Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni wazi hujui science haswa ni nini we unjua cosmology na evolution tu ndio sayansi. We unahisi bila math unajenga barabara imara, majengo makubwa unayoyaona unahisi bila math yangesimama vizuri, una soma muda kwa kutumia saa. Unafika unapotaka kwa haraka kwa ajili ya usafiri umevaa nguo nzuri ambazo engineering inehusika , kila hatua kwenye maisha yako imerahisishwa tokana na elimu ya sayansi. We usichukulie theory ya evulotion na cosmology ukahitimisha kuwa sayansi haina faida. Ndio maana nikasema toka mwanzo shetani hajatengeneza elimu ya sayansi yeye anachofanya ni ku manipulate baadhi ya laws(Ni Somo Ni pana Mno) bila hilo somo na upana wake katika kuishi ungeathirika na nini? vipi yatokanayo na upana wasomo hilo, yamekurahisishia kuishi au yameongeza ugumu wa wewe kuishi? aliyetaka usome hilo somo mpaka ujue hizo law za universe alikua anatafuta nini kiasi asingekipata kipi kingetokea katika maisha. Yote hayo kwa uwezo wa Muumbaji yalishaumbika ili kusapoti maisha ya kila alichokiumba, ndio maana leo kuna watu wanasifiwa kwa ugunduzi na si kwa uumbaji. maana kila kitu kilikuwepo na walikikuta kipo. sasa shetani kwakutaka sifana wanadamu tumsifu akatumia wafuasi wake walete masomo watu tumuamini yeye kuliko aliyeviumba.
kama unaamini kuna uumbaji wa ulimwengu na vitu vyote vilivyomo basi unapingana na sayansi moja kwa moja. na kama unaamini yatokanayo na sayansi ujue unapingana na uumbaji. Vita ya Muumbaji Na Mgunduzi. Yaani Mungu Na shetani.
Tatizo lako upo kubishana Kutaka Ushindi, ningekujibu hili vizuri tuu.
Swali Langu ni kwanini Unauliza Maswali yatokanayo na elimu ya Dunia mviringo kwa watu wa elimu ya dunia tambarare. Yaani umuulize Mkristo maswali yatokanayo na kitabu cha Kiislam au Kinyume chake. ndivyo ufanyavyo wewe, hapo itakua ni kubishana na si kuelimishana.
maana yangu, soma shape za mwezi zinaelezewaje katika FlatEarth then uje na maswali yatokeayo huko ueleweshwe, maana hapa unataka kujulishwa kitu usichokielewa, LAZIMA UTABISHA
hebu fikilia kwa mfano wa mdogo tu. achana na shuguli za kiofice ambavyo watu wanawasiliana kikazi nchi fulan na nchi ingine kwa masaa ya kikazi inambidi mtu wa nchi ingine awepo ofisini usiku wa manane ili kuendana na mtu wa ofisi ya nchi ingine.
ushawahi kujiuliza kwanin unaangalia mpira unaochezwa nchi za brazil saa 8 hadi 10 za usiku ikiwa kule wanakocheza ni saa 10 jioni?
labda pia useme masaa hayaangalii jua .na useme mwenyewe kama dunia ni duara au tambarale.
vitabu kalibu vyote vya dini ukristo na islam vimeandaliwa kama miongozo ya kuiendesha dunia hasa kisayansi na kiuchumi. hebu fikilia mfano wa kitabu cha mwanzo walipo muongelea kaini na abeli hadi kaini kufukuzwa kwenye nchi aliekua analima ,ikiwa nyie mnaumia kwa abeli kuawa na kumuona kaini ni katili wenzenu wazungu kwa upande wapili wanagundua kunasehemu tulijua tunalima/product na kwa kuhakikisha wametuma wachunguzi kuhakikisha na wamefanikiwa kujua wapi na wamekuja kwenye mabara yetu kuvuna mali za kutosha. nyie bado mnashupaza shingo kumsubili yesu. vitabu kama DANIEL,UFUNUO Nk kalibu vyote hivi vimewekwa na wanajimu na walimu wa astrooloji wa zamani kuelekeza jinsi ya kuiongoza dunia ktk nyanja zote. kulan ndio usiseme.sayansi imezungumzia waziwazi. msisome hivi vitabu kwa lengo la kiiman pekee utakua mwehu.soma kiutafit wa kawaida ila uwe umejua mambo mengi ya kisayasi,kihistoria na kijogorafia ya dunia ndio utaelewa nazungumzia nini.
USIMBEZE MTU ALIEFANYA UTAFITI FULANI NA KUFANYA VITU KWA VITENDO NA AKAFANIKIWA TENA KWA USHAHIDI HALAFU NAWEWE UNAPITA HUMO KUPINGA UKIWA HUNA HATA USHAHIDI ROBO YAKE.
haya umeanza kuleta picha ya mchoro wa dunia ukiwa duara na bado wamekuja na picha ya wazi kabusa ya dunia yako tena miamba wa kisayansi wakiwa kwenye mwezi.hadi maziwa makuu yako unayovua samaki yanaonekana wazi kabisa.
mtu mweusi ni shida sana...!
Ulimwengu kuanza kwenye bing bang haimanishi haukuumbwa. Ilitakiwa Energy ku set off the bing bangDunia ikiwa Mviringo tunaambiwa chanzo chake ni BingBang so Haijaumbwa
Kama unaamini kuna Camera zinazoweza ku capture Dunia na kuonyesha kwamba ni tufe linalozunguka,...kwanini huoni kwamba inawezekana pia tukapata picha/video inayoonyesha Ndege iki fly down vertically kuelekea destination ambayo ipo chini kwa kuzingatia kwamba Dunia ina umbo la tufe?Sasa Mimi muda huo nipo upande Gani mpk niione ndege ipo vertically down?
