Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
ni wazi hujui science haswa ni nini we unjua cosmology na evolution tu ndio sayansi. We unahisi bila math unajenga barabara imara, majengo makubwa unayoyaona unahisi bila math yangesimama vizuri, una soma muda kwa kutumia saa. Unafika unapotaka kwa haraka kwa ajili ya usafiri umevaa nguo nzuri ambazo engineering inehusika , kila hatua kwenye maisha yako imerahisishwa tokana na elimu ya sayansi. We usichukulie theory ya evulotion na cosmology ukahitimisha kuwa sayansi haina faida. Ndio maana nikasema toka mwanzo shetani hajatengeneza elimu ya sayansi yeye anachofanya ni ku manipulate baadhi ya laws
 
 
Sasa Mimi muda huo nipo upande Gani mpk niione ndege ipo vertically down?
Je, nipo sourthen? Kama nipo sourthen siwez kuona hivyo Kwa sabab muda huo ndege itakuwa overhead, nikiwa northern siwezi hata kuiona hiyo ndege.
Kama unaamini kuna Camera zinazoweza ku capture Dunia na kuonyesha kwamba ni tufe linalozunguka,...kwanini huoni kwamba inawezekana pia tukapata picha/video inayoonyesha Ndege iki fly down vertically kuelekea destination ambayo ipo chini kwa kuzingatia kwamba Dunia ina umbo la tufe?
 
Mfano nipe jibu Linalothibitisha Dunia, Jua Na Mwezi Havitembei au Vinatembea pindi tuangaliapo kwa Macho.
Nikimaanisha, Je Nikiangalia Nini Nitajua Hivi vitu Vipo katika Mwendo Au Vimesimama.?
Kwa macho huwezi kuthibitisha kuwa Jua au mwezi either vinatembea au havitembei.
 
Hivi unatumia akili kufikiri kweli?
Huyo atakaepiga picha atakuwa angle Gani? Juu? Kama atakuwa juu maana yake atakuwa overhead(juu ya ndege) kwahy hapo Hilo swala la down vertically haiwezekani.
Na kama unamaanisha picha kutoka space ambazo ndio zinaonesha Dunia Kwa upana zaidi, huo uwezekano wa kupiga picha mpaka ndege zionekane haupo, hakuna utakachoweza kukiona Duniani ukiwa space.
 
Kwanza kupiga picha au kutopiga picha hakuna umuhimu hapo,..unachotakiwa ni kutuambia na kufahamu kwamba Kama kweli Dunia ni tufe basi Ndege itapaswa iende vertically downward na sio straight-horizontally kuelekea destinations zilizopo below the curve......kitu ambacho hakifanyiki. kwa kuwa Dunia ni flat basi Ndege always utaziona zikipaa Horizontally bila ku bend...

Hiyo ndiyo point ya msingi,..
 
kama unaamini kuna uumbaji wa ulimwengu na vitu vyote vilivyomo basi unapingana na sayansi moja kwa moja. na kama unaamini yatokanayo na sayansi ujue unapingana na uumbaji. Vita ya Muumbaji Na Mgunduzi. Yaani Mungu Na shetani.
We jamaa uchinjwe XmassπŸ˜€πŸ˜€, yaani Ujinga ni kuamini Sayansi inapinga uwepo wa Mungu.
Wakati uhalisia ni kwamba sayansi inafocus na natural world, observation, experimentation, na evidence bila kujali kama hivo vitu vimeumbwa ama la!!

Wakati Vitabu vya Imani kama biblia na Quran vinaelezea uwepo wa nguvu iliyojuu kushinda vyote na iliyoumba vyote vilivyo katika ulimwengu.

Sasa mfano science inaongelea formation ya Dunia inatokana Bing Bang, we unaona hapo imepinga uwepo wa MUNGU? Singularity ilihitaji uwepo wa energy fulani Ili kuwezesha hiyo Bing Bang je kama ndio jinsi alivyoamua kuiumba Dunia hivyo?

Mfano mwingine ni Evolution na chimbuko la binadamu. Science imefanya tafiti zake Kwa kutumia data na mbinu za kisayansi Kwa kuangali mfanano wa DNA structure na mambo mengine.
Sayansi ilibaini Kuna uwezekano mkubwa kuwa binadamu na chimpanzee wanatokana na ancestor mmoja[Hominids Ancestor](common ancestor), na Wala sio kwamba tunatokana na chimpanzee. Sasa hapo imepinga wapi Uwepo wa MUNGU? Je kama Adam na Eva ndo hao Hominids?
 
Kubend Gani unaongelea hapa? Ulishawahi kuona ndege inatua? Je huwa inatanguliza kichwa kwanza?
 
Ni kweli mmepigwa Knock out,...mpaka leo mmeshindwa kuweka uthibitisho kwamba:-
a. Dunià ni tufe 🌎
b. Dunia inazunguka


Sasa hapo utasema hamjapigwa knock out??!
Hahahaaaa!! Kama tumepigwa knockout why avoiding some basic questions??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…