ote wanafanya kazi ya kutafiti dunia tu ilivyo.?
Umeelewa swali lakini??Limekua gumu kivipi,... Nishasema kitu chochote chenye maximum size maana yake kina ukomo (edge) wake.
Ndo maana nasema wewe unachanganya mambo kisa unataka uforce uwe sawa.Kwani ni nini maana ya ukomo (edge), mpaka inashindwa kuelewa?.... kuweka mambo clear zaidi ni kwamba ninaposema ukomo/edge namaanisha ile point ambayo kama ukinyanyua mguu wako step moja tu hautokua kwenye hiyo round object tena,...
Na kwa kukuelewesha zaidi miongoni mwa tafsiri za edge ni Mpaka (boundary)....sasa Je, mpira hauna mpaka, umeenea all over?
Nambie wewe edge ya za hiyo blue ring,Kwamba hapo ukiambiwa utaje point ambapo tunaanza kukutana na Blue ring utashindwa?
Labda kama uwe kilaza wa hali ya juu ndiyo utashindwa kujua kuhusu hilo.
Again, unachanganya boundary na edge!!Ngoja nijaribu kukuweka sawa,..usipoelewa na hapa hautokuja kuelewa tena..,
- The edge of a circle can be thought of as the circumference—the continuous boundary that defines the maximum size or extent of the circle.
- If someone is standing on the circumference of the circle, they are at the "edge" of that shape. Moving even 1 cm beyond this boundary would mean they step out of the circular object.
Hii statement ukiisoma vzr utapata kitu, jiulize tu kwann amesema in physical and practical terms? Kwann hajaconclude tu Moja Kwa Moja kuwa edge and boundary are similar terms?In physical and practical terms, the boundary of a round object is similar to the "edge" of any other object. It defines where the object ends and the external space begins.
hateeb10 naona hili swali limekuwa gumu sana kwako??? Kabla sijauliza linguine jibu kwanza hili.Explain this, how is it possible kwenye Dunia tambarare?
View attachment 3174372
Utaambiwa Hilo ni somo lingine😄😄, mara World Order na blah blah nyingne nyingi tu.Sasa hao wanaosema dunia ni duara wanapata faida gani,na kwa nini watufiche kuwa dunia ni duara!?
Hapa kinachofanya tutofautiane ni kwamba Mmoja WETU amekariri na mwingine anatumia akili zake kutafsiri uhalisia ulivyo.Again, unachanganya boundary na edge!!
Kwanini mpaka uambiwe,..Wewe akili yako haitoshi kutafakari?Sasa hao wanaosema dunia ni duara wanapata faida gani,na kwa nini watufiche kuwa dunia ni duara!?
Wewe umekariri vya kuambiwa ila kushughulisha akili yako hutaki,...yaani ingewezekana tuwe ana kwa ana kisha tuchukue Mpira nikuonyeshe physically & practically kwamba mpira una ukomo nadhani ungeacha ubishi usioingia akilini.Hii statement ukiisoma vzr utapata kitu, jiulize tu kwann amesema in physical and practical terms? Kwann hajaconclude tu Moja Kwa Moja kuwa edge and boundary are similar terms?
In Geometry context, edge na boundary are different terms with difference meanings.
Haitoshi ndio maana nimeuliza, kama una majibu,yaweke wazi hapa.Kwanini mpaka uambiwe,..Wewe akili yako haitoshi kutafakari?
Nani kakudanganya?hateeb10
Kuna kitu kinaitwa Great circle route, kajifunze kuhusu hiki kitu kwann ndege hutumia hii route. Ni Kwa sababu Dunia ni duara.
View attachment 3177078
Sawa,..kama wanaosema Dunia ni tufe linalozunguka unaamini hawana sababu ya kudanganya,...Haitoshi ndio maana nimeuliza, kama una majibu,yaweke wazi hapa.
Sijaona swali la kujibu hapo,..hateeb10 naona hili swali limekuwa gumu sana kwako??? Kabla sijauliza linguine jibu kwanza hili.
View attachment 3177073
So its better kila side itoe proof zake za kisayansi na sio kusema kuwa kuna interests wanayopata wanapoaminisha watu kuwa dunia ni round angali dunia ni flat.I got u.Sawa,..kama wanaosema Dunia ni tufe linalozunguka unaamini hawana sababu ya kudanganya,...
Basi na Mimi leo nakuambia Dunia ni flat na Imetulia kama unavyoiona na kuihisi,...NIAMINI,, maana Mimi pia sina sababu ya kukudanganya.
Cha kufanya thibitisha kwamba Dunia ni tufe linalozunguka,. Hizo ishu za New World Order Wala hazihusiki kwenye kuthibitisha......Utaambiwa Hilo ni somo lingine😄😄, mara World Order na blah blah nyingne nyingi tu.
Siku zote unasema nimekariri naww unatumia akili😄,Hapa kinachofanya tutofautiane ni kwamba Mmoja WETU amekariri na mwingine anatumia akili zake kutafsiri uhalisia ulivyo.
Basi niseme nimekubaliana na wewe Mpira hauna ukomo.