Je, nipo sourthen? Kama nipo sourthen siwez kuona hivyo Kwa sabab muda huo ndege itakuwa overhead, nikiwa northern siwezi hata kuiona hiyo ndege.
Ishu ya Great circle route hata humu tushaijadili previously,. haithibitishi kwamba Dunia ni tufe/Inazunguka.Kwanza unaelewa maana ya great circle route au anahangaika na mtu haelewi??
Kwa macho huwezi kuthibitisha kuwa Jua au mwezi either vinatembea au havitembei.Mfano nipe jibu Linalothibitisha Dunia, Jua Na Mwezi Havitembei au Vinatembea pindi tuangaliapo kwa Macho.
Nikimaanisha, Je Nikiangalia Nini Nitajua Hivi vitu Vipo katika Mwendo Au Vimesimama.?
Bado hujatoka maelezo vzr, Jua kuwa dogo kuliko Dunia haiifanyi hicho kitu kutokea elezea vizuri hapo tafadhali.Hio Iinawezekana kwakuthibitisha kua Jua ni dogo kuliko Dunia na linamove kuizunguka Dunia...
Wapi nimeuliza maswali ya Dunia mviringo? Jibu swali.Swali Langu ni kwanini Unauliza Maswali yatokanayo na elimu ya Dunia mviringo kwa watu wa elimu ya dunia tambarare
Hivi unatumia akili kufikiri kweli?Kama unaamini kuna Camera zinazoweza ku capture Dunia na kuonyesha kwamba ni tufe linalozunguka,...kwanini huoni kwamba inawezekana pia tukapata picha/video inayoonyesha Ndege iki fly down vertically kuelekea destination ambayo ipo chini kwa kuzingatia kwamba Dunia ina umbo la tufe?
Jibu swali, unajua maana ya Great Circle Route? Maana naweza kubishana naww kuhusu kitu hujui.Ishu ya Great circle route hata humu tushaijadili previously,. haithibitishi kwamba Dunia ni tufe/Inazunguka.
Exactly,Ulimwengu kuanza kwenye bing bang haimanishi haukuumbwa. Ilitakiwa Energy ku set off the bing bang
Heeeeh!! Unafatilia kweli?Kwa kweli flat earther mpewe maua yenu...
Mmewachachafya hasa wale wa kukariri stori za nelkon na sijui abbot.....
Wamekimbia wote 😂
hateeb10 😀😀 hili swali naona limekupiga knockout!!Nimeweka picha nikauliza elezea inawezekana vipi hicho kitu kwenye tambarare? Au hukuelewa nn? Mpk ukaniuliza hivi👇
Kwahiyo wewe unaona Jua linaibuka chini hapo....Hhahh
Kwanza kupiga picha au kutopiga picha hakuna umuhimu hapo,..unachotakiwa ni kutuambia na kufahamu kwamba Kama kweli Dunia ni tufe basi Ndege itapaswa iende vertically downward na sio straight-horizontally kuelekea destinations zilizopo below the curve......kitu ambacho hakifanyiki. kwa kuwa Dunia ni flat basi Ndege always utaziona zikipaa Horizontally bila ku bend...Hivi unatumia akili kufikiri kweli?
Huyo atakaepiga picha atakuwa angle Gani? Juu? Kama atakuwa juu maana yake atakuwa overhead(juu ya ndege) kwahy hapo Hilo swala la down vertically haiwezekani.
Na kama unamaanisha picha kutoka space ambazo ndio zinaonesha Dunia Kwa upana zaidi, huo uwezekano wa kupiga picha mpaka ndege zionekane haupo, hakuna utakachoweza kukiona Duniani ukiwa space.
We jamaa uchinjwe Xmass😀😀, yaani Ujinga ni kuamini Sayansi inapinga uwepo wa Mungu.kama unaamini kuna uumbaji wa ulimwengu na vitu vyote vilivyomo basi unapingana na sayansi moja kwa moja. na kama unaamini yatokanayo na sayansi ujue unapingana na uumbaji. Vita ya Muumbaji Na Mgunduzi. Yaani Mungu Na shetani.
Ni kweli mmepigwa Knock out,...mpaka leo mmeshindwa kuweka uthibitisho kwamba:-Heeeeh!! Unafatilia kweli?
Kubend Gani unaongelea hapa? Ulishawahi kuona ndege inatua? Je huwa inatanguliza kichwa kwanza?Kwanza kupiga picha au kutopiga picha hakuna umuhimu hapo,..unachotakiwa ni kutuambia na kufahamu kwamba Kama kweli Dunia ni tufe basi Ndege itapaswa iende vertically downward na sio straight-horizontally kuelekea destinations zilizopo below the curve......kitu ambacho hakifanyiki. kwa kuwa Dunia ni flat basi Ndege always utaziona zikipaa Horizontally bila ku bend...
Hiyo ndiyo point ya msingi,..
Hahahaaaa!! Kama tumepigwa knockout why avoiding some basic questions??Ni kweli mmepigwa Knock out,...mpaka leo mmeshindwa kuweka uthibitisho kwamba:-
a. Dunià ni tufe 🌎
b. Dunia inazunguka
Sasa hapo utasema hamjapigwa knock out??!