Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
We jamaa uchinjwe Xmass😀😀, yaani Ujinga ni kuamini Sayansi inapinga uwepo wa Mungu.
Wakati uhalisia ni kwamba sayansi inafocus na natural world, observation, experimentation, na evidence bila kujali kama hivo vitu vimeumbwa ama la!!

Wakati Vitabu vya Imani kama biblia na Quran vinaelezea uwepo wa nguvu iliyojuu kushinda vyote na iliyoumba vyote vilivyo katika ulimwengu.

Sasa mfano science inaongelea formation ya Dunia inatokana Bing Bang, we unaona hapo imepinga uwepo wa MUNGU? Singularity ilihitaji uwepo wa energy fulani Ili kuwezesha hiyo Bing Bang je kama ndio jinsi alivyoamua kuiumba Dunia hivyo?

Mfano mwingine ni Evolution na chimbuko la binadamu. Science imefanya tafiti zake Kwa kutumia data na mbinu za kisayansi Kwa kuangali mfanano wa DNA structure na mambo mengine.
Sayansi ilibaini Kuna uwezekano mkubwa kuwa binadamu na chimpanzee wanatokana na ancestor mmoja[Hominids Ancestor](common ancestor), na Wala sio kwamba tunatokana na chimpanzee. Sasa hapo imepinga wapi Uwepo wa MUNGU? Je kama Adam na Eva ndo hao Hominids?
Kama unaamini Evolution theory,..basi haishangazi kuona unaamini kwamba Dunia ni tufe linalozunguka.
 
Kama unaamini Evolution theory,..basi haishangazi kuona unaamini kwamba Dunia ni tufe linalozunguka.
Evolution huiamini? Ndo inayokufanya wewe ukiugua malaria ukinywa dawa unapona.
Kuku wa kizungu, ng'ombe na mazao mbali kama mahindi Bora ni sababu ya Evolution. Usiwahi kudharau tena EVOLUTION asee!!
 
Haitangulizi kichwa,. Ndege always inapaa na kutua horizontally kwasababu the Earth's surface ni flat kabisa.....au hili nalo pia unataka kupinga?
Umeelewa msingi wa swali? Kama ikiwa inatua haitangulizi kichwa sasa kwann unataka ikiwa Inafata curve ibinuke?
 
Evolution huiamini? Ndo inayokufanya wewe ukiugua malaria ukinywa dawa unapona.
Kuku wa kizungu, ng'ombe na mazao mbali kama mahindi Bora ni sababu ya Evolution. Usiwahi kudharau tena EVOLUTION asee!!
Kwahiyo uñataka niamini Evolution inayosema kwamba viumbe hai wote wametokana na ancestor Mmoja/ Common ancestor?

Sasa dhana kama hizo unaweza kuthibitisha kweli? Au unaamini tu?
 
Hizo questions tumezijibu mara nyingi sana humu...yanaonekana hayana maana kwasababu hayatoshi kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe linalozunguka.
😀😀😀 Kwani Hilo swali linataka kuthibitisha uduara wa Dunia au nataka unielezee hiyo observation inawezekana vipi kwenye tambarare? Am trying to understand your flat earth ndo maana nimeuliza Hilo swali la msingi sana.
 
Kwahiyo uñataka niamini Evolution inayosema kwamba viumbe hai wote wametokana na ancestor Mmoja/ Common ancestor?

Sasa dhana kama hizo unaweza kuthibitisha kweli? Au unaamini tu?
Evolution is not about origin of humans only. Labda nikuulize swali tu? Unaamini DNA? Hivi wanazopima Ili kuthibitisha kama mtoto ni wako ama la!!??
 
Umeelewa msingi wa swali? Kama ikiwa inatua haitangulizi kichwa sasa kwann unataka ikiwa Inafata curve ibinuke?
Haibinuki kwasababu hakuna curve.......curve ingekuepo Ndege zingeshindwa kufika destinations ambazo zipo below the curve,.. considering zina mover horizontally over Earth's surface.
 
Haibinuki kwasababu hakuna curve.......curve ingekuepo Ndege zingeshindwa kufika destinations ambazo zipo below the curve,.. considering zina mover horizontally over Earth's surface.
Hivi unaelewa nilichouliza kweli? Ndege ikiwa unatua chini hapo ni horizontally??
 
Evolution is not about origin of humans only. Labda nikuulize swali tu? Unaamini DNA? Hivi wanazopima Ili kuthibitisha kama mtoto ni wako ama la!!??
Hata Mimi sijasema kwamba Evolution is about origin of humans only,... ndiyo maana nikakutajia miongoni mwa hoja ya evolution theory ni kwamba living organisms wote wametokana na common ancestor.

Ndiyo nikakuuliza madai kama hayo unaweza kuthibitisha, au unaamini tu.
 
Hata Mimi sijasema kwamba Evolution is about origin of humans only,... ndiyo maana nikakutajia miongoni mwa hoja ya evolution theory ni kwamba living organisms wote wametokana na common ancestor.

Ndiyo nikakuuliza madai kama hayo unaweza kuthibitisha, au unaamini tu.
Mimi sijafanya utafiti huo, waliofanya wamebaini Kuna uwezekano mkubwa wa kuwa hivyo kutokana na kuangalia baadhi ya vitu na kukuta tunafanana zaidi, ndo maana nikakuuliza unaamini DNA?
 
ni wazi hujui science haswa ni nini we unjua cosmology na evolution tu ndio sayansi. We unahisi bila math unajenga barabara imara, majengo makubwa unayoyaona unahisi bila math yangesimama vizuri, una soma muda kwa kutumia saa. Unafika unapotaka kwa haraka kwa ajili ya usafiri umevaa nguo nzuri ambazo engineering inehusika , kila hatua kwenye maisha yako imerahisishwa tokana na elimu ya sayansi. We usichukulie theory ya evulotion na cosmology ukahitimisha kuwa sayansi haina faida. Ndio maana nikasema toka mwanzo shetani hajatengeneza elimu ya sayansi yeye anachofanya ni ku manipulate baadhi ya laws
Aliyeleta Habari za Sayansi, hayo yote aliyakuta na unajijibu kuwa aliyamanipulate kwenye Laws na akaja na jina Sayansi. ndio maana hata hizo laws zina majina ya waliogundua mambo yaliyokua yameumbwa zamani. Sifa zote za Sayansi ulizoziorodhesha ziliweza kufanyika bila kuwa na madarasa.

Umeenifurahisha kwenye kujua Muda kwa kutumia Saa, Watu walitumia Jua kujua muda kwa vile linaizunguka dunia tambarare, hao unaowasifu wakatumia mzunguko wa Hilo jua kutengenezea saa ya mshale unayoiamini Leo.

Sayansi ni Shetani maana inapingana na Uumbaji kwa sehemu kubwa.
1. Mungu aliumba Jua lizunguke tujue masaa, Sayansi Ikatengeneza saa kwahesabu za Jua ili tusiamini Kilichoumbwa na Tukiamini kilichotengenezwa.

Na shika hili, UJENZI WA SAFINA YA NUHU, umeaibisha Sayansi Uliyoisooma Darasani katika nyanja nyingi. Je Nuhu aliongozwa na Newton au na Mungu kuifanya safina ielee?
Tumeumbiwa maarifa na Mungu, Sayansi kupitia Shetani Ilichofanya ni kuyaandika tuu na watu kujipa sifa wao ndio wagunduzi.

engineer wa Kushona Nguo alikua amevaa mavazi, usijipotoshe maksudi au unaamini Nguo ni Suti? mifano mengine jaribu kujiuliza kwanza wewe mwenyewe kwa akili yako. Sayansi ni Mali ya Shetani ndio maana unamlipa pindi uisomapo. Ila Maarifa ni mali ya Mungu ukimtii tuu unayapata Bure hata ukitaka kutembea juu ya maji utaweza.
 
Ulimwengu kuanza kwenye bing bang haimanishi haukuumbwa. Ilitakiwa Energy ku set off the bing bang
Kama Kuna Bing Bang Theory iliyo chanzo cha Dunia Kuwepo, Mungu kahusika wapi na Uumbaji wa hiyo Dunia?
 
Kwa macho huwezi kuthibitisha kuwa Jua au mwezi either vinatembea au havitembei.
Nimekubali we MSHINDI. kama hoja ni neno kutembea siwezi endelea na wewe. Ila ninachoamini swali ulilielewa namaanisha Kusogea kwa Jua na Mwezi!
 
Back
Top Bottom